National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,179
- 55,996
Tunategemea project mbovu,Suma hit ilikuwa zamani siku hizi wanaokota watu mabarabarani washachoka na maisha unategemea mini?
Tunategemea project mbovu,Suma hit ilikuwa zamani siku hizi wanaokota watu mabarabarani washachoka na maisha unategemea mini?
Suma mishahara yao inarange kwenye sh ngapi???
Umri mdogo halafu mzuri sana sijui nini kilimkuta
Uko sahihi kabisaa. Huu mfumo wa kila mtu na lwake ni mbaya. Siku hizi hata kutembeleana imekuwa changamoto. Mambo mengi mnamaliza ktk simu. Na hata mkikutana aiyenacho hathaminiki. Inapelekea kila kuweka nguvu kutafuta pesa ili apate furaha kwa sababu maishabya sasa bila pesa huna furaha na hupewi furaha na yeyote.Maisha ya sasa yanastress sana. Mtu asipokuwa na safe zone yake na watu wake wa kumpa social support na security muda wowote kwa tatizo lolote mtu anapokosa msaada ndio ile unasikia kafanya mambo ya ajabu.
Huu mfumo wa sasa sio mfumo ambao waafrika wamezoea kuishi maana hatupo compatible nao. Sisi tunaishi kijamii zaidi. Hatuachani kiasi hicho.
Nilikutana nao msimbazi B hapo kariakoo. Tuko katika kuwai magari. Foleni ni kubwa. Unampa tiketi anakata anaweka ktk dustbin au unaenda nayo. Msongamano ni mkubwa nimetoka kulipa nikaona kwa kuwa anaweka ktk dustbin basi ni rahisishe zoezi. Nikafika pale, ile nampa kabla hajapokea ikiwa nusu mkononi mwake na nusu kwangu nikaifanya ichanike. Aisee...yule dogo akasimama amekasisrika. Akasema serikali imeniweka hapa kwa ajili ya kuchana na wewe unafanya kazi yangu hapa hupiti.Dah nimekumbuka hao Suma jkt waliwahi kunibananisha eti kisa nimewasalimia kwa namna ya vijana wa kisasa wanavyosalimiana...
"Oy wanangu mambo vipi"
Eh bwana we wakaitana wakanizingira na kuanza kuniuliza oy kwa hiyo we chalii hivi unaweza kuwa na watoto Kama sisi?
Nikiwaangalia Wana 23 -26 hivi miaka yao kipindi hicho mi nna 21 hivi.
Walichonishangaza Ni kushindwa kunijibu kishkaji yaani ""POA mwanetu vipi harakati"
Sema Nini Poa tu one day nami nitakua waziri wa fedha.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu tema mate chini.
Duh wakorofi sema Nini kwa saikolojia ya kijeshi ya kuitikia ndio kwa kila Jambo, kuwa kinyume na wanavyokuamuru hupata hisia za kudharaulika.Nilikutana nao msimbazi B hapo kariakoo. Tuko katika kuwai magari. Foleni ni kubwa. Unampa tiketi anakata anaweka ktk dustbin au unaenda nayo. Msongamano ni mkubwa nimetoka kulipa nikaona kwa kuwa anaweka ktk dustbin basi ni rahisishe zoezi. Nikafika pale, ile nampa kabla hajapokea ikiwa nusu mkononi mwake na nusu kwangu nikaifanya ichanike. Aisee...yule dogo akasimama amekasisrika. Akasema serikali imeniweka hapa kwa ajili ya kuchana na wewe unafanya kazi yangu hapa hupiti.
Nikamwambia hiyo tiketi haina makosa tuangalie tarehe. Akasema inshu siyo makosa ya tiketi. Inshu unachanaje tiketi na Mimi Niko hapa. Nikaa ktk foleni ktk lane moja watu hawapiti. Ikawa utata. Suma wakaongezeka. Wakaja wawili wengine. Ikataka kuwa vurugu. Nikamwambia yule jamaa kuwa ktk umri mdogo wa ujana kama vile kwa nini ana complicate mambo na sisi ni vijana tunaweza kukutana sehemu yyte. Ohhh...ni kawa nimemwagia moto petrol. Mwishowe nikalipa 650 tena ili kuingia.
Inshort nilikuwa na makosa. Sikuruhusiwa kuchana Mimi ila jinsi walivyorespond sasa naelewa kwanini.
Ukumbusho mzuri kakaMungu mwenyezi mtukufu
Hajatuleta dunia tujidhulumu nafsi zetu.
Tuswali sana na kuomba Rehma kwake Mtukufu Mwenyezi
Aliyeidhulumu nafsi analake la kujibu, kikubwa kuwa karibu na Mwenyezi Mungu.
Haijalishi unapitia hali gani au madhila yepi,
“AMESEMA MOLA MWENYEZI, NIOMBENI NAMI NITAWAJIBU”
Ukumbusho mzuri kaka