mokala1989
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 2,236
- 730
mpe japo mfano wa 2008 visiwa vya comoro
tatizo wengi wanaotetea mauaji ya raia wa drc hapa wameokotwa kigali kiushabiki zaidi na hawana uelewa wowote , watakuambia huyo nia askari wa rwanda wakati wa vita ya kumwondoa mobutu madarakani.