Mkuu wa M 23 Colonel Sultan Makenga is Dead

Mkuu wa M 23 Colonel Sultan Makenga is Dead

Status
Not open for further replies.
boss wa kisiasa wa m23 bertrand bisimwa alimwandikia jk barua ya kumtisha, eti;
“...we have consistently prevailed over much larger and better equipped forces. The same will happen to the intervention brigade if your [jk] wisdom does not prevail to intervene and stop this dangerous adventure in its tracks. For this reason the m23 invites the parliament and the people of tanzania to carefully reconsider this situation and prevail upon the tanzanian government… not to send the sons and daughters of this noble nation to engage in an absurd war against their congolese brothers.”

naona sasa majibu ameanza kuyapata. Na huyo aliyesema 'i will hit you' majibu yake yako 'posta'.

si wanadanganyika na siasa za jf kwamba ni dhaifu. Waache waonje joto la jiwe ni dhaifu kwa sisi waajiri wake tu, tutamlinda mpaka mwisho.
 
Kagame nadhan anausoma Mchezo wa JWTZ, M23 lazma waombe POO, kimya cha Tanzania hakimaanishi Uoga au Unyonge bali ni busara na Subira tulizojaaliwa na Mola wetu, Mama Joyce Banda kama kachoka kiti chake nae asogeze Mgambo wake mpakani! Ukitaka kujua shughuli ya Jwtz muulize Mreno wakati wa Mapambano ya Frelimo Msumbiji!

mkuu mbona enzi za FRELIMO ni zamani sana , huo mfano wako ni halali kweli kwenye ulimwengu huu wenye silaha za kisasa ?
 
Hata kama amekufa kwani hayo mapigano askari wetu wanahusika? Au ndoyale majanga afiwe mwingine pole na michango uchukue wewe? Ama kweli watanzania
 
mkuu mbona enzi za frelimo ni zamani sana , huo mfano wako ni halali kweli kwenye ulimwengu huu wenye silaha za kisasa ?

tatizo lako unataka mfano wa siku za karibuni? Kibaraka wa bosi wako kagame tumeshamrestisha in peace, bado kagame tunamlia timing.
 
hata kama amekufa kwani hayo mapigano askari wetu wanahusika? Au ndoyale majanga afiwe mwingine pole na michango uchukue wewe? Ama kweli watanzania

unafikiri kwanini ameuwawa mara baada ya jwtz kutia timu?
 
Mnachonishangaza Watanzania ni pale mnapochanganya mambo Kule Daful Baada ya kuuawa wale wanajeshi wetu mlisema wanajeshi wanaolinda amani huwa hawaruhusiwi kuwa na Siraha sasa leo mnashabikia kuwa JWTZ ndo waliofanya juhudi hadi kuuawa huyo kiongozi wa M23 je walitumia fimbo, mawe au virungu? maana walinda amani hawatakiwi kuwa na Siraha.
ishu ya DRC sio ulinzi wa amani....ni offensive
 
Wana JF huyu Makenga kazushiwa kifo mara nyingi sana, tusiihamini hii taarifa kiuraisi namna hii, tuvute subila, ila mimi nina waunga mkono M23, hivi mnajua M23 wanachokipinga?
 
mt.jpg


col sultani makenga (centre with stick) with rebel soldiers at bunagana, a town near the ugandan border, on july 8.
2012113017363761734_20.jpg

m23 military chief sultani makenga, right

n.b:
Hii habari kwamba huyu jamaa kafa nahisi ni ya kizushi - si ya kweli .. Maana mara nyingi huwa anazushiwa kafa lakini huibuka baadae akiwa mzima
.

sasa hii ni kweli, amini wanaume wapo kazini !
 
tatizo lako unataka mfano wa siku za karibuni? Kibaraka wa bosi wako kagame tumeshamrestisha in peace, bado kagame tunamlia timing.

Duh! Basi haya , kama magobole ya kuwinda swala nayo ni silaha .
 
tatizo lako unataka mfano wa siku za karibuni? Kibaraka wa bosi wako kagame tumeshamrestisha in peace, bado kagame tunamlia timing.
Mpe japo mfano wa 2008 visiwa vya Comoro
Mambo Ya JWTZ
Comoro..

Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akiwa ameshikilia silaha nzito ya kivita katika Kisiwa cha Moheli nchini Comoro.

 
Habari nilizozipata sasa hv ni kwamba Mkuu wa M 23 alijeruhiwa vibaya katika mapambano ya juzi yaliyoendeshwa na serikali ya Congo juzi, na baada ya kujeruhiwa akakimbizwa Uganda, Kampala kwa ajili ya matibabu ambako amefia huko.Ushindi unakaribia.Bravo kwa wapenda amani wote.


R.I.P Papaa Colonel Makenga!
 
Mnachonishangaza Watanzania ni pale mnapochanganya mambo Kule Daful Baada ya kuuawa wale wanajeshi wetu mlisema wanajeshi wanaolinda amani huwa hawaruhusiwi kuwa na Siraha sasa leo mnashabikia kuwa JWTZ ndo waliofanya juhudi hadi kuuawa huyo kiongozi wa M23 je walitumia fimbo, mawe au virungu? maana walinda amani hawatakiwi kuwa na Siraha.

Watanzania kwa unafiki!!! Huwawezi mkuu!
 
Wa Tz ni watu waajabu sana! Si mlisema wanajeshi wa tz hawaendi kupigana bali kulinda amani!

Wale walioko Congo wanaruhusa ya kupigana lakini siyo wale wa Darfu

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mnachonishangaza Watanzania ni pale mnapochanganya mambo Kule Daful Baada ya kuuawa wale wanajeshi wetu mlisema wanajeshi wanaolinda amani huwa hawaruhusiwi kuwa na Siraha sasa leo mnashabikia kuwa JWTZ ndo waliofanya juhudi hadi kuuawa huyo kiongozi wa M23 je walitumia fimbo, mawe au virungu? maana walinda amani hawatakiwi kuwa na Siraha.

Mkuu inamaana wewe hujui tofauti ya kazi ya jeshi lililoko Sudani na Congo? Kama hujui basi uliza ujuzwe.
 
wana jf huyu makenga kazushiwa kifo mara nyingi sana, tusiihamini hii taarifa kiuraisi namna hii, tuvute subila, ila mimi nina waunga mkono m23, hivi mnajua m23 wanachokipinga?

amini usiamini hayupo nawe tena hapa duniani, ni muda wako wakujirekebisha na kumrudia muumba wako! Laani mauwaji ya wanawake na watoto wa drc
 
Kama taarifa hii ni yakweli...basi ni dalili njema kwa jeshi letu JWTZ, ila pole kwa marehemu na wafiwa.
 
Msikilize akihutubia makuruta, kiswahili kwa wingi anachanganya kinyarwanda na kiingereza kwa mbali

 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom