Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

EXACTLY , Hata mimi historia imenifundisha mwanaume anayekupenda anavunja all acceptable norms just to please you. Utaenda kwake miguu juu jikoni yeye anakaangiza .

me nisipohudumiwa Naona sipendwiiii.

halafu mapenzi yangu Kama ya wanaume ya kibongo tu, I'd rather just spend money on you to prove my love, mambo ya house chores bwana sio kabisa.

Wengine uvivu uko kwenye damu Jamani. Ilikuwa tuzaliwe watoto WA malkia, bahati mbaya saaana.

huyo atakayepima mapenzi yangu kwa kazi za nyumbani ninazofanya nitaanza kumshuku.

taking care of your loved one is a good thing.
Am glad you believe in love[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hujapenda wewe.
Mwanamke akipenda, sijui nguvu zinatoka wapi. Kufua, kupika, kusafisha nyumba, Na hata kudekeza mwenza vinakuja automatikale. Halafu akiona anakuwa appreciated ndio kama kamwagiwa petrol. Haichoshi hata kuhudumia ndugu za mume na marafiki zao.

Ukiona unaanza kuona mzigo hata kumfulia mwenza teitei ujue mapenzi hakuna hapo. Kama hayafai kufufua Bora uanze kuchukua ndogondogo (hatua)
Mi nishawahi kupenda ila hapo pa kufua aiseee hapana! Bora nikulipie upeleke kwa dobi, sipendi kufua.
 
Acha upumbavu, unampikia halaf ww unaenda kula kwenu au kwa mama ntilie? Unamfulia? Kwani yeye anapotafuta hela ya kula, kodi anakutafutia wewe au anatafuta ili maiaha yenu yasonge? Na kama unaona kuolewa ni utumwa kaa uendeleee kujipiga madole, mikaroti na matango. Kumfulia kumfulia mumeo si adhabu wala utumwa ni mapenz kama unavyosema mwanamke lazima atunzwe na mwanaume anatakiwa kutunzwa pia na kutunzwa kwake ndo kama huko kufuliwa, kupikiwa chakula bora ambacho kitamfanya awe na afya njema awe na uwezo wa kukushughulikia hayo ndo mapenzii, kama unataka akununulie mavazi, akupeleke saluni akupe hela ya kuwatunza mashot kwenye shughuli halaf ww kumfulia nguo iwe utumwa endelea kusgua benchi
This is too hursh!
 
utakuwa tayari kuolewa lini....mara nyingi mliojiandaa sana kujenga mji huwa ndio mnachezewa sana..
Hahahaaaaa! This is totay true, sijui kwanini!
 
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
emoji9.png
emoji9.png
emoji9.png
ENDAPO TU UTAMPATA HUYO MUME
 
...Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]

Wanaume wengi huwa wanaanza kunotice vitu "vidogovidogo" kama hivi wakati bado mna-date. Angalia usiishie kuwa kipozeo tu huku jamaa wakilamba mzigo na kuchapa lapa maana unaonekana sio wife material kwa kukwepa kutimiza majukumu muhimu
 
Ndio kabla ya kuoana mkubaliane sasa..... Si uzamani hamuutaki..... Halafu muoaji arejeshe mrejesho kwamba b'kharusi mtarajiwa anadai "kufua, kupika, kutandika mitanda, kufanya usafi ndani ni kazi za kupeana zamu... "... Maajibu utayapata....
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
subiri house girl akusaidie[emoji1] [emoji1] [emoji1] jifunze pia kusoma vitabu vya din vinamzungumziaje mwanamke.ktk familia na kazi zake..
 
.....UMEACHIKA NN unawashawishi wenzako WAWE viburi kwa WAUME zao waachwe kama wewe !..
 
Back
Top Bottom