Lamtongi
Member
- Jul 6, 2011
- 38
- 7
Huyo jamaa kilaza kweli kweli alafu anajidai anauliza uliza! Sidhani kama ataelewa hata akiambiwa...! Lol!Ur satisfy ndo nini sasa!!!!!! Badala ya kujifunza lugha unashangaa malls
Huyo jamaa kilaza kweli kweli alafu anajidai anauliza uliza! Sidhani kama ataelewa hata akiambiwa...! Lol!Ur satisfy ndo nini sasa!!!!!! Badala ya kujifunza lugha unashangaa malls
Mlimani City kwani nayo mall hiyo? Hata strip malls za mbele ni kali kuliko hiyo Mlimani City. Kwanza imekaa kama banda flani la kuku wa mayai hivi....
Mlimani City ni ufisadi...haiikaribii hata Waterfront Cape Town. Ni sawasawa na godown lenye AC na mbwembwe. Hamna kitu cha kushangaza pale.
kuiga sana mwishowe ni kuharibu.Nalog off
Wabongo bwana..Mall itakuwa mlimani city mpk walete mapozi wakiwa mle ndani? Watu watembee kdg waone tulivyo upupu mbele ya Mall za wenzetu....
Acha waterfront hata Cavendish pale Claremont ( Cape town) haifikii!! Kalagabaho...
ungejifanya tu kidume, na huyo shori unaye mpaka leo?mkuu hapo kwenye! red .. nilipata shori flani alinambia tukutane hapo.. ebana balaa.. niliingia vichomi! ilibidi nimwambie ebana bili si nusu kwa nusu ...
Sijui itakuwaje walmart ikishushwa bongo!
yap wamejitahidi na ukizingatia ni mtanzania mwenzetu amefanya hiyo investment.Mpango mzima uko Quality Centre jaribu uone
watu tumetofautiana, mie mlimani city sijui napaonaje, yani binafsi sipapendi. ni mtazamo tuHuu mjengo pembeni ya Sam Nujoma Road unambwembwe zake ukiingia mle ndani watu wanabehave kama vile si watz, kama vile hii nchi haina matatizo (umeme) watu wanaspeak kwa Swaga balaa..mara "you know" or "actually" nasema haya coz nilizungumza watu tofauti mle ndani nkasema may be huku siko tz nnayoijua,watu wako class ,happy ,watanashati ,health ! mazingira hayo yakapelekea nione kama Nawatch aina fulani ya movie!
Yah itakuwa balaa, sijui kama itafika huku ibaki hukohuko kwa watu.
Mlimani City sijazoea kwenda hapanivutii kabisa, MAYFAIR PLAZA, pana nivutia sana
Hivi wewe unataka kujidai mgeni sana au? Yaani uko hapa Bongo halafu unajidai unauliza kuhusu mall za ukweli? Na umetoka kusema jamaa wasanii sana hapo Mlimani City, hivi unataka kutuambia nini kuhusu wewe mwenyewe, halafu we si mate wangu kule Arusha wewe, usiniangushe bana!ishu siyo majuu nao wanakuja huku'najua tumekuzwa na magenge nauliza bongo malls za ukweli !