Sultani Makenga is the military chief[SUP][1][/SUP] of March 23 Movement, a rebel military group based in eastern areas of the Democratic Republic of the Congo. Sanctions have been ordered against him by the United Nations Security Council in November 2012.[SUP][2][/SUP] He has denied accusations that the M23 rebellion is backed by Rwanda.[SUP][2][/SUP] His faction of the M23 have clashed with those loyal to its political leader, Jean-Marie Runiga Lugerero.[SUP][1][/SUP] In May 2013, the M23 rebels clashed with FARDC (Armed Forces of the DRC) and there were rumors that Makenga got badly wounded. Other rumors are that Makenga died, being the reason for his not showing up in public.Source:From Wikipedia, the free encyclopediaHabari nilizozipata sasa hv ni kwamba Mkuu wa M 23 alijeruhiwa vibaya katika mapambano ya juzi yaliyoendeshwa na serikali ya Congo juzi, na baada ya kujeruhiwa akakimbizwa Uganda, Kampala kwa ajili ya matibabu ambako amefia huko.Ushindi unakaribia.Bravo kwa wapenda amani wote.
sheria za darful tofauti na drc,darful hawaruhusiwi kushambulia wakati drc wanaruhusiwa kushambulia na mdiyo ilivyopitishwa na baraza la usalama la unWa Tz ni watu waajabu sana! Si mlisema wanajeshi wa tz hawaendi kupigana bali kulinda amani!
Heshima yako mkuu, kuna tofauti baina ya "KULINDA" na "Ku-ENFORCE":* Kulinda ni kama kuratibu tu myenedo ya majeshi ya Serikali na waasi na kuwapa ushauri inapobidi hili waendelee na mazungumzo badala ya kupigana, unapolinda unakuwa na silaha nyepezi za kijilinda mwenyewe hujihusishi na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hiyo ndio ilikuwa shughuli ya wanajeshi wetu huko Darfur i.e walikuwa wanalinda amani sio ku-enforce amani. *Ku-ENFORCE hapo unaruhusiwa kutumia nguvu katika kuhakikisha amani inakuwepo, ikichokozwa unapigana kabisa na silaha nzito - mkuu hii ndiyo inafanyika huko DRC i.e majeshi yetu yanashirikiana na ya UN kutekeleza hilo, kwa hiyo husishangae ukisikia majeshi yetu yanapagana huko DRC inapo bidi tofauti na Darfur.Mnachonishangaza Watanzania ni pale mnapochanganya mambo Kule Daful Baada ya kuuawa wale wanajeshi wetu mlisema wanajeshi wanaolinda amani huwa hawaruhusiwi kuwa na Siraha sasa leo mnashabikia kuwa JWTZ ndo waliofanya juhudi hadi kuuawa huyo kiongozi wa M23 je walitumia fimbo, mawe au virungu? maana walinda amani hawatakiwi kuwa na Siraha.
![]()
Col Sultani Makenga (centre with stick) with rebel soldiers at Bunagana, a town near the Ugandan border, on July 8. Picture: File
Maadam wapiganaji wa kweli wameshaingia huko hata Kagame mwenyewe ajiandae. lazima tumalize uchafu wote ili THE EAST AFRICA iwe halisi.
Siyo kwa JWTZ.Badae tutasiki,maafande 7 wa tz wako RIP. Revenge is on its way.
Naona sasa majibu ameanza kuyapata. Na huyo aliyesema 'I will hit you' majibu yake yako 'posta'.[/QUOTE said:Alimualika kwenda kwenye Africa Development Summit jamaa akachomoa naona ndo alikua ameplan kum-hit kama alivyoahidi