S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,621
- 32,736
Umeweka picha ya obote tuu,Yake wapi?!!!Mlinzi wa Obote arudi Uganda baada ya kuishi Tanzania kimyakimya kwa zaidi ya miaka 50.
Kijiji cha Agora wilayani Soroti nchini Uganda kililipuka kwa furaha baada ya wake wawili kuungana tena na mume wao, waliyedhani amekufa kwa miaka 51 iliyopita.
Bwana Vincent Obodo aliyekuwa mlinzi wa aliyekuwa Rais wa Uganda Milton Obote, alikimbia Uganda mwaka 1971 baada Idi Amin kumwondoa madarakani Obote.
Hiyo ilikuwa mara ya mwisho kwa kuonana wake Bibi Josephine Ariamo, 76, na Anna Loyce Ideta, 71. Bw. Obodo alijificha nchini Tanzania kwa muda wote huo, hadi ijumaa iliyopita aliporudihwa na wafanyakazi wa Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR.
View attachment 1780502Wake zake hao walisema walidhani amekufa kwani hawajawahi kuwasiliana naye tangu mwaka 1971.
Kwani Tz hapa hapa jilani na ug ukae miaka 51 bila kuenda kuona familia huyu alikua na yakwake mengine sio bureMlinzi wa Obote arudi Uganda baada ya kuishi Tanzania kimyakimya kwa zaidi ya miaka 50.
Kijiji cha Agora wilayani Soroti nchini Uganda kililipuka kwa furaha baada ya wake wawili kuungana tena na mume wao, waliyedhani amekufa kwa miaka 51 iliyopita.
Bwana Vincent Obodo aliyekuwa mlinzi wa aliyekuwa Rais wa Uganda Milton Obote, alikimbia Uganda mwaka 1971 baada Idi Amin kumwondoa madarakani Obote.
Hiyo ilikuwa mara ya mwisho kwa kuonana wake Bibi Josephine Ariamo, 76, na Anna Loyce Ideta, 71. Bw. Obodo alijificha nchini Tanzania kwa muda wote huo, hadi ijumaa iliyopita aliporudihwa na wafanyakazi wa Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR.
View attachment 1780502Wake zake hao walisema walidhani amekufa kwani hawajawahi kuwasiliana naye tangu mwaka 1971.
Mlinzi wa Obote arudi Uganda baada ya kuishi Tanzania kimyakimya kwa zaidi ya miaka 50.
Kijiji cha Agora wilayani Soroti nchini Uganda kililipuka kwa furaha baada ya wake wawili kuungana tena na mume wao, waliyedhani amekufa kwa miaka 51 iliyopita.
Bwana Vincent Obodo aliyekuwa mlinzi wa aliyekuwa Rais wa Uganda Milton Obote, alikimbia Uganda mwaka 1971 baada Idi Amin kumwondoa madarakani Obote.
Hiyo ilikuwa mara ya mwisho kwa kuonana wake Bibi Josephine Ariamo, 76, na Anna Loyce Ideta, 71. Bw. Obodo alijificha nchini Tanzania kwa muda wote huo, hadi ijumaa iliyopita aliporudihwa na wafanyakazi wa Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR.
View attachment 1780502Wake zake hao walisema walidhani amekufa kwani hawajawahi kuwasiliana naye tangu mwaka 1971.
Huyo hakua amejificha acha kutaka kumaanisha nchi yetu inehusika kuficha maspy huyo alikua hataki tu kurudi huko kwao unaposema alikuawa amejificha maana yake kwa miaka 50 amekua hajulikani alipo inawezekanelaje hii?
Tayari picha imewekwaPICHA
Tayari picha imeshawekwa mkuuMwaga photos sasa
TayariWapi Picha mkuu ?📸
Tayari mpwaMbona
Umeweka picha ya obote tuu,Yake wapi?!!!
Hatari na nusuKuna mmoja pia alikua anaitwa Tito alikua kwenye team ya obote aliajiriwaga kama afisa kilimo wakati wa nyerere huko mkoani rukwa akaoa akazaa na watoto sema badae alikuja kupata matatizo ya akili. Aliishi sana namanyere.
Aliwahi kufungwa kwa kosa la kumtoa bibi mmoja jicho jirani yake. Kiuhalisia hakua sawa kisaikolojia.
Huko uganda aliacha mke na watoto walimtafuta sana mpka wakafanikiwa kumpata hivi sasa yuko uganda mwaka wa 5 huu.
Najiuliza hawa walinzi wa obote walipata na nn kiasi cha kushindwa kabisa kurudi uganda licha ya kuacha wake+watoto.