Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

Sio kile chama kweli cha CHAGGADEMA?
Warangi na wamissionary wengine wa namna hiyo wanaanza tekeleza mikakati liyojaaa ktk mchi hii kila idara ya vimemo..wameanza pale kwa vile..kuna umaarufu wa akina dada wenye makalio makubwa....Kwa mara ya kwanza fika pale nilikuwa nashangazwa na wahudumu....nikamuuliza chalii wa AR mmoja vipi..hao mabinti walifanyiwa interview maalumu...wakajibu..hujui hii baar nickname yake nini?inatwa M..a..t..a..k..o. bar ni wazi wale wapenda kwenda ktk GANGSTAR PARADISE kwenye mgao wa Mabikra 72 na wanaume warembo wenye macho km Lulu....wameonyesha obsession yao ya hao wanawake....wanaona wivu sana wakiwepo duniani kwani ..MAKAFIRI NAO WATAFAIDI MAPEMA KULIKO WAO..............Huu ugaidi wa CCM utapokewa mapema sana na wapenda pepo Danguro
 

well done!like it!
 
Mpira + dhambi havimtukuzi Mungu;hvyo natoa pole kwa wapita njia tu waliojeruhiwa! wengne ni malipo yao!
 
💣💣💣 Mbona hamsemi ugaidi au mpaka miripuko hiyo itokezee sehemu nyengine ndio iwe ugaidi 💣💣💣💣💣💣

Kweli kabisa ingekuwa sehem nyngne ugaid dah!!!!!
 
Mpira + dhambi havimtukuzi Mungu;hvyo natoa pole kwa wapita njia tu waliojeruhiwa! wengne ni malipo yao!

Damn you!! Who the hell are you to the extent of judging others??? If you dont have anything to say just shut your buccal cavity up!
 
Daah!! Poleni ndugu aisee. My home town now days has turned to be uwanja wa milipuko.
 
Kitu kinachosadikikia kuwa ni bomu la kurushwa na mkono kimelipuka katika moja ya bar maarufu mjini arusha.arusha night park (------ bar) ina semekana wamekufa wa2 ila bado aijasibitishwa na majeruhi wengin..limelipuka.mida ya saa 4:30 kwa mujibu wa aliyenipa taarifa mudaa huu
 
Habari ya asubuhi bwana mkuu ,jana nilikuwa maeneo ya Big L nami nakiri nilisikia kishindo kikubwa cha mlipuko . Ila habari ulivyoileta umekoleza chumvi mno . Labda ndio mfumo wa uandishi kwa hapa kwetu tz . Pale baada ya sauti hakuna alijigusa hata baada ya taarifa za simu kuwa lilikuwa ni bomu. Hali kadhalika nilihama Bar na kwenda milistone hakukuwa na kuweweseka kwa watu bali watu waliendelea kugonga vyombo . Habari ni ya kweli ila sizani kama ni kweli weekend iliharibika kiasi cha ku-generalize kuwa jiji zima limesimama kutokana na mlipuko ule .

Poleni sana wana Arusha ,tupo pamoja .
 
Ni bomu mkuu, watu wengi wameumia na wamekimbizwa Selian Hospital na Mt. Meru Hospital, MUNGU awape kupona majeruhi wote.

TANZANIA LEO NI MAJANGA!

Mkuu poleni sana

Mungu awape nafuu na hatimae kupona majeruhi wote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…