kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 4,951
- 7,144
Kupunguza gharama za mazishi, hiyo pesa isaidie wafiwa. Gharama nyingine ni u-bi- show tu.
Nimeangalia live kwa tv wanavyomuaga Marehemu..
Itoshe kusema hakukuwa na utaratibu mzuri wa kumuaga mtu mkubwa kama yule
[/QUOTEkumekuwa na utaratibu wa hovyo hata kwa watu wa kawaida katika familia wakati wa kuzika
Kwangu tunafanana mitazamoHapo juu nimeliongelea hili,mkuu.
Ni ujinga wa sisi tulio wakristo na usasa usio na maana.
Mtu akifa,mweke kwenye vazi jepesi(sanda),kisha ahifadhiwe kwenye ardhi. Hizi mambo za kumweka ndani ya mbao kisha Tena na kaburi unalitia zege,na unamvamisha nguo kibao unaenda kinyume na Sheria ya uumbaji.
Hilo aliloagiza ndiyo mwenyewe kaona itakuwa heshima tosha kwake.huo mzoga hufanyiwa heshima kwa kuzikwa vizuri