Mkuu wa M 23 Colonel Sultan Makenga is Dead

Mkuu wa M 23 Colonel Sultan Makenga is Dead

Status
Not open for further replies.
mt.jpg

Col Sultani Makenga (centre with stick) with rebel soldiers at Bunagana, a town near the Ugandan border, on July 8. Picture: File
 
Bertrand Bisimwa amesema Jeshi la U N ni peace keeping force,kwa hiyo atalitegemea kumshambulia yeyote anayevunja amani,hata kulishambulia Jeshi la Kongo,jambo ambalo Munuq imewahi kufanya. Anasema Monuq wamewahi kulishambia Jeshi la Kongo,in the past.
Lakini Gavana wa Kivu anasema anataka kuona Walinda Amani wanaanza kazi yao ya kudisarm hawa watu'' ili Kivu Kaskazini irudi katika mfumo wa maendeleo wa Dunia''
Naye Kamanda wa Jeshi la Knog Col. Olivier Hamuli anasema M23 ni wahalifu wa kivita,wanawatesa sana watu sehemu zile wanazomiliki.
Mawazo yangu,hawa watu wamuogope Mungu.


Na hii ndio kazi iliyowapeleka wa TZ, South na Malawi huko CONGO na walisema wanaanza na M23 ndio maana kagame akapiga kelele sana, akataka waanze na FDLR na sio M23 kwa kuwa tu anamaslahi nao hao M23.
 
mauaji yamewachanganya, muda wa kwenda twitter ni upi badala ya kupanga jinsi ya kujitetea kwa slim boy.

twitter yao iko active,masaa mawili yaliyopita walikua wanaupdate helcopter tatu zilikua zinaelekea position yao kushambulia.
 
Kwanini huyo kiongozi wa M23 akatibiwe Kampala Uganda?. Kuna uhusiano gani kati M23 na Uganda?.
 
na bomu lililopiga Rwanda hiyo ni dalili ya mvua ; akiongeza majeshi atakiona na bado drones
 
Hapana unapotosha,
Hii ruhusa ya kupigana walipata tokea mwaka jana na ilikuwa ni moja ya masharti ya kupeleka jeshi huko,
na kunatofauti kubwa sana ya kikosi kilichopo SUDAN na CONGO.
SUDAN ni Peace Observers( hawa ahawaruhusiwi kulianzisha mapka pale watakapo shambuliwa) while waliopo CONGO tunaweza kusema ni PEACE ENFORCERs( hawa hawasubiri wapigwe kujibu mapigo, hawa kama intelejensia yao inasema kuna dalili ya kupigwa wanruhusiwa kwenda kulianzisha)

nashukuru kwa sahihisho lakini ujumbe umemfikia mlengwa.
 
Bring it on....You are free to roll it with meh!

punguza hasira ndugu. muombe Mungu subira na busara viwe vinakutawala, utafanikiwa na kufika mbali. mambo ya u r free to roll it ina maana upo tayari kwa mpambano...... kwa hali hii sidhani kama siasa za vijana zitafika mbali. huu ni ushauri wa bure, una uhuru wa kuupokea au kuupuuza
 
Hivi Mkuu nchi kama Rwanda JWTZ inaweza ikatupa mabomu mangapi na kwa muda gani inaweza ikachakazwa kama tukiingia nao Uwanjani wa Mapambano.

Mnaongea km vile Rwanda hawana jeshi.kwa taarifa yako Rwanda wanA jeshi makini,kakamavu na lenye uzalendo wa hali ya juu sana kuhusu nchi yao.so tusizungumzie vita kwa wajeshi wetu hawa wenye vitambi vya vitimoto na uzoefu wa kupiga makonzi raia.ingawa tutaweza kuwatandika vita hiyo itachukua mda mreeefu sana na pia italeta madhara makubwa kwetu.kitachoweza kufanya vita hiyo iwe rahisi ni iwapo wanajeshi wa kigali wakiamua kusaliti waungane na Jwkumtoa huyo dikteta.
 
Watutsi mbona wamekimbia huu uzi maana walikuwa wengi siku ile Kimbaumbau Kagame alivyoongea pumba kwa Mh.Kikwete.

Ukiwa mkatili na mwenye roho mbaya km kagame huwez kugata mwili hata kidogo.
 
Habari nilizozipata sasa hv ni kwamba Mkuu wa M 23 alijeruhiwa vibaya katika mapambano ya juzi yaliyoendeshwa na serikali ya Congo juzi, na baada ya kujeruhiwa akakimbizwa Uganda, Kampala kwa ajili ya matibabu ambako amefia huko.Ushindi unakaribia.Bravo kwa wapenda amani wote.
Bravo fardc kwa ushindi. Kwa mara ya kwanza mnaweza kulinda nchi yenu. Pamoja na ujasiri kuweni na nidhamu. Msiwatendee unyama maadui zenu wakati huu wa furaha ya ushindi.
 
mt.jpg


Col Sultani Makenga (centre with stick) with rebel soldiers at Bunagana, a town near the Ugandan border, on July 8.
2012113017363761734_20.jpg

M23 military chief Sultani Makenga, right

N.B:
Kwanza:
Hii habari kwamba huyu jamaa kafa nahisi ni ya kizushi - si ya kweli .. maana mara nyingi huwa anazushiwa kafa lakini huibuka baadae akiwa mzima

Pili: Hata kama huyu jamaa atakuwa amekufa bado si solution maana yeye ni kiongozi upande wa jeshi lakini si kiongozi mkuu. Kiongozi wa sasa hivi anaitwa Betrand Bisimwa.
.

e9d4Bisimwa1.jpg


Bisimwa.jpg


President of the M23 rebel movement,
Bertrand Bisimwa

5E38FBD0-F623-42C5-9E4F-FD7BDF837461_w640_r1_s.jpg


New president of the M23 rebel movement, Bertrand Bisimwa (in orange tie) shakes hands with M23 military commander Sultani Makenga
Huyo Betrand sio lolote, makenga ndio kila kitu. Ni kawaida ya hawa watutsi kumtanguliza kiongozi wa kibantu kama boya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom