Katika hali isiyokuwa ya kawaida mkuu wa mkoa Kilimanjaro amepiga stop shughuli zote zinaendeshwa na kumbi za starehe katika mkoa wa Kilimnjaro hususani katika mji wa Moshi kwa madai kuwa zinaharibu maadili. Nimeanzisha uzi huu makusudi na kuuleta kwenu ili tujue hali ya maadili ktk mkoa wa Kilimanjaro iko je?