Inwazekana unchoongea ni uongo ili kuwatia wenzako ujinga.Kitanda tulicholalia sio nilicholalia naomba nikusaishe hapo,of course both of us we are responsible kwa kitanda..?...sijjui huu wito unakujaje Yaani anakuja nyumbani na brief case unampokea mnh kuwa real!!
Nawe angalia usije ukaolewa kwa huruma ya wewe kuwa disabledHivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.![]()
![]()
![]()
Wapo wenye akili za kushikiwa wanaweza kufuata maneno yako.Kwani na wao si wana akili timamu?
Utabaki kuwa mtazamaji hutaolewa kabisa,,,,, huu utamaduni uko hata kwa wazungu.....Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.![]()
![]()
![]()
Labda nikuulize, mapenzi ni nini? Labda nikuambie tu kuwa kwa sisi tulioolewa waume zetu ni mafirst born wetu, tunawafanyia huduma zote kama watoto, tena za kwao ni advanced kwa sababu tutawapa na vile ambavyo wazazi wao hawakuthubutu kuwapa... Kama ya kupokea briefcase unashangaa, nikikwambia kuwa tunawaogesha utazimia. Chagua tu kubaki single.Kitanda tulicholalia sio nilicholalia naomba nikusaishe hapo,of course both of us we are responsible kwa kitanda..?...sijjui huu wito unakujaje Yaani anakuja nyumbani na brief case unampokea mnh kuwa real!!
Mnh umejaribu kujustify kuwa unajinunulia boxer na mkeo ped Hayo ni maamuzi yako...kwanza HAKUNA mwanamke anayemuomba mkewe hela ya pedi...mnhumapenzi hayako one sided, nini hiki naona unashindwa kutetea point yako, kama hayako one sided ndo ujjue kuwa mwanaume anaplay part yake ndo maana hawezi kukuomba hela ya boxer lakini ww had ya ped unaomba
Hata wazungu hawako hivyo, wanawake wa kizungu wanawajali sana wenzi wao...Hukufundwa, umeiga uzungu, hujui majukumu ya mke ndani ya ndoa. Ukiona katulia ujue kuna anakopata faraja ua kuwa mwanaume!! ni ngalizo tu. wacha uzungu ukuharibu, na utaharibu ndoa yako mweyewe kwa mikono yako. Ni hivyo kuitwa mwanamke??????........................ ushaelewa
Utaishiwa kuchezewa vinginevyo ndoa utaisikia bomani au kanisani tu.Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.![]()
![]()
![]()
Mimi nilihudhuria kitambo sana hapa.nashukuru kama mpo, natamani niwaite wanawake wote mje mchangie chochote maana hapa tupo wanaume watupu anaona kama tunamuonea
Fahari ya mke ni kumhudumia mume....Hahaa na huyo mmoja atakaebaki wa kunioa nae ajue sijapata kufanya huo UJINGA na sitafanya![]()
![]()
![]()
subiri ndoa wewe ni mwanamke shupavu sawaMnh umejaribu kujustify kuwa unajinunulia boxer na mkeo ped Hayo ni maamuzi yako...kwanza HAKUNA mwanamke anayemuomba mkewe hela ya pedi...mnhu