Mkwasi Rostam na Vodacom

Mkuu huyu Rostam dawa yake sio kususia huduma ya vodacom dawa yake ni kuuanika ufisadi wake hadharani na njia alizotumia ili mali zake zitaifishwe. Hiyo voda najua ameajiri mitoto mingi ya mafisadi lakini tukumbuke hata walalahoi tupo tunaojipatia kaugali kwa siku.

Mkuu uozo wa RA uko nje nje mwingi na hakuna wa kumgua.Kumbuka ukimgusa RA means umemgusa Lowasa na labda hata Muungwana mwenyewe .Sasa dawa ni ku sacrifice wachache na kuokoa Taifa .Tutaulizwa na watoto wetu na wajukuu na watatupiga mawe hadharani maana tabia hii inarithishwa na ni hatari mno kwa umoja wa kitaifa na maendeleo yake .
 
Nchi hii "Money laundering" ilianza siku nyingi kama alivyofanya RA kwenye VODA, HABARI CORP., CCM( hadi tukampata Kikwete!). Nawaonea huruma Watanzania wenzangu walioajiriwa kwenye TAASISI hizi. Tukisusa watakwenda wapi? Serikali yetu inapata kodi kiasi gani toka VODA?
 
Unataka ushahidi wa aina gani ? Umesoma hata mtu katoa hapa jedwali kuonyesha Rostam ana share ngapi kule Vodacom ? Ina maana ni kwlei hujui kwamba RA ana share vodacom ?

Wekaushahidi tafadhali, ,mimi sio mmoja kati ya wale wanaopenda kufuata mkumbo, eti usitumie mtandao wa voda kisa eti ni wa Rostam, nishawishi niweze kukubaliana na wewe pls.
 
Mkuu huyu Rostam dawa yake sio kususia huduma ya vodacom dawa yake ni kuuanika ufisadi wake hadharani na njia alizotumia ili mali zake zitaifishwe. Hiyo voda najua ameajiri mitoto mingi ya mafisadi lakini tukumbuke hata walalahoi tupo tunaojipatia kaugali kwa siku.


Activists Call for Boycott of Diamond Giant Leviev for Support of Israeli Settlements and Links to Human Rights Abuses in Africa

Leviev, the world’s largest cutter and polisher of diamonds, has been linked to expanding Jewish-only settlements in the Palestinian West Bank and a sketchy human rights record in Angola, where it controls the diamond supply. We speak to two Palestinian and Jewish members of Adalah-New York, a group that’s held weekly protests outside Leviev’s Madison Avenue store.

So what are you calling for right now, Lubna Mikkel?

LUBNA MIKKEL: Well, we’re basically calling for a boycott of Leviev and his jewelry store and his businesses in New York City. We’re basically aiming at educating and raising the awareness of New Yorkers of the human rights violations, of the wide spectrum of human rights violations that Leviev and Shaya Boymelgreen are involved in. And we’re calling for their—we’re calling on Leviev and Shaya Boymelgreen to end their construction of the settlements immediately.




Finally, Katie Unger, on that issue of diamonds in Angola and what you are demanding of Leviev there?

KATIE UNGER:
One of the things about Leviev and one of the reasons why these protests outside Leviev have caught such international attention is that they bring together atrocities around the world. And so, in addition to calling on Leviev to end his settlement construction and end his problematic building practices in New York, we are calling on Leviev to ensure human rights in his diamond [inaudible], and we’re supporting Angolan human rights activists who are calling for free elections and improved conditions in diamond mines there.


FULL STORY: democracynow.org


Mother Teresa alisema,
"Do not wait for leaders; do it alone, person to person"


.
 
wakuu wangu wa hapa jamvini.

katika mapambano ni lazima kutofautiana, na katika kutofautiana kuna kuelimishana, baada ya watu kuelimishwa na kuonekana hawataki kuelimika, kama ni vitani kuna lazima au kuwaburuza mstari wa mbele. au kuwafungia ndani wasijue kinachoendelea. katika vita yetu dhidi ya ufisadi mkuu lunyungu ametupa somo murua. kuwa sasa tutumie silaha nyingine nyepesi nayo ni kususuia mafisadi kwa njia rahisi.

ni nani kati yenu atakayekataa kuwa rostam anatumia ulimbukeni wa wanasiasa wetu kujitajirisha kwa njia haramu na kwa hatari ya taifa letu.?

ni nani atabisha kuwa fisadi huyu ameshapitisha kile kiwango cha juu cha ile theory maarufu na sasa yuko pale juu kabisa anatafuta self actualization. kwa maana kwamba pesa zake hizo zifike mahali zimsadie ili awe hata mfalme wa nchi hii ili tusujudie na kumpgia magoti? pesa alizopata kwenye ufisadi.

ni nani kati yenu atakataa kuwa bila rostam na lowasa hakuna ccm? na ccm ni rostam na lowasa? na kuwa kikwete ni kama tarishi wao?

wakuu wangu kama tunaamini hayo tunayo silaha moja, silaha kama aliyotumia martin luther king, kwa kuwataka watu weusi wakasusuia mabasi ya watu weupe. na mwisho akafauku kuutokomeza ubaguzi wa rangi huko marekani kwa kiwangi kikubwa.

ni kweli kuwa tunao msururu wa kampuni za kifisadi, lakini kwa kuanznia tuanze na huyu na wengine watashtuka.

nitawaomba wakuu wengine hapa, katika ku-intesify vita hii, wanaofahamu wawaandkike pia vodafone uk, ambao wanamiliki pia vodacom kuwa vita imetangazwa, hii ni kuwaonya wanaojiita wawekezaji wanapokuja hapa nchini wawe macho na matapeli kama akina rostam

wanaosema eti tukisusia voda uchumi utaathirika wanaota ndoto za ajabu. wateja wa voda watahania mitandao mingine na huko serikali itaendelea kupata kodi yake. na wale waajiriwa wa voda itabidi wahamie kwenye kampuni nyingine za simu kwa kuwa ajira zitaongezeka sambamba na wateja wapyaa

WAKUU HAKUNA TUTAKACHOPOTEZA KATIKA HILI, BALI TUTAKUWA TUMEMPA FUNZO MAMVI NA HUYU MUAJEMI WAKE
 
wakuu wangu wa hapa jamvini.

katika mapambano ni lazima kutofautiana, na katika kutofautiana kuna kuelimishana, baada ya watu kuelimishwa na kuonekana hawataki kuelimika, kama ni vitani kuna lazima au kuwaburuza mstari wa mbele. au kuwafungia ndani wasijue kinachoendelea. katika vita yetu dhidi ya ufisadi mkuu lunyungu ametupa somo murua. kuwa sasa tutumie silaha nyingine nyepesi nayo ni kususuia mafisadi kwa njia rahisi.

ni nani kati yenu atakayekataa kuwa rostam anatumia ulimbukeni wa wanasiasa wetu kujitajirisha kwa njia haramu na kwa hatari ya taifa letu.?

ni nani atabisha kuwa fisadi huyu ameshapitisha kile kiwango cha juu cha ile theory maarufu na sasa yuko pale juu kabisa anatafuta self actualization. kwa maana kwamba pesa zake hizo zifike mahali zimsadie ili awe hata mfalme wa nchi hii ili tusujudie na kumpgia magoti? pesa alizopata kwenye ufisadi.

ni nani kati yenu atakataa kuwa bila rostam na lowasa hakuna ccm? na ccm ni rostam na lowasa? na kuwa kikwete ni kama tarishi wao?

wakuu wangu kama tunaamini hayo tunayo silaha moja, silaha kama aliyotumia martin luther king, kwa kuwataka watu weusi wakasusuia mabasi ya watu weupe. na mwisho akafauku kuutokomeza ubaguzi wa rangi huko marekani kwa kiwangi kikubwa.

ni kweli kuwa tunao msururu wa kampuni za kifisadi, lakini kwa kuanznia tuanze na huyu na wengine watashtuka.

nitawaomba wakuu wengine hapa, katika ku-intesify vita hii, wanaofahamu wawaandkike pia vodafone uk, ambao wanamiliki pia vodacom kuwa vita imetangazwa, hii ni kuwaonya wanaojiita wawekezaji wanapokuja hapa nchini wawe macho na matapeli kama akina rostam

wanaosema eti tukisusia voda uchumi utaathirika wanaota ndoto za ajabu. wateja wa voda watahania mitandao mingine na huko serikali itaendelea kupata kodi yake. na wale waajiriwa wa voda itabidi wahamie kwenye kampuni nyingine za simu kwa kuwa ajira zitaongezeka sambamba na wateja wapyaa

WAKUU HAKUNA TUTAKACHOPOTEZA KATIKA HILI, BALI TUTAKUWA TUMEMPA FUNZO MAMVI NA HUYU MUAJEMI WAKE


Siku zote mimi huwa nakubali kushindwa kwa hoja .Na nikishindwa haina mana kwamba nitapigana no .Nitakubali nakuanza upya .
Mimi si kama CCM wao wakishindwa katika hoja hutumia nguvu zote kukumaliza .Hapa wale wanao nipinga pia nawakubali si ndiyo demokrasia ? Sina chuki na sasa naoma Shime shime kwa wale ambao tumesha amua kupanda hii meli tafadhali ongezeni speed ya kutangaza maamuzi yetu haya .Tuwape wananchi hii silaha mpya .Maara hata kura huibiwa wakibusha virungu na polisi kuwapa kesi za mauji nk .Hatutaki vurugu Tanzania tunataka mabishano ya utulivu .

Vodacom waandikiwe waambiwe tumeanza kampeni .Wakitaka kujinusuru washushe bei zao na kumfukuza Rostam ama sivyo basi kazi imeanza na tutaendelea kuhubiri .waandishi wa magazeti tusaidieni kuandika kwamba huku tumeanza kampeni na wananchi waelewe kwa nini tunapambana na Vodacom .
 
nadhani sisi watanzania tunatakiwa kuiga wakenya .mafisadi wote tuwagome biashara zao. vodacom si kampuni njema kwa watanzania!
 
Bwana Lunyungu.

Naona wewe bado uko usingizini kabisa. Hiyo Celtel iliiibia Kampuni yetu ya TTCL na kuanzisha ya kwao. Ilipoanzisha wakaipiga teke TTCL. Hivyo Celtel ni mali ya wizi kutoka TTCL.

Hiyo Zantel nayo hebu ichunguze vizuri. Hapa Tanzania kila kitu kina mtu wake anayekula, utakimbilia wapi penye haki? Shauri yako mjomba.
 
Bwana Lunyungu.

Naona wewe bado uko usingizini kabisa. Hiyo Celtel iliiibia Kampuni yetu ya TTCL na kuanzisha ya kwao. Ilipoanzisha wakaipiga teke TTCL. Hivyo Celtel ni mali ya wizi kutoka TTCL.

Hiyo Zantel nayo hebu ichunguze vizuri. Hapa Tanzania kila kitu kina mtu wake anayekula, utakimbilia wapi penye haki? Shauri yako mjomba.


Kwa sasa our focus sisi watanzania ni pale alipo Rostam na wengine tutawatafuta taratibu .Pa kukimbilia ni TTCL ndilo hasa letu hili .Kuna ubaya gani tukienda TTCL ?


Njia nyepesi ya kufikisha ujumbe kwa wale wote ambao tuko Tanzania na tumeamua kuachana na Vodacom tuwe na fronts nyingi .Nashauri kabla hujatupa SIMcard yako basi peleka sms kwa watu hata 15 tu na wao waombe wasambaze ujumbe then tutakuwa tunachapa kazi .Kama wote wezi tuingie TTCL .
 
Kwa sasa our focus sisi watanzania ni pale alipo Rostam na wengine tutawatafuta taratibu .Pa kukimbilia ni TTCL ndilo hasa letu hili .Kuna ubaya gani tukienda TTCL ?


Njia nyepesi ya kufikisha ujumbe kwa wale wote ambao tuko Tanzania na tumeamua kuachana na Vodacom tuwe na fronts nyingi .Nashauri kabla hujatupa SIMcard yako basi peleka sms kwa watu hata 15 tu na wao waombe wasambaze ujumbe then tutakuwa tunachapa kazi .Kama wote wezi tuingie TTCL .

Lunyunyu,
Check PM yako now!
 
Mkuu Omutwale nimesha ona PM .Sasa naendelea na debe langu kwamba pelekeni sms kwa kasi kw akadiri mnavyo weza .Paparazi Muwazi onyesha uwazi wako kwa kuandika haya maazimio yetu iloi watanzanai waelewe tunapinga ninji tafadhali .
 
Mkuu Omutwale nimesha ona PM .Sasa naendelea na debe langu kwamba pelekeni sms kwa kasi kw akadiri mnavyo weza .Paparazi Muwazi onyesha uwazi wako kwa kuandika haya maazimio yetu iloi watanzanai waelewe tunapinga ninji tafadhali .

Andika ujumbe huu na mtumie mwenzako mwenye Vodacom kwa SMS: “Imegundulika, mtaji wa Vodacom sehemu kubwa ni fedha za ufisadi toka kwa Rostam Aziz. Tumia mtandao mwingine kuepuka kulipa fedha zako kuendeleza ufisadi. Ukijitoa kwenye ufisadi, unawapunguzia nguvu mafisadi. Sambaza Ujumbe”

Au tuma ujumbe huu:

“Afrika Kusini walivunja nguvu ya makuburu. Acha kuendelea kutunisha faida ya Fisadi Rostam Aziz. Achana na kampuni yake ya Vodacom. Tumia mtandao mwingine”.

Au:

“Je, wajua? Rostam Aziz anahisa nyingi Vodacom kwa fedha za ufisadi. Je, unataka kumwongezea fedha zaidi za kufanya ufisadi nchini? Okoa Taifa, jiunge na simu nyingine”.

Au:

“Kwanini utende dhambi kwa kuchangia katika ufisadi? Rostam Aziz ni mmoja wa wamiliki wa Vodacom. Tafakari, Chukua hatua”

Au:

“Ukipiga simu ana kutuma ujumbe kwa kutumia Vodacom unawaneemesha wamiliki mafisadi wakina Rostam Aziz, Noni na makuburu wa Afrika Kusini. Chagua ni lako”

Au:

“Vodacom, muondoe Rostam Aziz kabla watanzania hatujaucha mtandao wenu kwa kumilikiwa na watuhumiwa wa ufisadi. Tuma ujumbe huu kwenda 123, na mtumie na mwenzio”

Au

“Ama piga simu huduma kwa wateja namba 100; waulize Vodacom, je Rostam Aziz ni mmoja wa wamiliki? Wanasubiri nini mkutoa kwa ufisadi wake?


Kazi kwako lunyungu, nimeshakuanzishia mnyororo!
 
Watanzania kumekucha sasa mlitaka Paparazi muwazi aseme na sasa kesha longa.Watanzania chukueni hatua tafadhali .
 
Mada hii imechangiwa na wengi na kuungwa mkono .Tafadhali tuendelee na kampeni na kupeana feedback tumesha fanya nini hadi sasa .Kupeleka jumbe kila kona ndiyo priority kwa sasa impact inachukua muda kabla haijaonekana .
 
Nimechagua huu,

  • “Vodacom, muondoeni Rostam Aziz kabla watanzania hatujasusia mtandao wenu kwa kumilikiwa na watuhumiwa wa UFISADI. Tuma ujumbe huu kwenda 123, na mtumie mwenzio”

Ningependa kuongezea huu ujumbe kidogo kuhitimisha. Any ideas?


.
 
Tusisahau ku-compose a good De-marketing email message ili tuwasambazie Ndugu na jamaa zetu.

Tunatenda kazi ya kulikomboa taifa toka mikononi mwa Rais asiyeishi ikulu na genge lake la mafisadi (kwake mawaziri e.g EL, Chenge, Karamagi, Manji, Patel, etc). Hivyo tuwe na dhamira ya KI-JIHAD katika move kama hii.

Salamu kwa Kiwete wa Kaya:


Ni wewe umetufikisha hapa. Hakuna kijana wa Kenya alipenda kuwa Mungiki. Soma alama za kizazi cha utume, sasa vijana Wadanganyika Republic twaelekea huko. SOMA VIZURI HAPA NA ZINGATIA!!

Nikuhakikishie kwamba, iwapo ungeonyesha jitihada za dhati za kutukomboa toka kwa mafisadi, nguvu yao na manung'uniko yao yasingekudhuru hata chembe. Tungeandamana mkoa badaa ya mkoa, wilaya hadi wilaya, kijiji hadi kijiji, nyumba baada ya nyumba ili kukutafutafutia support nchi nzima. Ila kwa sababu umetusaliti huku ukitaka uonekane mwema kote na usiyehusika au kufungamana na upande wowote ule; basi sisi Vijana wa Utume wa Kizazi hiki twakuahidi nguvu yetu, malengo yetu na umoja wetu kufanya kazi kinyume nawe na mafisadi wenzio. MWAKA MMOJA TOKA UMESOMA UJUMBE HUU, UTAELEWA NILIMAANISHA NINI HAPA.

TOKA UTUME WA KIZAZI CHA UKOMBOZI
 
kampuni ambazo ni za rostam ni zipi? ili tuboreshe kabisa, manake nasikia ana share 100%
 
Mimi nafikiri hili lipo ndani ya uwezo wetu. Hakuna wa kutuzungusha wala nini. Sasa tuanzishe kampeni rasmi. Nashauri wale wataalamu wetu wa maandishi hapa JF watuandikie barua nzuri ya kuisambaza sehemu mbali ili huu mgomo uanze. Tukishindwa na hili sasa sijui tutaweza lipi!!
 
Back
Top Bottom