juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,484
Huyo Hata Akibaki Alone Dunia Nzima Hamna Wanawake Bado Haolewi.Hata wa kukuoa atakuja akuoe wanawake wote wakiisha olewa ukabaki alone:kwani inaonekana hujui wajibu wako
Huyo Hata Akibaki Alone Dunia Nzima Hamna Wanawake Bado Haolewi.Hata wa kukuoa atakuja akuoe wanawake wote wakiisha olewa ukabaki alone:kwani inaonekana hujui wajibu wako
Ipo siku utatamani uifute hii thread... nadhani bado upo early 20's na marafiki zako eidha walioachika au wenye mawazo hasi oama yako au wale wa kona baa..Hahaa na huyo mmoja atakaebaki wa kunioa nae ajue sijapata kufanya huo UJINGA na sitafanya [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Kama mkeo hatazamwi na mtu yeyote; kuna mambo mawili - umeoa mke mwenye sura mbaya ambaye havutii; na pili hujui kumtunza mke, ni mchafu, amechakaa, akivaa nguo haimkai. Mwanamke shurti apendeze, atongozwe lakini asitoe, ndo raha yao hiyo ati.Kwa hiyo huwa unamwachia nafasi ya kukonyezwa sio? Kila la kheri ndugu.
By the way, inaonekana umezaliwa mwaka 83, so I assume una miaka 33. Na kama hujapata wa kukuoa hadi umri huo, ujue ni kutokana na hivyo vitabia vyako. Badilika uolewe, usije zeekea kwenu....Hahaa na huyo mmoja atakaebaki wa kunioa nae ajue sijapata kufanya huo UJINGA na sitafanya [emoji4] [emoji4] [emoji4]
PoleeeHivi mke ukimuoa unajua kazi yake nn?!mke ni pambo hizo kazi kuzifanya au asizifanye ni uamuzi wake hatakiwi kushurutishwa.labda km ikiwa usafi wa mwili wake ndo unaweza kumlazmisha ila kisheria ht za kidini mkeo akikulelea watoto wako inatakiwa umlipe pesa!mkeo inatakiwa umwekee msaidizi ndani na sokoni mume ndo uende ila wengi wetu hatujielewi tu.me mke wangu ni malkia kila kitu namfanyia!yeye akifanya ni kwa mapenzi tu
Nawe pia!Poleee
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
KUMBE UNAJUA MAJUKUMU YAKOOUkijua kwanini umeolewa/umeoa haikupi shida kutimiza majukumu
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Yaani kwa majibu yako mafupi .. umemaliza kila kitu wengine wanapigilia mstali tu..... Kujitambua ndo kila kitu kwa kila jambo utendalo.Ukijua kwanini umeolewa/umeoa haikupi shida kutimiza majukumu
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
unaongea kwa kuwa haujalishwa mhogo ...utafanya tu ila kwa kuwa mpenz wako ni mwanaume wa dar wote hawajielew chips xo hAwez kukuchange mental yakoHivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Thamani aliyonayo mumeo kwenye maisha yako ndio iyakayokufanya ufanye hivyo au la. Pia hilo ni swala ka kutambua majukumu yako kama mke lakini kama kwenu ulikuwa unamuona mama yako hafanyi hivyo vitu ni ngumu pia kwa wewe kufanya maana maji hufwata mkondoHivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Huyo hafai hata kuwa mchepukoHivi kumpikia mumeo nao ni utumwa?? Kama ndivyo uonavyofikiri ni heri ubakie kuwa mchepuko tu
Huyo kafanya maamuzi sahihi maana ndoa ingemshinda.Kuna mtu namfahamu mpaka sasa anaelekea 40, hataki kuolewa kwa sababu tu hataki kufua nguo za mume au kuamka mapema kumuandalia mume breakfast,au kuulizwa ni kwa nini umechelewa kurudi. Hizi sampuli za watu ziko nyingi.
hahahhahahahhahahha hawa ndio wale wanajifanyaga wa dot com halafu kumbe makapuku tuu kama wengineHuyo hafai hata kuwa mchepuko
hahahahhahah mkuu hii laana ni balaaHuyo Hata Akibaki Alone Dunia Nzima Hamna Wanawake Bado Haolewi.