Tumia pig booster tukawauzie wajomba tuwakomoe maana kwao nguruwe ni haramu
Kuku boosters ni zipi?Kumbuka aliyeniambia nizijaribu hizo pig boosters kwa kuku anadai alisomea mifugoNyie ndio unaoleta shida za afya kwa watu.
Formula ya nguruwe iweje sawa na ya kuku.
Tumia kuku boosters
Sio udini mkuu??Alafu utafaidika nn ukifanya hvo? Haki vile Roho mbaya zitatuua Africa 🥲🥲
Kama nyie ndo wafugaji wa kuku tunazolishwa migahawani basi mtatuua mapema aisee. Kuna hoteli moja nilienda nikaagiza nusu kuku lakini hata sikuimaliza sababu alikua mkubwa kweli, minofu minene ila haina radha ya kuku kabisa, ni kama sponji tu, unasikia ile harufu ya viungo ila utamu wa kuku haupo kabisa. Nadhan ndio kuku wanaokuzwa kwa madawa kama hayo unayotaka kujaribuMimi ni mfugaji mwanafunzi kuna mdau anadai pig booster ikitumiwa kwa kuku,kuku huwa na maumbo mithili ya nguruwe!
Mliowahitumia hiyo kitu kwa kuku,naomba mnielimishe,mlitumiaje na kwa kuku wa umri gani!!
Nakushukuru sana,ndugu kwa ushauri!Hadi ninaleta jambo hili hapa kuna "mtaalamu" nimesikia akifafanua kuwa madini yaliyoko ndani ya hivyo pig booster yanawafaa hata kuku!Nadhani watu wamekeleka kwa jina LA hivyo booster linaanza na neno "pig"Mim ni mfugaji ndugu, usikilize kilamtu humu. Katumie pig booster na utawafanya kuku wako kukuwa vema kabisa. Mle ndan ya pig booster kuna madin ya muhimu sana kwa kuku na huwez kuyapata kirahisi. Kama ilivyo baadhi ya vitamin kam amino nin sijui ni kwaajili ya mifugo mingi tu ila watu huzan n kwa kuku tuu.
Nenda maduka ya mifugoKuku boosters ni zipi?Kumbuka aliyeniambia nizijaribu hizo pig boosters kwa kuku anadai alisomea mifugo
Halafu hotel kubwa zisipotumia bidhaa za Bongo kwenye mapishi tunalalamika.Nyie ndio unaoleta shida za afya kwa watu.
Formula ya nguruwe iweje sawa na ya kuku.
Tumia kuku boosters
Mdau uko sahihi kabisaMim ni mfugaji ndugu, usikilize kilamtu humu. Katumie pig booster na utawafanya kuku wako kukuwa vema kabisa. Mle ndan ya pig booster kuna madin ya muhimu sana kwa kuku na huwez kuyapata kirahisi. Kama ilivyo baadhi ya vitamin kam amino nin sijui ni kwaajili ya mifugo mingi tu ila watu huzan n kwa kuku tuu.
Content zinatofautiana japo sio sana...unaweza itumia kama huna alternative,..I mean huna hizo premix za kuku...it won't hurt but growth or production performance inaweza kuwa chiniKuku boosters ni zipi?Kumbuka aliyeniambia nizijaribu hizo pig boosters kwa kuku anadai alisomea mifugo
Maumbo mithili ya nguruwe ndio kuwaje mkuu?Mimi ni mfugaji mwanafunzi kuna mdau anadai pig booster ikitumiwa kwa kuku,kuku huwa na maumbo mithili ya nguruwe!
Mliowahitumia hiyo kitu kwa kuku,naomba mnielimishe,mlitumiaje na kwa kuku wa umri gani!!
Nope!Nilimaanisha atanenepeanaMaumbo mithili ya nguruwe ndio kuwaje mkuu?
Maana tunajua nguruwe ana miguu 4,hana manyoa,ana pua kubwa,ana Meno nane,ana mkia
Sasa huko kusema kuku atakuwa na umbo mithili ya nguruwe unamaanisha atapata hizo sifa alizonazo nguruwe hapo juu au anakuaje
Kama ulimaanisha hivo, basi ni kweli ulichoambiwaNope!Nilimaanisha atanenepeana