odinyo
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 429
- 109
Soma cheque vizuri
ikisha soma?
je ulitaka angeandika yy mwenyewe? maana hapo ndio angelikua na uhakika kama alichokifanya ni sahihi.
tumshutumu/mdhihak kwa jambo la kweli. hapo wa kulaumiwa ni mwandika chq na huyo mkurugenzi au mnataka awe anajiridhisha kabla haja ugeni rasm?