Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

Naona wadau badala ya kuwaombea kwa Mola ndugu zetu na kushauriana vipi tutawasadia kwa hali na mali wengine mnaleta masihara kwenye mambo muhimu....

Ila hii inatisha itabidi watu tuanze kuchunguzana na kulindana tukiwa popote kwenye mkusanyiko.


Naaam! Hili nalo ni neno Mkubwa!
 
Kisa Arusha hawaikubali Ccm, Siasa za Tanzania za kipumbavu sana, wenye akili watajua tu lengo la huo upuuzi ni nini, Tz Hopelesss kabisa tunataka Tanganyika yetu
 
Wewe bana nenda kwenye mlipuko ututumie picha...shirikiana na le mutuz yuko hapo mt meru hotel anakaa room yenye gharama sawa na kodi ya nyumba ya mwaka mzima hapa dar...plz tafadhali zingatia maelekezo haya

Atakuita masikini wewe! Shauri yako. Umetoa anuani ya wapi anapatikana ila yeye atakushukia kama mwewe kuwa amegundua wewe ni masikini sana huwazi kama yeye tajiri from US.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
inachoshangaza tendo kubwa kama hili utasikia hakuna aliyekamatwa ina maana sisi tunalipa kodi kuwalipa maofisa wa ulinzi na jawabu lao kwetu kuhusu usalama wetu ni hawajui nini kimetokea kuna haja wananchi kuwa wakali kwa kusimama hili wahusika wote kuanzia RPC mpaka RC kujiuzulu kwa kushindwa kufanya kazi
 
Wana diverge attention kutoka kwenye katiba mpya...
 
Kama hii habari niya kweli basi ninaanza kuhofia kama kuna uwezekano yale yaliyotokea Westgate shopping mall pale Kenya yakafanyika tena Tanzania.

Kadri wanavyofanikiwa katika 'mission' zao ndiyo pia wanazidi kupata ujasiri wa kufanya maangamizo zaidi kwa maana kuwa kama wanaweza kufanikiwa mara tatu Arusha, wanaweza kusema, 'let's move to anaother area/region' au wanaweza kuamua kufanya mission kubwa zaidi.

Usalama wa Taifa wako wapi kwa sasa pamoja na budget kwenye ofisi ya Rais kuongezeka kila mwaka wa fedha. Yaani kadri badget inaongezeka na utendaji wa watu wa Usalama wa Taifa unapungua.

Utashangaa viongozi wetu watakapo jipanga kutoa pole na kulaani walipua mabomu baada ya kufanya juu chini kuhakikisha wananchi wake safe kama katiba ya nchi inavyotaka.

Kwanza hata mipaka ya Tanzania iko wazi. Tumeona kule Kigoma watu wakivuka mto kutoka Tanzania kwenda Burundi kufanya biashara na kurudi bila bughudha yoyote. Kama kuna mtu wa nje anataka kutenda makosa nchini anaweza kuingia bila tatizo lolote.

Poleni sana wana Arusha na hasa wale mliofikwa na haya majanga.
 
savimbi atakuwa kafurahi sana kusikia arusha watu wamekufa tenz
 
Mimi nashauri watanzania tuwe watulivu sana, yeyote aliefanya unyama huo lazima damu ya Watanzania itawarudi tu... kama motives ni ku-divert attention ya watu kwa kuua watu wasio kuwa na hatia, basi dhambi hii itawatafuna mpaka mwisho wa maisha yao hapa duniani... Poleni sana Wahanga... Namshauri JK aingilie kati kwani yawezekana kabisa ni hujma kutoka nje yenye lengo la kuudhoofisha umoja wetu Watanzania...Hope siyo ------ Bar ninayoijua!!
 
Wanaotakiwa wazuie haya matukio bado wapo likizo kuna uwezekano wa kuona mengi siku sijazo.
 
Poleni mama zangu,baba zangu,kaka zangu na dada zangu na wadogo zangu.Kadhia hii ni mbaya sana aisee.
Mungu awape faraja watu wa Arusha
 
Back
Top Bottom