ChrisMsofe
Senior Member
- Nov 22, 2013
- 164
- 84
Wamepiga tena?
Dah kuna mtu anajiita Mke halali na chupi huyu ni ndugu yako mkuu?
Damn you!! Who the hell are you to the extent of judging others??? If you dont have anything to say just shut your buccal cavity up!
Hao waliolipua bomu watakua magaidi wa kimuslim. Around 10% of world izilamiki population are terrorists.
au jirani anataka kutuvurugia sekta ya utalii ili wote tupoteze kama yeye?siwaamini majirani zetu.
Tunaanza kama mchezo ila ikiwa serious tutajuta
Muda huu nipo hapa Mount Meru na Ambulance aina Iveco inaelekea uwanja wa ndege KIA kumpeleka rafiki wangu mkubwa Sudi mhanga wa bomu la jana tayari kupelekwa Muhimbili kwa matibabu zaidi.
Kisa Arusha hawaikubali Ccm, Siasa za Tanzania za kipumbavu sana, wenye akili watajua tu lengo la huo upuuzi ni nini, Tz Hopelesss kabisa tunataka Tanganyika yetu
Raia wa Arusha shirikianeni na serikali kudhabiti matukio haya yasije leta maafa makubwa zaidi,,maana ugaidi ni mwingi Kenya isije kuwa ni moja ya milolongo ya matukio ya kigaidi nchini kwetu.
Tangu lema awembunge arusha haikaliki kabisa sujui ndiyo mbinu gani hizi
Nahisi unatumia maziwa kama akil kufikir na u know nothng abt bible! shiit!