Mlinzi wa Obote arudi Uganda baada ya kuishi Tanzania kimyakimya kwa zaidi ya miaka 50

Kwan wanawake wa Tz c wazur KULIKO wa UG ndio maana ame sustain all years and he will be Back in Tz
 
Mzee mhuni tu huyo haiwezekani akae miaka yote hiyo bongo bila kwenda kuona familia yake labda Kama angekua amerika huko labda
Atajitetea kwamba baharia alizamia majuu Sasa hapa na Uganda pana umbali gani na hata Kama alikua wanted mbona Idd amin aliondoshwa mapema sana miaka hiyo hiyo aliyosepa?

Huyu mzee anaonekana kabisa alikua kijana aliyechangamka na Kama alipomaliza mission akapata mgao na kupata
mwanamke wa kitanga daedeq lazima tu angesahau kwao miaka 100

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Alikula limbwata la kizaramo hii si bure hii!!! yaani wale unaweza kuoga mpaka papuchi zao!! siku likiisha nguvu ndo km hivi!!
 
Kuna mmoja pia alikua anaitwa Tito alikua kwenye team ya obote aliajiriwaga kama afisa kilimo wakati wa nyerere huko mkoani rukwa akaoa akazaa na watoto sema badae alikuja kupata matatizo ya akili. Aliishi sana namanyere.

Aliwahi kufungwa kwa kosa la kumtoa bibi mmoja jicho jirani yake. Kiuhalisia hakua sawa kisaikolojia.

Huko uganda aliacha mke na watoto walimtafuta sana mpka wakafanikiwa kumpata hivi sasa yuko uganda mwaka wa 5 huu.

Najiuliza hawa walinzi wa obote walipata na nn kiasi cha kushindwa kabisa kurudi uganda licha ya kuacha wake+watoto.
Kwanini watu wengi waliopitia majeshi huwa wanakuwa hivi?
 
Back
Top Bottom