Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

kuna tofauti kubwa san kati ya jinsi hizi mbili na hii ni hadi kwa wanyama na ndio maana huwezi kuta hata siku moja ndama likamfata dume au vifaranga vika fuata jogoo ama simba jike akawa na manyoya shingoni nk.
binadamu wanaojifananisha na wanyama huwa siwaelewi kabisa. mngezaliwaga majogoo manake mnapenda kweli tabia za majogoo
 
how significant are the differences btn the sexes and how important are they in this era?

what about the differences btn people of the same sex?

sawa on average mwanaume ana nguvu zaidi. kweli utafaa zaidi kutoka nje usiku. sasa ni nini kuhusu anatomy yako kinachokufanya ushindwe kupika? au kufua? nini kinachomshinda mwanamke Leo hii kuleta chakula nyumbani?

mkubali kuwa hizi gender roles ni mapokeo na dunia imebadilika Hamna budi kubadilika.

kama mmekubaliana mmoja akae nyumbani, mmoja akatafute chakula ni sawa.

kimbembe pale wote wanatafuta chakula halafu mmoja hasaidii nyumbani kisa ana kengele . ni uvivu na kutokujali mwenzako.
Mkuu ili wawili waweze kuishi kwa pamoja kwa raha, lazima kwanza watafute fomula yao na ikipatikana maisha yanasonga mbele. Fomula ikikosekana kila mtu kivyake. Ndo maana wakati mwingine mke na mme wanadundana (siafiki hilo) ila unaona wapo pamoja na baadaye misuguano inafutika. Ubovu wa mabinti kama wewe housegirl hamna experience zaidi mnatumia intuitions kuhubiri. Nakuhakikishia ukiingia katika ndoa ndipo utajua ndoa ni nini, na watu kama nyie wanatulia ndoa ya pili au ya tatu. Uliza watu kama NIMPENDENANI et al. watakujuza. Acha kukariri Mkuu, maisha hayasoviki kwa mathematical equations like quadratic equations. Ila kama Head of Household anakuwa ni mwanamke, hapo unakuwa mwanaume suruari na kwa kweli lazima umfulie mkeo kyupi hakuna jinsi na ni wakali usiombe.
 
Mkuu ili wawili waweze kuishi kwa pamoja kwa raha, lazima kwanza watafute fomula yao na ikipatikana maisha yanasonga mbele. Fomula ikikosekana kila mtu kivyake. Ndo maana wakati mwingine mke na mme wanadundana (siafiki hilo) ila unaona wapo pamoja na baadaye misuguano inafutika. Ubovu wa mabinti kama wewe housegirl hamna experience zaidi mnatumia intuitions kuhubiri. Nakuhakikishia ukiingia katika ndoa ndipo utajua ndoa ni nini, na watu kama nyie wanatulia ndoa ya pili au ya tatu. Uliza watu kama NIMPENDENANI et al. watakujuza. Acha kukariri Mkuu, maisha hayasoviki kwa mathematical equations like quadratic equations. Ila kama Head of Household anakuwa ni mwanamke, hapo unakuwa mwanaume suruari na kwa kweli lazima umfulie mkeo kyupi hakuna jinsi na ni wakali usiombe.
kwanza umesema couple itafute formula yao kisha umesema maisha hayasolviki kama mathematical equation. hujielewi.

for your info, dunia kubwa hii, billions of people, si wote wana mawazo kama yako na lifestyle kama yako.. kuna wanaume wenzako wakikusoma sahivi watasema hili jamaa ni la kale!!!

na kila Mtu ana type yake kama unavyompenda NIMPENDENANI na kama ambayo kwangu HUNIVUTII.

nakubali kila couple itafute formula yao.

na mambo ya kichwa sijui yanaingiaje hapa. kwahiyo ukiwa kichwa, manake yake we mfalme, hushuguliki nyumbani?

unampomfwata mwanamke unakuwa umempenda au unatafuta mtu wa kujititimulia? mke kufua kufuli zako ndo uke mwema, we kufua zake ndo uanaume suruali.

bro, love is simple...
 
Kwa akili hizi utakuwa mchepuko wa wanaume za watu milele.
 
Neno Kuitwa Mke utalisikia kwa ,majirani na kuita mume utaita waume wa wenzio.....
 
dah!!!! my dia We n zero!!!!!! unazan uzuri wa uso/ shape ndo vilivokufanya uwekwe ndan na uwe km YAI???? wala usituloge na idea yako finyu!!!! wengne bila kaz za ivo tunaugua nakuugua.
Hongera sana ndugu.Wewe ni mke bora na kama hujaolewa basi nahitaji mke type yako.Umetoa hoja nzuri sana kama mwanamke ulikulia maadili ya kiafrika na kidini.
 
Ukitaka kufanya zamu na mwanaume kwa kila jambo inawezekana kwanza akitoa mahali kwenu nawewe ukatoe kwao mbili, pesa ya matumizi muwe mnachanga, vinginevyo haiwezekani mwanaume aumie kwa kila jambo.
 
Je, ana watoto/mtoto ? maana umri wa kupata watoto ni miaka 35, vinginevyo, ataongeza idadi ya watoto Yatima. Kama yuko 40 hana mtoto, ina maana atapata mtoto akiwa ni miaka 45, huyo mtoto akikisha 23 wakati anaingia chuo, tayari umri wa mama umeenda. Jaribuni kuwa mnawashauri hao marafiki zenu, poda zinawadanya sana.

Huyo atakuwa sio mke bali chombo cha starehe, kumbuka sheria za dini zinatofautiana kulingana na imani ya mhusika/wahusika, baadhi ya imani zinaelekeza kuwa mke ni msaidizi wa mwanaume. Sasa kama kama imani inasema kuwa mke ni msaidizi, iweje tena umfanyie kila kitu badala ya kusaidiana kufanya hizo kazi. Kama Baba anatafuta mahitaji ya familia, basi Mama awe anasimamia matumizi yake. Halafu mwanaume unaanzaje kwenda kuchambua na kunua bamia sokoni ukiwa umemwacha mkeo nyumbani, mimi huwa tunaenda wote maana huwa tunafanya manunuzi ya mwezi, na yeye ndo anatangulia mimi nyuma wakati mwingine nabaki kwenye usafiri, akirudi ananikuta sio kumbana mwanamke kila sehemu hata asikonyezwe.
Kwa hiyo huwa unamwachia nafasi ya kukonyezwa sio? Kila la kheri ndugu.
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Naona kama majaribu vile umri wote huo haujui wajibu wa mke ndani ya ndoa dah usiombe ukakutana na mawifi watata
 
binadamu wanaojifananisha na wanyama huwa siwaelewi kabisa. mngezalindi majogoo manake mnapenda kweli tabia za majogoo
Ukae ukijua kuwa hata wewe ni mnyama hilo litambue tofaiti ni kuwa una ufahamu zaid ya baadh ya wanyama ingawa si wote ndio maana hata binadamu baada ya kuona anashindwa kufanya baadhi ya kazi amehitaji masaada kwa mbwa na wanyama wengine
 
Siku zote mwanaume ndio kichwa cha familia ubishe usibishe. Mwanaume anaweza kufanya vyote hivyo unavyosema kufua, kupika n.k ila kwa hiari yaan kapenda mwenyew ila sio kumlazimisha au kumpangia zamu. Siku zote mwanaume huwa hapelekeshwi au kumlazimisha hata km unamuomba hela utaomba kwa ustaarabu.
Unajua ktk maisha huwa tunajipangia vitu ving sana tena vizur hata kweny mahusiano pia lkn muda ukifika utaona uhalisia wake.
Dada yangu ili ndoa yako ikamilike lazima mwanaume akubali( mwanaume ndio anasauti ya mwisho) kumbuka haya maneno mawili yanatofauti sana KUOA NA KUOLEWA achana na vya kizungu MARRY sbb mwanaume au mwanamke anaoa.
Najua sasa utabisha sana HOUSEGAL, Na wengine lkn ukiingia kweny ndoa utaona uhalisia wake kuna vitu huwa hapend mwanaume KUPELEKESHWA NA KUTOHESHIMIWA.
Hongera kwa kusimamia msimamo wako lkn uking'ang'ania huu msimamo utaachika akikuvumilia ataenda kwa housegirl au atatafuta mke nje sasa huyo kurud ndio bye bye utajikuta unafikisha watoto 3 kila mtoto na baba yake.
Km unamtazamo huu naomba ubadilike acha masuala ya tamthiliya.
Fanya research ww mwenyew uliza watu walioko ktk jamii yako na pia fuatilia watu weny mitazamo km ww uone wanaishije.
Hakuna kitu mwanaume anapenda km kupikiwa na kufuliwa na mkewe ukiona mpaka kitanda unacholalia na mumeo housegirl anatandika ujue huyo ni mwanamke mwenzako
Dada usiwe mbishi lbd ujigeuze uwe mwanaume ndio utaepuka hiv vyote.
Ila pole sana ila ukimpata huyo mwanaume ndoa yenu itachukua mwez 1 inavunjika. Angalia usije ukajioa km wale wengine
 
kwanza umesema couple itafute formula yao kisha umesema maisha hayasolviki kama mathematical equation. hujielewi.

for your info, dunia kubwa hii, billions of people, si wote wana mawazo kama yako na lifestyle kama yako.. kuna wanaume wenzako wakikusoma sahivi watasema hili jamaa ni la kale!!!

na kila Mtu ana type yake kama unavyompenda NIMPENDENANI na kama ambayo kwangu HUNIVUTII.

nakubali kila couple itafute formula yao.

na mambo ya kichwa sijui yanaingiaje hapa. kwahiyo ukiwa kichwa, manake yake we mfalme, hushuguliki nyumbani?

unampomfwata mwanamke unakuwa umempenda au unatafuta mtu wa kujititimulia? mke kufua kufuli zako ndo uke mwema, we kufua zake ndo uanaume suruali.

bro, love is simple...

Dada love is not simple hayo mapenz ni ya girlfriend & boyfriend ukitaka hiv vyote inabidi umtongoze mwanaume, ujilipie mahari na hela ya matumiz huwa unatoa na halaf utafute mwanaume ulimzid kipato, na elimu yaan kwake aone km zali la mentali.
Dada unaongea sbb hapo ulipo haujaolewa na unayoongea ni yakufikirika. Unavyochat na boyfriend wako na mnavyoambiana maneno matamu unafikir uko kweny ndoa.
Nadhan hapo ulipo huwez hata kupika chai, au ugali ndio maana vyote unaona kaz.
Mdogo wangu maisha ya ndoa hayako hivyo hayo unayoandika ni ya uboyfriend na ugerlfriend hata ukiongea mbele za watu watakushangaa sana ila sio kosa lako ni malez uliyopitia ila jiandae kuwa mchepuko tu.
Ukifikisha miaka 30 akili itakuwa sawa.
 
Back
Top Bottom