Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 1,373
- 3,148
Fanya uhame kwenu
Nimelijibu hilo Lichawi Tukuka hapo juu.
Nimelijibu hilo Lichawi Tukuka hapo juu.
Duh!Kenya Inaongoza Kununua Mitumba
Huwezi Kaa miezi 3 bila kusikia Helkoptw Kuanguka
😬😬, kuna wakati unafika.. Ni bora kuwa hivyo......Hapo unatamani kinoma angekua yeye
Kafa ..comfirmedAmekufa au kanusulika?
Sina uhakika, ila nadhani ni miongoni mwaoWatano hao na huyo pichani ni mmoja?
Ndege ikishawaka moto survival chance inakuwaga almost zeroAmekufa au kanusulika?
Na hamuiwezi hiyo nchiHapana Mikakati yetu zaidi ipo kwa nchi moja hivi ambayo ina Kiherehere sana na inajifanya ndiyo Mbabe wa EAC Block.
Na hamuiwezi hiyo nchiHapana Mikakati yetu zaidi ipo kwa nchi moja hivi ambayo ina Kiherehere sana na inajifanya ndiyo Mbabe wa EAC Block.
Makomandoo huwa wanajirusha nje kabla ya helicopter kuanguka, hivyo hupona.Duh, helicopter ikianguka manusura huwa wachache au hakuna kabisa
Hata Tz wapo waliofariki ktk mazingira ya kutatanisha wakiwemo akina Gen Kombe, PM Sokoine, Mussa Memba, Sengondo Mvungi, Daudi Mwangosi akina Benny Saanane na Azory Gwanda hawajulikani walipo na orodha ni ndefu sana hivyo haya mataifa hayatofautiani hata kidogo.Siyo bure!! Haya ndiyo mambo ya Kenya Hata yule Saitoti alipoteza maisha kwa helicopter.
Ma criminals wa Kenya wakikuona wewe ni kikwazo wanalianzisha.
Kuna Komando wa Kuruka Futi 30,000 usawa wa Bahari Mkuu?Makomandoo huwa wanajirusha nje kabla ya helicopter kuanguka, hivyo hupona.
Kenya kuna helicopter nyingi ambazo ni sub-standard, ikiwamo na hizo zinazotumiwa na viongozi wa serikali; iliyomuua Saitoti ilikuwa na mechanical failure. Unakumbuka hata iliyomuua Filikonjombe hapa kwetu ilikuwa ya KenyaSiyo bure!! Haya ndiyo mambo ya Kenya Hata yule Saitoti alipoteza maisha kwa helicopter.
Ma criminals wa Kenya wakikuona wewe ni kikwazo wanalianzisha.
Makomandoo waliosotea mafunzo na kuhitimu wanao huo uwezo wa kujirusha mkuu, Ila kwa hawa wa kupewa ukomandoo kwa hisani huwa hawawezi kuruka hata futi moja.Kuna Komando wa Kuruka Futi 30,000 usawa wa Bahari Mkuu?
Dah!...poleniNdege iliyombeba Mkuu wa Majeshi ya Kenya (KDF) Luteni Jenerali Francis Ogolla imepata ajali muda mchache baada ya kuruka angani.
Bado Taarifa rasmi haijatolewa juu ya Usalama wao, lakini taarifa za awali zinadai ndege hiyo ya Kijeshi ilikuwa imebeba watu 9, na imewaka moto baada ya kudondoka hivyo kutilia hofu usalama wake.
Rais William Ruto ameitisha kikao cha dharula cha Baraza la Usalama wa Taifa.
Taarifa zaidi zitakujia hivi Punde.
Citizen TV
======
A BRIEF BIO OF THE KDF BOSS CDF OGOLLA
Gen Francis Omondi Ogolla joined the Kenya Defence Forces on 24 April 1984 and was commissioned as 2nd Lieutenant on 6 May 1985 and posted to Kenya Air Force
He trained as a fighter pilot with USAF and as an instructor pilot at the Kenya Air Force (KAF).
He also trained in other fields including imagery intelligence, counter terrorism and accident investigation
Gen Francis O Ogolla is a graduate of ÉcoleMilitaire de Paris and National Defence College of Kenya
He holds Diploma both in International Studies and Military Science from Egerton University, a Bachelor of Arts in Political Science, Armed Conflict and Peace Studies (First Class Honors) and Masters of Arts in International Studies from the University of Nairobi
He rose through ranks to become a Major General and appointed the Commander Kenya Air Force on 15 July 2018 a post he has served for three years
Previously he has held various appointments in Training, Command and Staff including Deputy Commander Kenya Air Force, Base Commander laikipia Air Base, Commanding Officer of Tactical Fighter Wing, Chief Flying Instructor at Kenya Air Force Flying Training School and Operations Desk Officer at Kenya Air Force Headquarters
He also served in the former Yugoslavia as an Observer and Military Information Officer from 1992 to 1993, as chairman of Military Christian Fellowship from 1994 to 2004 and co-Chair of Association of African Air Chiefs between 2018-2019
He is married to Aileen, and blessed with two children and a grandson. His hobbies include reading and playing golf.
Do you mean that this tragedy is the Staged Accident? The Sabotage attack??Siyo bure!! Haya ndiyo mambo ya Kenya Hata yule Saitoti alipoteza maisha kwa helicopter.
Ma criminals wa Kenya wakikuona wewe ni kikwazo wanalianzisha.