Mkuu wa M 23 Colonel Sultan Makenga is Dead

Mkuu wa M 23 Colonel Sultan Makenga is Dead

Status
Not open for further replies.
kaka kulinda amani wanatumia manati? kwa hiyo wakishambuliwa wasijibu mapigo?!
 
Wa Tz ni watu waajabu sana! Si mlisema wanajeshi wa tz hawaendi kupigana bali kulinda amani!
HUKO NDIKO KULINDA AMANI KWENYEWE kunakotambuliwa na UN. bado machizi mawili yamebaki nayo tukiyatoa roho tuu basi Congo watabaki na kicheko milele. bado winga wa kulia, na kiwayawaya mekaga. razima ujuwe ya kwamba Kagame ni raisi mwembamba kuliko wote duniani
 
mdomo ulinzo kichwa bwana kagame omba msamaha kwa kikwete vinginevyo ngoma hii itapigwa live ndani ya ikulu ya kigali

msamaha wa mtu anayetoa uhai wa binadamu mwenzake tena asiye na hatia? Wacha tu tuwe masikini katika hili ni lazima tusimame dhidi ya uovu huu.
 
Mnachonishangaza Watanzania ni pale mnapochanganya mambo Kule Daful Baada ya kuuawa wale wanajeshi wetu mlisema wanajeshi wanaolinda amani huwa hawaruhusiwi kuwa na Siraha sasa leo mnashabikia kuwa JWTZ ndo waliofanya juhudi hadi kuuawa huyo kiongozi wa M23 je walitumia fimbo, mawe au virungu? maana walinda amani hawatakiwi kuwa na Siraha.
Masharti ni tofauti ya Dafur na Congo. Congo wanaruhusiwa kushambulia inapobidi.
 
hana mrithi kweli?

Huyu ndio alikua mrithi wa Nkunda,na ndiye aliyetembeza kichapo kwa kundi la Ntaganda mpaka Ntaganda akasalimu amri kwani Ntaganda alitumwa ammalize.baada ya Ntaganda kumshindwa Makenga nayeye akatumiwa watu wammalize.ndio kisa cha Ntaganda kujitosa mzima mzima ubalozi wa Marekani akiomba apelekwe ICC.
Mpaka hapoNtaganda alikua hana option aombe asylum ama afe kwa torture.
 
Wewe unapata habari mapema. Kwa sababu Bertrand Bisimwa alikuwa anaongea jioni hii,na hakuzungumza kuhusu hiki kifo cha Colonel Sultan. Ameongea maneno ambayo labda yatamletea wasiwasi Rais Kikwete. Anasema hawa Jeshi ya Kongo haiwezi kutushinda sisi.
 
wewe unapata habari mapema. Kwa sababu bertrand bisimwa alikuwa anaongea jioni hii,na hakuzungumza kuhusu hiki kifo cha colonel sultan. Ameongea maneno ambayo labda yatamletea wasiwasi rais kikwete. Anasema hawa jeshi ya kongo haiwezi kutushinda sisi.

kufa kwa kiongozi mkubwa vitani ni udhaifu mkubwa sana kijeshi, asingeweza kulizungumzia hilo. Kikwete hawezi kuwa na wasiwasi kwani alipeleka majeshi kongo baada ya kusoma ramani kwa muda mrefu sana.
 
Wa Tz ni watu waajabu sana! Si mlisema wanajeshi wa tz hawaendi kupigana bali kulinda amani!

Mkuu, utalindaje amani bila kuwa na vitendea kazi? Adui akija utamfanyaje?
 
Wala twitter ya m23 haina habari hizi.NOT CONFIRMED.
 
Mnachonishangaza Watanzania ni pale mnapochanganya mambo Kule Daful Baada ya kuuawa wale wanajeshi wetu mlisema wanajeshi wanaolinda amani huwa hawaruhusiwi kuwa na Siraha sasa leo mnashabikia kuwa JWTZ ndo waliofanya juhudi hadi kuuawa huyo kiongozi wa M23 je walitumia fimbo, mawe au virungu? maana walinda amani hawatakiwi kuwa na Siraha.

Wewe uko dunia ya wapi? ni siku 2 tu zilizo pita UN iliwapa kibali cha kushambulia pale wanapo vamiwa huko Congo.Fuatili hii makitu mkuu.
 
KUNA CHA KUJIFUNZA HAPA:

Sources in Eastern DRC inform AfroAmerica Network that the General Sultani Makenga, the Commander of congolese rebels known as M23, has barely escaped an assassination attempt on Friday February 22, 2013. According to the sources, the assassination attempt was the work of the de facto commander of the M23 rebels, General Bosco Ntaganda. General Bosco Ntaganda, who is wanted by the International Criminal court (ICC) commands M23 rebels in the shadow and represents the interests of the Rwandan Military and political leaders. General Makenga is viewed as a straw man, and the Congolese face of M23 rebels.

The dissensions within M23 rebels are not new and are inherent to the origins of M23 itself. The current reasons are the results of simmering tensions between the men within M23 loyal to ex-CNDP commander General Laurent Nkunda, supposed to be under a house arrest in Rwanda and those loyal to General Bosco Ntaganda. The M23 Military commander General Makenga is General Laurent Nkunda’s man, whereas most other commanders including Colonel Minani Tenesi, Colonel Seraphin Milindi, Colonel Bauduin Ngaruye, Colonel Innocent Kaina, Colonel Claude Mico, Colonel Innocent Gahizi, Colonel Seraphin Zimulinda, Colonel Eraste Gacari, Major Felix Mugabo, Major Emmanuel Kabundi, Colonel Yusuf Mboneza, Colonel Claude Birinda, Colonel Justin Karangwa, Colonel Jimmy Nzamuye, and Colonel Biyoyo. Even the M23 political president Jean-Marie Runiga and the Executive Secretary Francois Rucogoza have their allegiances to General Bosco Ntaganda, instead of Colonel Makenga. Colonel Makenga relies on his long line of Congolese ancestors and the troops who do not appreciate much receiving orders from General Paul Kagame and General James Kabarebe.
The seeds of the current dissension were planted when General Laurent Nkunda refused to lead the M23 rebels and instead asked Rwandan President Paul Kagame to back then Colonel Sultani Makenga, instead of General Bosco Ntaganda. General Paul Kagame had argued that he does not trust Colonel Sultani Makenga, who was born and raised in the Congo, and hence appeared to have no emotional attachment to Rwanda. General Laurent Nkunda had rejected the offer arguing that he had been away from his troops for too long and insisted on keeping Colonel Makenga and reassuring others that he will keep Colonel Makenga in check.
 
Badae tutasiki,maafande 7 wa tz wako RIP. Revenge is on its way.

Bigmouth qoute" If you are in military....two things involved......is either you kill somebody or somebody kills you". Kazi ya jeshi ni kuua au wakikuwahi wanakuua...Kifo ni part and parcel ya mwanajeshi.ACHA UWOGA . JWTZ alutaaaaaaaaaaaa...
 
Wewe uko dunia ya wapi? ni siku 2 tu zilizo pita UN iliwapa kibali cha kushambulia pale wanapo vamiwa huko Congo.Fuatili hii makitu mkuu.

Hapana unapotosha,
Hii ruhusa ya kupigana walipata tokea mwaka jana na ilikuwa ni moja ya masharti ya kupeleka jeshi huko,
na kunatofauti kubwa sana ya kikosi kilichopo SUDAN na CONGO.
SUDAN ni Peace Observers( hawa ahawaruhusiwi kulianzisha mapka pale watakapo shambuliwa) while waliopo CONGO tunaweza kusema ni PEACE ENFORCERs( hawa hawasubiri wapigwe kujibu mapigo, hawa kama intelejensia yao inasema kuna dalili ya kupigwa wanruhusiwa kwenda kulianzisha)
 
That nigga makenga died in recent fardc attacks for sure.even in the m23 twitter page they dont post any latest photos of him
 
Bigmouth qoute" If you are in military....two things involved......is either you kill somebody or somebody kills you". Kazi ya jeshi ni kuua au wakikuwahi wanakuua...Kifo ni part and parcel ya mwanajeshi.ACHA UWOGA . JWTZ alutaaaaaaaaaaaa...

Asante kwa Jibu zuri ulilompa.
 
Kagame nadhan anausoma Mchezo wa JWTZ, M23 lazma waombe POO, kimya cha Tanzania hakimaanishi Uoga au Unyonge bali ni busara na Subira tulizojaaliwa na Mola wetu, Mama Joyce Banda kama kachoka kiti chake nae asogeze Mgambo wake mpakani! Ukitaka kujua shughuli ya Jwtz muulize Mreno wakati wa Mapambano ya Frelimo Msumbiji!

Mbona hayo mapambano yalikua kati ya M 23 na majeshi ya Congo? JWTZ inaingiaje hapo?
 
Bertrand Bisimwa amesema Jeshi la U N ni peace keeping force,kwa hiyo atalitegemea kumshambulia yeyote anayevunja amani,hata kulishambulia Jeshi la Kongo,jambo ambalo Munuq imewahi kufanya. Anasema Monuq wamewahi kulishambia Jeshi la Kongo,in the past.
Lakini Gavana wa Kivu anasema anataka kuona Walinda Amani wanaanza kazi yao ya kudisarm hawa watu'' ili Kivu Kaskazini irudi katika mfumo wa maendeleo wa Dunia''
Naye Kamanda wa Jeshi la Knog Col. Olivier Hamuli anasema M23 ni wahalifu wa kivita,wanawatesa sana watu sehemu zile wanazomiliki.
Mawazo yangu,hawa watu wamuogope Mungu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom