Mlimcheka Kikwete; wengine hawa...sijui tutasingizia nini !!

Hiyo ilitakiwa kusomeka - Two hundred eighty six million nine hundred thousand only, mimi ni mhandisi lakini naamini kihasibu hakuna mambo ya kuweka &, hata neno 'and' kwenye amount in words halitakiwi.
Hapo walitakiwa kuandika: Two Hundred Eighty Six million Only Cents Nine.
 
Hiyo ilitakiwa kusomeka - Two hundred eighty six million nine hundred thousand only, mimi ni mhandisi lakini naamini kihasibu hakuna mambo ya kuweka &, hata neno 'and' kwenye amount in words halitakiwi.

"and" kwenye hundi inamaanisha sifuri. Kwa mfano kama ukiataka kuandika Tshs 208,000/= utasema Two hundred and Eight thousand, pia ukitaka kuandika 305, utasema three hundred and five only.
 
Kama hadi magari ya rais yanawekwa mafuta yaliochakachuliwa, hapo ni kipi cha kushangaa!!
 
Tatizo kubwa wanalo hao wafanyakazi wa hizo bank lakini kwanini unakubari kupokea hati yenye makosa makubwa hivyo, mama salma yenye mpaka kaweka saini yake pale chini. Raisi akiwa kwenye ziara huwa anakuwa na wapambe nao huwa hawaoni haya mapungufu na kumwambia kabla haja pose kwa picha.
 
ndio maana viongozi wetu wanaongozwa kwa kupigwa changa la macho..wazoea kuchekacheka bila kuangalia uhalisia
 
Ebu nijaribu... hiyo figure hapo ni 286,900,000.00 then intakiwa isomeke Two hundred eight six million and nine hundred thousand only
 
wahasibu wa vyuo vya voda faster na wana ndugu wa kuhakikisha wanapata ajira haraka katika shemu nyeti kama TRA bank na BOT. suala la kupeana kazi kwa ndugunisation litufikisha pabaya!
 
Ebu nijaribu... hiyo figure hapo ni 286,900,000.00 then intakiwa isomeke Two hundred eight? six million and nine hundred thousand only

Duh! Mkuu, kama na wewe ungekuwa ni mshauri wa hao wakuu basi mambo yangekuwa mabaya zaidi.
Bora usingejaribu kurekebisha. Ilitakiwa isomeke; (Two hundred eighty six million nine hundred thousand only).

 
japo nilikuwa na uelekeo, zingatia na ulevi tulioamka nao leo!
Duh! Mkuu, kama na wewe ungekuwa ni mshauri wa hao wakuu basi mambo yangekuwa mabaya zaidi.
Bora usingejaribu kurekebisha. Ilitakiwa isomeke; (Two hundred eighty six million nine hundred thousand only).

 
tena ninadhani katika kiboma alitakiwa kunadika namba tu neno Mil halitakiwi?

Hapo walitakiwa kuandika: Two Hundred Eighty Six million Only Cents Nine.

cents inatoka wapi na ww? ungekuwa umo ktk makabidhiano hayo, ungekurupuka na kubadilisha madudu tu. hiyo ni 286,900,000/= (two hundred eighty six million nine hundred thousands only)
 
TPSF
NMB
zote zimesheheni wasimu wa ndani na nje ya nchi na wanalipwa mamilioni.

This country has gone to the dogs
M

Mkuu HANS ROGER DIBAGULA Mh. Dr. Augustino Lyatonga Mrema akikusikia!! Unakumbuka alivyowaka wakati mwalimu Nyerere alivyotumia hayo maneno kuonyesha kwamba NCCR - Mageuzi ilikuwa haijakomaa kupewa nchi?
 
Last edited by a moderator:
Umbeya mtupu hakuna lolote hapo hilo ni toi la cheki

Tumeviiimba tunadhani hiyo ndiyo hundi halisi ambayo itapelekwa benki kuchukua pesa! Kwanza ikienda benki haiwezi kukubaliwa kwa kuandikwa 286.9 millioni hata kama kila kitu kingekuwa sawa.

Hilo ni sawa na mwanasesere tu siye tunadhani mtoto kweli!
 
sijaelewa hata kidogo ufafanuzi tafadhali.

1. kikwete alichekwa kwa lipi?
2. na kwa hili nini lengo lake?

Kwa kweli kama hujaelewa wewe utakuwa unafanana na walioandika hundi hizo, hebu angalia tarakimu na maneno yaliyoandikwa kama vinafanana, mimi naona walikuwa tu na uharaka wa kuandika ndiyo maana wakakosea, pia huo ni mfano tu wa hundi na wala siyo hundi kamili.
 
MM lugha (kingereza) inaweza kuwa tatizo letu kubwa. Lakini tatizo laetu kubwa zaidi ni kukosa umakini! sijui inakuwaje kwa jicho la kawaida tu tena la haraka haraka unaweza ona dosari kwenye hayo maandishi, sembuse huyo aliyeyaandika, na huyo afisa wake wa juu aliyeyahakiki na kisha kwa huyo mtoa cheki hakusoma au nae hakuona kitu...na ndo tunavyoenda mpaka ngazi za maamuzi za taifa. si unakumbuka mkuu wa nchi alisaini sheria ambayo hata yeyey hayaisoma na akaisaini mbele ya kadamnasi na maTV kibao 'live'? umakini ni tatizo letu kubwa sana sana!
 
Duh! Mkuu, kama na wewe ungekuwa ni mshauri wa hao wakuu basi mambo yangekuwa mabaya zaidi.
Bora usingejaribu kurekebisha. Ilitakiwa isomeke; (Two hundred eighty six million nine hundred thousand only).

kweli hili ni tatizo kubwa sana daaaH!!!
 
Back
Top Bottom