Mlimani city "kama nawatch movie"!

Mlimani city "kama nawatch movie"!

Bongo na malls wapi na wapi? Wewe ndiye wale wale mnaopretend siyo wabongo! Mnadharau vya kwenu! Kariakoo kwangu is everything! Sioni sehemu nyingine nayoweza kufanya shopping ya uhakika na kwa garama nafuu kama Kariakoo!
acha mtizamo hasi wapi nimedharau kariakoo,nauliza malls ,kama ww k'koo ndiko unakopata needs zako and ur satify its okey ,
 
Nyani Ngabu;
Ohh yeah nyie endeleeni kunyuka mitumba tu. Pamba za akina Tom Ford, Lanvin, Gianvito Rossi, Barton Perreira, Ann Demeulemeester (unaweza hata kulitamka hili jina wewe? - teh teh teh)....tuacheni sisi mashine kubwa.
aliyeko juu usimgoje chini.
 
Mlimani City kwani nayo mall hiyo? Hata strip malls za mbele ni kali kuliko hiyo Mlimani City. Kwanza imekaa kama banda flani la kuku wa mayai hivi....
Wewe kweli nyani, yaani unaponda kwenu kiasi hicho!!!!!!!
 
acha mtizamo hasi wapi nimedharau kariakoo,nauliza malls ,kama ww k'koo ndiko unakopata needs zako and ur satify its okey ,
Ur satisfy ndo nini sasa!!!!!! Badala ya kujifunza lugha unashangaa malls
 
Huu mjengo pembeni ya Sam Nujoma Road unambwembwe zake ukiingia mle ndani watu wanabehave kama vile si watz, kama vile hii nchi haina matatizo (umeme) watu wanaspeak kwa Swaga balaa..mara "you know" or "actually" nasema haya coz nilizungumza watu tofauti mle ndani nkasema may be huku siko tz nnayoijua,watu wako class ,happy ,watanashati ,health ! mazingira hayo yakapelekea nione kama Nawatch aina fulani ya movie!


Alafu tatizo majority sio kwamba wanaenda kuangalia movie in question...
wengi wanaenda tu kuuza sura... mnaingia Cinema na movie ni mpya kabisa
unaona neighbors wako busy na BB zao wana chat au ku browse... Inakua ka
ana report kwenye eneo la tukio ili akiwa na friends/kijiwe aseme na yee kaangalia the movie in qn.
 
ila umeziona mbwembwe za watz ndani M.city ndo tabia yetu usanii tu hata kama wananjaa!

Dah....wabongo wengi hasa walioenda shule ni wasanii na watu wa kujikweza sana.Kwenye super markets wana-igiza sana.Sijui ni ulimbukeni ama ni nini.loh....

Mlimani City kwani nayo mall hiyo? Hata strip malls za mbele ni kali kuliko hiyo Mlimani City. Kwanza imekaa kama banda flani la kuku wa mayai hivi....

sehemu ya kawaida sana....cha kushangaza watu hapo ndiyo wanaona kwamba tumeendelea.ndiyo maana viongozi wetu kwa sababu wanajua mentality zetu wanatuingiza mkenge daily!
 
Ni kweli mlimani city kwa mtu usiyepajua unaweza sema ma mtoni manake watu mbwembwe kibaaao. Ila ndio mabadiliko ya kijamii tena
 
Mkimaliza kuzunguka mlimani city tukutane Butiama pale kwa pilau maarufu..Au Wizard Camp nyuma ya Best Bite!!
 
(Bongo na malls wapi na wapi? Wewe ndiye wale wale mnaopretend siyo wabongo! Mnadharau vya kwenu! Kariakoo kwangu is everything! Sioni sehemu nyingine nayoweza kufanya shopping ya uhakika na kwa garama nafuu kama Kariakoo!)​

  • ..tena kariakoo..na bei mnapunguziana....
 
Mkimaliza kuzunguka mlimani city tukutane Butiama pale kwa pilau maarufu.!!

Ya hapo Magomeni? jamaa wachafu sana siku hizi ukila hapo lazima baadaye uendeshe, nitakupa new location ya pilau na biryani safi na bei ni rafiki tu kama hapo butiama
 
Ohh yeah nyie endeleeni kunyuka mitumba tu. Pamba za akina Tom Ford, Lanvin, Gianvito Rossi, Barton Perreira, Ann Demeulemeester (unaweza hata kulitamka hili jina wewe? - teh teh teh)....tuacheni sisi mashine kubwa.
Are you goin with that ho? past tense of pee
 
Ngoja ce 2endelee kubaki huku corner bar 2jinywee vibia vye2 vya promotion,nyie wenye swagar za brooklyn na manhattan kuleni maisha 2.
Mi niko milimani city nafanya shopping (lol) nikimaliza nakuja kukukuta hapo hapo...
 
Ya hapo Magomeni? jamaa wachafu sana siku hizi ukila hapo lazima baadaye uendeshe, nitakupa new location ya pilau na biryani safi na bei ni rafiki tu kama hapo butiama

Usiniambie, basi sikanyagi tena Butiama(ni kitambo sijatia mguu)!..hebu nipe hiyo new location!..maana habari ya kuzunguka zunguka mlimani city siiwezi!!..
 
Back
Top Bottom