Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 5,526
- 7,287
Umeongea vizur dada. Mwanaume huwez kumpangia zamu ya kupikia hata ya kufua km haajamua kutoka moyon mwake. Km umechoka mbembeleze na mazingira yawe yanaonyesha kuwa umechoka.sidhani kama ni utumwa mamii, inatokea tu automatically umepika, say anarudi saa moja jioni na wewe upo tu nyumbani, utamsubiri apike kweli,ila kama mume wangu mimi kupika yeye sio issue, nikimwambia nimechoka au ana hamu na mapishi yake mwenyewe anapika tu
Sis wanaume huwa wavumilivu sana na ikitokea hiyo ishu ya kusaidiana huwa ni mara moja moja sana tena mazingira yawe yanaruhusu.
Mm natoka kazin saa 2 usiku ww saa 10 jion nakukuta bado haujapika eti zamu yangu. Nitavumilia wiki tu na siombe nikatoka nje nikakuta nafanyiwa service zote tena ukimpata anayejua kujali. Ndio nahamia huko huko kbsa nachukua kilicho changu nahama mazima kbsa. Nimekuoa kupika nipike mm mwenyew, nifua, na nipige deki si bora niishi peke yangu
Sikatai kumsaidia kaz mke wangu ila kunamazingira mfano anaumwa, kachelewa kutoka kazin, kanisan, sokon, kachoka , upo period, una mimba au nimechelewa kuamka hapo nitandika ila nimekuacha kitandan halaf unaniambia zam yako kutandika. Lbd sio mm n.k ila sio mm natoka kazn saa 3 usiku ww saa 10 jion na haumwi hapo sahau.
Hata km tuna mahousegirl 10 nimarufuku kuingia chumban kwangu kufanya usafi.mke wangu atawajibika kwa usafi wa chumban. Boxer na soks nitafua mm mwenyew.
Kuna wanawake wengine kila kitu kamwachia housegirl mtoto akiumwa housegirl unafikir kitatokea nn hapo zaid ya kupinduliwa na housegirl halaf unaanza kulalamika.