GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,645
- 109,018
GENTAMYCINE nikiwaambia Mbunye ni Tamu na haina cha Komando wala Uzee ( Umri ) msiwe mnanibishia sawa?
Haya Mzee Dominick Baine wa huko nchini Uganda mwenye Umri wa miaka 115 aua Mkewe aliyekuwa na miaka 105 kwa Kumnyima Utamu ( Ngono ) baada ya Mke huyo ( ambaye wengi wetu hapa JamiiForums ni Bibi yetu ) kumwambia kuwa amechoka na anasikia Kizunguzungu na kwamba asubirie apone kisha atampa yote ila Babu yetu akaona Bibi anamchelewesha huku tayari Mlingoti wake ukiwa Umeshapata Ushirikiano wa Kujichomeka Kunakotakiwa.
Pitieni DW Swahili mpate za ndani.
Haya Mzee Dominick Baine wa huko nchini Uganda mwenye Umri wa miaka 115 aua Mkewe aliyekuwa na miaka 105 kwa Kumnyima Utamu ( Ngono ) baada ya Mke huyo ( ambaye wengi wetu hapa JamiiForums ni Bibi yetu ) kumwambia kuwa amechoka na anasikia Kizunguzungu na kwamba asubirie apone kisha atampa yote ila Babu yetu akaona Bibi anamchelewesha huku tayari Mlingoti wake ukiwa Umeshapata Ushirikiano wa Kujichomeka Kunakotakiwa.
Pitieni DW Swahili mpate za ndani.