Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Ukifikisha miaka 30+ usije toa tangazo humu unatafta mume[emoji3] wa kuishi nae
 
Yaani namna hii wanawake na maendeleo ni ngumu. Aisee! Kama huyu anayeona kupika na kufua ni utumwa halafu yet anaomba hela ya matumizi. Sasa hapo utumwa ni upi?
 
Bado mtoto ukikua utaacha,we tulia tu
Wasema kufua na kupika acha upende mtu utambeba ukamuogeshe
 
mimi afadhali gari langu liwe mkangafu lakini sio la mrs!!
afadhali nisivae vizuri lakini sio mrs.
afadhali nikose pocket money lakini sio pochi wa mrs.
afadhali nisipulizie a good perfume lakini sio mrs.
afadhali nave kiwembe lakini sio mrs.
So mke ndio kila kitu ni wajibu wangu, na yeye anajua wajibu wake kwangu. na sio kwamba sasa anafanya 24/7 hapana kama upendo upo mbona mnafanya wote tuu ila chief incharge ne yeye. alaskini kama ana kisirani huko jikoni atanisikia tu, tutakutana ndani ya shuka na lazima makamuzi yawepo!! maana ni masharti ya ndoa. hata akidunda mkifika 6x6 ngoma inapigwa sawia!! hehee , sasa nyie wa leo mkisemwa tu mwavaa jeans!! matokea jama huyooo ananoigesha nje , sasa ole huko nje kuwe kutamu na manjonjo kuliko wewe!!!!
Kwisha!!!
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]

Umezaliwa mwaka 1983, hadi sasa bado hujaolewa sababu ya jeuri jeuri hizo za kiswahili. Sasa kama hutayafanya, umekuja kutusimulia ili tukupongeze au tukurekebishe? Kujaribu kumrekebisha mtu kama wewe ni upotevu wa muda, 2016 - 1983 = 33yrs unakaribia menopause
 
wanaomshambuliaaaa utafikiri wao wanaplaybparty zao kama wababa nawakati humu kila siku oooh wanawake ni wabinafsi na hwla zao, mara majukumu ni kusaidiana[emoji1] [emoji1] [emoji2] ukitaka kusaisiana majukumu uwe una maaniaha kweli sio nusu nusu!

my stand[emoji15] yale majukumu ya mama naturally akiyatimiza na baba akatimiza yake ndoa itanoga sana mabadiliko yafanyike kwa mapenzi! haimaanishi muwalundikie wanawake mikazi 40 years keahazeeka[emoji12] it is so romantic mama/ baba afanye majukumu ya ki biblia ama qurani .
 
Hayo waga mnaongea kipindi hichi cha ukuaji,unachagua mume umpate wa aina gani,mara sijui awe handsome na tajiri,awe mrefu n.k,,,,ngoja muda ukitupe mkono utaona utakavyo zunguka kwa waganga ukizan umelogwa usiolewe,,maisha yanabadilika dada,usizani kila siku ni ni j2, ringa wakati wako huu ila itafika kipindi utamtafuta hata wa kumfulia vyupi na kumkata kucha humuoni.
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Ukipata Mume uje utuambie...
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Hapana Rebby,mmeo akiwa disabled utamkimbia na kuwa mchepuko,dalili ziko wazi.
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Jiandae kusaidiwa na house girl manake namgegedo pia utaleta uvivu mwsho utaishia kusema wanaume ni wanyama jitume bidada mwanaume ni kama mtoto mdogo analelewaa
 
Wanawake wa mjini ni waajabu kupika na kufua unaona kazi sana.

Kuna wanawake wenzako huko kijijini wanalima ,kukata kuni,kufyatua matofali nk.
Wewe inaonekana hata kufua nguo yako ya ndani huwez.i
Hapana siku hizi hawatumii nguo ya ndani bhana,wanatembea commando .
 
Back
Top Bottom