Mnyunguli
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,570
- 3,906
Mkuu tema mate chini.Nawaza tu kuna baadhi hapa mnasema stress juu ya mshahara mdogo nk.
What about jobless? Mmefikiria japo na upande huu, how do they feel??
Izi mambo sio za kufagilia kabisa, kujitoa uhai kizembe damn!!
Mtoto wa kiume ni kugangamanya vijana acheni hizi mambo kabisa.
Nikawaza vile life’s good. Afu huku kuna watu wanajitoa uhai damn useless kabisa
Give me a break!!
Mungu atuepushe na ujinga huu wa kifkra