Kuna upinzani nchi hii au waganga njaa!tanzania hatuna culture na kuachia ngazi tunapoaribu kazi! nashangaa hii issue ya mabomu inazimika taratiiibu siku zinaenda...kweli watanzania sisi hatuna hasira...wakazi wa mbagala mnatakiwa kuandamana...vyama vya upinzani chukueni hii nafasi kuanza kampeni mapema!
you are right mkuuNdo hivyo watoto wawili wamesha poteza maisha na wengine wanne taabani.
Si walisema wataleta vifaa vya kusasa kuja kufukua na kusaka vipande vilivyo salia?
Ok nimegundua kwa vile kule wanaishi walalahoi haya mabomu yangelipuka kwa matajiri Mbezi beach huko najua serikali ingeleta wamerekani kuja kusaka vipande.
matangazo ya sidanganyiki ndio yamepigwa marufuku hivyo..
Mnanichekesha wanasiasa! Kwanini JK awajibishwe, inamaana waliojenga karibu na kambi ya jeshi hawakufahamu madhara yake? Madhara ndo hayo yanaanza, mnawatupia rawama viongozi kwani ndo waliowapimia viwanja? Wizi mtupu