Kufua, kupika, kutandika kitanda, mpaka mume awe disabled ndo atafanya, maana yake hata sasa hatandiki kitanda chake, hata kujifulia nguo zake ni mtihani, kupika hapiki anakula magengeni halaf bado anataka aolewe hiyo ni opinion ya kijingaSidhani kama ni ujinga au ubeijing in any way, amesema tu asichopenda kufanya, thats her openion!
Hata wa kukuoa atakuoa baada Wanawake wote kuisha.....Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Hata wa kukuoa atakuoa baada Wanawake wote kuisha.....
Wanawake kama ninyi mnafaa kuwa michepuko tu kwaajili ya matumizi ya dharura
Kufua, kupika, kutandika kitanda, mpaka mume awe disabled ndo atafanya, maana yake hata sasa hatandiki kitanda chake, hata kujifulia nguo zake ni mtihani, kupika hapiki anakula magengeni halaf bado anataka aolewe hiyo ni opinion ya kijinga
kwani una umri gani kwa sasa,Kuolewa mie bado.
jamiiforum kupitia maneno yako......umenionea wapi weww?
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Mtoa mada yuko stressed sana maana kachezewa tangu akiwa na 12 years mpaka sasa 52 pasi na kuolewa thats why anakuja na kanuni zake zisizoeleweka.Hata wa kukuoa atakuja akuoe wanawake wote wakiisha olewa ukabaki alone:kwani inaonekana hujui wajibu wako
Halafu akienda anakofanyiwa hayo unaanza kuuliza kwanini wanaume wanacheat?Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
haya ntakuposaa mamaa soon nakuja huko matombo kwenu,Unaniposa buana
Ha ha haaa sawa super handsomehaya ntakuposaa mamaa soon nakuja huko matombo kwenu,
wajulishe wazazi waambie hakika nimepata chaguo langu
kijana super Handsome (in Lemutuz voice)
waambie huyu ndie yule niliekua namsubiri siku zote.
Una akili sana Wewe[emoji122] [emoji122] [emoji122]Simple tu, unachojipikia wewe na yeye unampa, huwezi lalia kitanda kichafu nae atalala Kwenye kisafi ulichotandika, unapofua nguo zako nae unamsaidia ili asijaze uchafu ndani