Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
(Hii ni ya mwaka 2007; Ref - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/6087-maskini-rais-wanguuu.html )
Miye sitaki kusema lakini labda tatizo ni kubwa zaidi...
sijaelewa hata kidogo ufafanuzi tafadhali.
1. kikwete alichekwa kwa lipi?
2. na kwa hili nini lengo lake?
.sijaelewa hata kidogo ufafanuzi tafadhali.
1. kikwete alichekwa kwa lipi?
2. na kwa hili nini lengo lake?
mbona figure na words zinatofautiana mkuu kwenye cheque?