Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Nyie subirini tu taarifa itakayotolewa na Jeshi mbona mtachoka.....Mara ya kwanza waliita ajali ka ajali nyingine...then wakaja na taarifa kua mabomu yote yameshateketezwa sasa siju hapa watakuja na lipi???
Mungu ibariki TZ
Poleni wafiwa na Kwa hao watoto wawili R.I.P
Mungu ibariki TZ
Poleni wafiwa na Kwa hao watoto wawili R.I.P