Lazima utakuwa wale wa daddy this dad's that hadi pichu unafuliwa na beck 3Hahaa na huyo mmoja atakaebaki wa kunioa nae ajue sijapata kufanya huo UJINGA na sitafanya [emoji4] [emoji4] [emoji4]
sikiliza wewe mnyama, tofauti ya binadamu na wanyama wengine kama kuku ni kuwa wana uwezo wa kuReason. lakini wewe unafanana zaidi na kuku.Ukae ukijua kuwa hata wewe ni mnyama hilo litambue tofaiti ni kuwa una ufahamu zaid ya baadh ya wanyama ingawa si wote ndio maana hata binadamu baada ya kuona anashindwa kufanya baadhi ya kazi amehitaji masaada kwa mbwa na wanyama wengine
Mh!! Aisee basi sawa isiwe tabu kuna mengi makubwa na mazito yanayo likumba taifa letu nadhani tujadili zaid hayo kuliko kuendeleza malumbano yasiyo na maana kwako ,kwangu na kwa familia zetu.sikiliza wewe mnyama, tofauti ya binadamu na wanyama wengine kama kuku ni kuwa wana uwezo wa kuReason. lakini wewe unafanana zaidi na kuku.
Kumbe ulijua!!!!!Najua sasa utabisha sana HOUSEGAL
familia nyingine zina ongozwa na team work ya mume na mke na ndo zinazonivutia. hivi na hicho kichwa chako unaanzaje kuniongoza!!! angalau anizidi intelligence. siwezi kupretend kukubali ukilaza wa Mtu.Siku zote mwanaume ndio kichwa cha familia ubishe usibishe
Mwanaume anaweza kufanya vyote hivyo unavyosema kufua, kupika n.k ila kwa hiari yaan kapenda mwenyew ila sio kumlazimisha au kumpangia zamu. Siku zote mwanaume huwa hapelekeshwi au kumlazimisha.
Hakuna Mtu mzima anayependa kupelekeshwa na kulazimishwa. Hata mimi sipendi na sina sababu ya kulazimisha Mtu.Na wengine lkn ukiingia kweny ndoa utaona uhalisia wake kuna vitu huwa hapend mwanaume KUPELEKESHWA NA KUTOHESHIMIWA.
inabidi utafute mwanamke wa kukuomba hela manake ndo wanakutia ubandidu. me nafwata mapenzi tuuuhata km unamuomba hela utaomba kwa ustaarabu.
As far as house chores are concerned hakuna tofauti yoyote whether kuna mahusiano au Hamna. Mijanaume inayoona ikioa haipaswi kufanya kazi ni mivivu na isiyojali wenzao.Unajua ktk maisha huwa tunajipangia vitu ving sana tena vizur hata kweny mahusiano pia lkn muda ukifika utaona uhalisia wake.
embu acha kuongelea maisha ya wenzio. umeambiwa dunia nzima inaishi kama watu wa kijijini kwenu?Dada yangu ili ndoa yako ikamilike
Mahusiano nayotaka mimi ni mahusiano yenye mutual understanding na sio kutuwalana. Katafute huyo mke ambaye Utakuwa humsikilizi. wako kibao mjini hapa.mwanaume akubali( mwanaume ndio anasauti ya mwisho)
semanticskumbuka haya maneno mawili yanatofauti sana KUOA NA KUOLEWA achana na vya kizungu MARRY
haiwezekani nikaolewa na mtu ambaye hana mtazamo kama wangu so hakutakuwa na "kuachika" coz mwenyewe NITAMUACHA kabla mahusiano Hayajaenda popoteHongera kwa kusimamia msimamo wako lkn uking'ang'ania huu msimamo utaachika
Janaume lendekezalo uzinzi utalijua tu. Ni mijanaume ya huku inayoendekeza kulala na mahousegirl. OVYO.akikuvumilia ataenda kwa housegirl au atatafuta mke nje
Ndo tatizo la kuzungukwa na maskini na watu wasioelimika wasiojua uzazi wa mpango.utajikuta unafikisha watoto 3 kila mtoto na baba yake.
kwako tamthiliya. kwa wengine ni maisha ya kawaida ya kila sikuKm unamtazamo huu naomba ubadilike acha masuala ya tamthiliya.
ulishawahi kutoka hapo kijijini kwenu ukaona watu wanavyoishi?Fanya research ww mwenyew uliza watu walioko ktk jamii yako na pia fuatilia watu weny mitazamo km ww uone wanaishije.
hata mimi napenda kweli kuhudumiwa. hakuna sign kubwa kuwa napendwa kama kuhudumiwa. 🙂Hakuna kitu mwanaume anapenda km kupikiwa na kufuliwa na mkewe
you ain't talking about meukiona mpaka kitanda unacholalia na mumeo housegirl anatandika
acha uvivu wewe. hakuna chochote mwilini mwako kinachokuzuia kufanya shughuli za nyumbaniDada usiwe mbishi lbd ujigeuze uwe mwanaume ndio utaepuka hiv vyote.
Pole na utabiri wako. Ukweli wa mambo huukamati Leo wala kesho. Endelea kutabiri.Ila pole sana ila ukimpata huyo mwanaume ndoa yenu itachukua mwez 1 inavunjika. Angalia usije ukajioa km wale wengine
Utaendelea kubanduliwa gesti hadi uzeekeHivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Nimejaribu kufatilia komenti zako,naona u anajenga taswira ya mtu asiekuepo na wala awezi kutokea.Na bila shaka ulisema hutoolewa kwahiyo sijaona tatizo lako kuponda wanaume.Kumbe ulijua!!!!!
Kosa lako la kwanza ni kuongelea wanaume wenzako. TAFADHALI, UNAWACHAFUA wanaume wenye MVUTO. Jiongelee mwenyewe bro, na waafrika wenzio labda.
.
familia nyingine zina ongozwa na team work ya mume na mke na ndo zinazonivutia. hivi na hicho kichwa chako unaanzaje kuniongoza!!! angalau anizidi intelligence. siwezi kupretend kukubali ukilaza wa Mtu.
Hakuna Mtu mzima anayependa kupelekeshwa na kulazimishwa. Hata mimi sipendi na sina sababu ya kulazimisha Mtu.
inabidi utafute mwanamke wa kukuomba hela manake ndo wanakutia ubandidu. me nafwata mapenzi tuuu
As far as house chores are concerned hakuna tofauti yoyote whether kuna mahusiano au Hamna. Mijanaume inayoona ikioa haipaswi kufanya kazi ni mivivu na isiyojali wenzao.
embu acha kuongelea maisha ya wenzio. umeambiwa dunia nzima inaishi kama watu wa kijijini kwenu?
Mahusiano nayotaka mimi ni mahusiano yenye mutual understanding na sio kutuwalana. Katafute huyo mke ambaye Utakuwa humsikilizi. wako kibao mjini hapa.
semantics
haiwezekani nikaolewa na mtu ambaye hana mtazamo kama wangu so hakutakuwa na "kuachika" coz mwenyewe NITAMUACHA kabla mahusiano Hayajaenda popote
Janaume lendekezalo uzinzi utalijua tu. Ni mijanaume ya huku inayoendekeza kulala na mahousegirl. OVYO.
Ndo tatizo la kuzungukwa na maskini na watu wasioelimika wasiojua uzazi wa mpango.
kwako tamthiliya. kwa wengine ni maisha ya kawaida ya kila siku
ulishawahi kutoka hapo kijijini kwenu ukaona watu wanavyoishi?
halafu acha kuendekeza uvivu we kivulana.
hata mimi napenda kweli kuhudumiwa. hakuna sign kubwa kuwa napendwa kama kuhudumiwa. 🙂
you ain't talking about me
acha uvivu wewe. hakuna chochote mwilini mwako kinachokuzuia kufanya shughuli za nyumbani
Pole na utabiri wako. Ukweli wa mambo huukamati Leo wala kesho. Endelea kutabiri.
na wala usiwaseme wasioolewa karne ya 21 hii baba
Dada love is not simple
As far as house chores are concerned, hakuna tofauti yoyote whether kuna mahusiano au Hamna kuna cheti cha ndoa au Hamna. Mijanaume inayoona ikioa haipaswi kufanya kazi ni mivivu na isiyojali wenzao.hayo mapenz ni ya girlfriend & boyfriend
umeambiwa wanawake huwa hatupendi? kama hujawahi kupendwa poleukitaka hiv vyote inabidi umtongoze mwanaume,
Mahari ndo inakufanya umtumikishe mwenzako? Sihitaji mahari. Tamaduni zingine ni useless.ujilipie mahari
Uliambiwa nataka kuwa goli kipa? Wanawake kibao wanachangia kipato, tena wa wanaume Hawa Hawa wanaogoma kusaidia nyumbani.na hela ya matumiz huwa unatoa
anayekupenda atakusaidia na si kwasababuna halaf utafute mwanaume ulimzid kipato, na elimu yaan kwake aone km zali la mentali.
NARUDIA, kusign vyeti vya ndoa havikuzuii kufua na kupika. Ni UVIVU wako na KUTOMJALI mwenzako.Dada unaongea sbb hapo ulipo haujaolewa na unayoongea ni yakufikirika. Unavyochat na boyfriend wako na mnavyoambiana maneno matamu unafikir uko kweny ndoa.
kama sio kazi mbona imeleta mjadala mkuuubwa?? MNAJUA NI KAZI , NANYI NI MIVIVUNadhan hapo ulipo huwez hata kupika chai, au ugali ndio maana vyote unaona kaz. .
heeeh tusilazimishane undugu. na hata kama umenizidi umri uwezo wako wa kufikiri uligotea hukooo nyuma.Mdogo wangu
ukungwi unalipa mjini hapa kanunue mic tu.maisha ya ndoa hayako hivyo hayo unayoandika ni ya uboyfriend na ugerlfriend
ulishawahi kutoka hapo kijijini kwenu?hata ukiongea mbele za watu watakushangaa
nimefundishwa meeengi, mengine nimeacha. my parents are typical African parents. kama wangekuwa wanahusika na nilivyo , basi ingekuwa KITU CHEMA SANAsana ila sio kosa lako ni malez uliyopitia
maneno hata kwenye boxer hapoila jiandae kuwa mchepuko tu.
kawatishie wasiojielewa huko...Ukifikisha miaka 30 akili itakuwa sawa.
we kwako mwanaume anayefanya kazi za nyumbani ni Mtu asiyekuwepo??Nimejaribu kufatilia komenti zako,naona u anajenga taswira ya mtu asiekuepo na wala awezi kutokea.Na bila shaka ulisema hutoolewa kwahiyo sijaona tatizo lako kuponda wanaume.
Umeachika Mara ngapi?umechacha vya kutosha,Leo unataka uzungutena wewe ndio wale wanaojilazimisha..hauko real...ndoa yenu imejaa unafilki real Love haiko one sided ndugu
Naona unabishana na nature.we kwako mwanaume anayefanya kazi za nyumbani ni Mtu asiyekuwepo??
😀 😀
nimekuona huruma, naomba nipitishe harambee JF tukuchangie ukaoshe macho huko duniani.
lakini wenzako humu humuita huyo wa Kufikirika MZUNGU.
nature inakupa ukoma usipike eeeh??Naona unabishana na nature.
Ndio maana huwa nashangaa ongezeko la wadada kutafuta wanaume mitandao wa kuwaoa kumbe sabb mojawapo ndiyo hii.nature inakupa ukoma usipike eeeh??
Sema UVIVU. acha kuzingizia nature vitu vya kijinga.
Hii ni shida ni ya mama ako aliekuleaHivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
nilichokujibu wewe umeacha umerukia vya wenzio kujichekesha tu.Ndio maana huwa nashangaa ongezeko la wadada kutafuta wanaume mitandao wa kuwaoa kumbe sabb mojawapo ndiyo hii.
Yaan mm uniwekee zamu ya kupika, kufua ha ha ha ha. Nilioa kufanya nn? Sasa km mwanamke anakimbia majukumu yake huyo tumweke kundi gani?
Inabid ununue dildo tu hakuna namna.
Mapenz ya mwendokas haya ni hatareeeeeeeee.
Ushauri wangu amua usiolewe sbb ukiolewa yote haya utayafanya tu.
na mie nashangaa ongezeko LA wanaume watafuta wake mitandaoni. they're mentally incompetent (like you) and they can only hide it from people they meet online.Ndio maana huwa nashangaa ongezeko la wadada kutafuta wanaume mitandao wa
Truly,na mie nashangaa ongezeko LA wanaume watafuta wake mitandaoni. they're mentally incompetent (like you) and they can only hide it from people they meet online.