watu wote wameshatawanyika...wikiendi Arusha imevurugika....
Pole sana.Mkuu wangu yani wacha tu! Yani kuna Ndugu yangu amekumbana na majanga haya. Tumwombeeni sana Ndugu yangu Masudi a.k.a SUDI aliyeumia sana. Na mpaka nampeleka theater yani ni majanga full.
Ameumia sana tena sana!
Sikupata hata nafasi ya kuingia humu jukwaani jamani ndiyo muda huu natoka hapa Mount Meru hosptal.
Mkuu wangu yani wacha tu! Yani kuna Ndugu yangu amekumbana na majanga haya. Tumwombeeni sana Ndugu yangu Masudi a.k.a SUDI aliyeumia sana. Na mpaka nampeleka theater yani ni majanga full.
Ameumia sana tena sana!
Sikupata hata nafasi ya kuingia humu jukwaani jamani ndiyo muda huu natoka hapa Mount Meru hosptal.
Pole sana.
....liverpoolfc poleni sana nimesikitika sana mkuu !!!!
Hii bar c ndo inaitwa makalio-- bar, na huwa panajaa sana siku ya mechi hasa leo palifurika maana mwenye bar ni mdau mkubwa wa barcelona, na leo barcelona ilicheza na man city, so cjui lakini inawezekena japo nakaa karibu na cjasikia hizo habari.
....LiverpoolFC poleni sana nimesikitika sana Mkuu !!!!
Natoka zangu Moshi kula weekend na mchuchu....nipo kwenye Costa kama saa 1:15 usiku....naishi Njiro ila ilinilazimu kushuka mianzini maana haja ndogo ilikuwa imenishika sana......nikashuka mianzini karibu na shelii..nikatafuta chocho nikamaliza.
Isije kuwa ni kuhamisha attention ya kesho, maana nikikumbuka kipindi kile cha mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha na jinsi ustadi ulivyotumika kumleta hewani babu wa Loliondo sina hamu na hii system ya Msafiri.
Ar-chuga imekuwa Somalia siku hizi.
Huyu hapa. Mgomvi ka nini!