Mliooa mnastahili pongezi

badala ya kutafuta nimtafutie, badala ya kulala nimlaze, badala ya kuzaa nimzalishe, badala ya kutajirika nimtjilishe, badala ya kuwasaidia wazazi wangu niwasaidie wazazi wake, badala ya kununua gari nimnunulie yeye, badala ya kunenepa nimnenepeshe, badala ya kutoka out nimtoe out, ongezea na ww mengine. hakika mwanamke sio ndugu yangu
 
Mkeo sio ndugu yako.
Ni zaidi ya ndugu chief...ukitaka watoto utafanyaje?utaowa nduguyo au utajizalisha?mwanzo nilikuwa na mawazo kama yako ila wakati ulinilazimisha niwe na mke,ni naturally utajipangia kwamba hutolala kwa week nzima na utaweza ila mengine kama binadam uliekamilika huwezi kuyakwepa.
 
Aisee....
 
Hebu nioneshe wapi nimesema sitaki kuoa.
 
Kwani wewe hujasikia mwanandoa akiumwa mwenzie ANAMKIMBIA? Sio guarantee eti ukioa ndio utahudumiwa na ukiemuoa katika shida anaweza kukimbia vile vile.
Mali zako will pay for medical attention kuanzia kuogeshwa hadi dawa.
 
Reactions: ywf
Kwani wewe hujasikia mwanandoa akiumwa mwenzie ANAMKIMBIA? Sio guarantee eti ukioa ndio utahudumiwa na ukiemuoa katika shida anaweza kukimbia vile vile.
Mali zako will pay for medical attention kuanzia kuogeshwa hadi dawa.
acha ukauzu wewe.njoo nikuunganishe na mtoto wa bilionea hatotumia hata centi yako
 
Kwani wewe hujasikia mwanandoa akiumwa mwenzie ANAMKIMBIA? Sio guarantee eti ukioa ndio utahudumiwa na ukiemuoa katika shida anaweza kukimbia vile vile.
Mali zako will pay for medical attention kuanzia kuogeshwa hadi dawa.
But ur money will never give you unconditional love
 
acha ukauzu wewe.njoo nikuunganishe na mtoto wa bilionea hatotumia hata centi yako
Ha ha ha mimi sio Mario.....on a serious note kuna mtoto wa bilionea nilimkataa sasa hivi najuta maanake masikini wenzangu nao balaa!
 
Ha ha ha mimi sio Mario.....on a serious note kuna mtoto wa bilionea nilimkataa sasa hivi najuta maanake masikini wenzangu nao balaa!
na nikuambie kitu hakuna mwanamke asiependa kula hela ya mwanaume hata awe na hela vipi.wewe kusanya tu ila ipo siku zitaliwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…