Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Huu mjengo pembeni ya Sam Nujoma Road unambwembwe zake ukiingia mle ndani watu wanabehave kama vile si watz, kama vile hii nchi haina matatizo (umeme) watu wanaspeak kwa Swaga balaa..mara "you know" or "actually" nasema haya coz nilizungumza watu tofauti mle ndani nkasema may be huku siko tz nnayoijua,watu wako class ,happy ,watanashati ,health ! mazingira hayo yakapelekea nione kama Nawatch aina fulani ya movie!