crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,323
- 2,210
Matokeo ya kupigwa na kusimamishwa uongozi Mwigamba linatufunza mambo kadhaa:
- Kumbe chadema hawapendi kukosolewa na kuna uwezekano mkubwawale wote wanaotumia hii JAMII FORUM nao kufuatiliwa na kupata kipigo au kupata acid
- Jamii forum itapotea pindi wakipata madaraka kwani hawapo tayari kusikia mawazo mbadala...na magazeti pia tuyasahau....yatakuwepo dizaini ya Tanzania Daima tu..na liki habarisha kinyume litapata kasheshe na mhariri akijitoa basi...Kibanda drama itamtokea ,...
- hawastahamili na sasa ni ukweli kuwa wale wote ambao sio wa kaskazini hawaaminiwi na chama, wengi ambao wanapigwa vita ni viongozi wanaotoka sehemu nyengine ya jamhuri
- yale mapambano bungeni sio kwamba wanagombea mambo ya msingi bali ni sehemu ya utamaduni kundi lao kuwa la wapiganaji wa ngumi..kwa maslahi binafsi na si wapiganaji kwa ajili ya wananchi