Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Mpumpaf kwa wapumbaf kama mpumpaf Ben mpu.paf asiyejitambua
Wewe unapata wapi ujasiri wa kumkanusha Mwigamba kwa hayo anayoeleza na aliyotendewa.
Pumbaf tena.

Matusi hayakusaidii wewe msukule? tatizo lako akili unazo lakn zipo makalioni.toa hoja acha kubwabwaja!
 
kwenye mikutano yao inatakiwa bastola iwe kwenye koti na risasi iwe kwenye chemba. muulize matata mwanza anawajulia kwelikweli hawa kina slaa, kuongea nae inatakiwa ukae mita saba.

hawa jamaa ni magaidi long time.
 
Hizi akili za misuba! chama kinajiita cha demokrasia na maendeleo wewe unahubiri udikteta; tangu lini kusema ukweli kukawa usaliti? Mkuu Ritz msome mgombea udiwani mtarajiwa! kama akili zenyewe ndio kweli hayo maendeleo yanayohubiriwa yatakuwepo kweli? Yaani kauli yako ni ya kinafiki inaonekana jah unayemtumikia siye yule aliyeamuamini Bob Marley!

Bila ya udicteta wabongo ni ngumu sana kudeal nao isingekuwa ufikteta wa Nyerere CCM isingefika hapo ilipo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz
Hii habari imeacha hoi yaani hiki chama hakifanani na jina lake yaani jina lako kama sio Masawe; Tarimo; Lema au Lyimo uanachama wapo mashakani; hivi kama jina langu ni Mwita Maranya au Mohamedi Mtoi kweli nakubalika kwenye chama hiki? Mkuu hiki chama kingetafuta jingine maana demokrasia hakuna ni ubabe mtupu; maendeleo hakuna hata kimeshindwa kujenga pamoja na kupokea ruzuku ya mabilioni hiki chama afadhali kijiite MEKU Brotherhood tujue moja!

Kwa hiyo unataka harakati zisimame kwa sababu ya ujenzi wa office ili mpate kupumua? hicho sio kipaumbele chetu na nadhani ulizungusha ktk somo la mathematics,unaona million 200 ninyingi sana kuhudumia ofis za cdm kila pembe ya nchi? zihudumie kesi za kipumbav zinazozusha daily na magamba ili kudhoofisha harakati? upo timamu kweli?
 
mkuu, ukiona mipango yao na kikwete, nape, wassira, Mwigamba..huta muonea huruma utasrma afadhali wangemuua kabisa..

Funguka basi mkuu tujue hiyo mipango najua huyu jamaa alianza kuwa si yule niliyekuwa namkubali nakumbuka hata taariri kuna wakati alisimama kutoa na hata alipoanza tena hazikuwa kama zilee.
 
Namsikitikia sana Mwigamba kwani TISS wameshapokea amri toka kwa Mwigulu wamuue kisha waisingizie Chadema.
 
Mwigamba ni miongoni mwa wanachama shupavu na wazalendo ndani ya CDM na kazi yake hakuna mtu asiyeijua! Juzi ulikuwa unapambana na CCM majukwaani unawatukana hadharani na ukasifiwa sana na CDM kwa kukuita JEMBE!

Leo hii umetukanwa na hata Yule uliyemsaidia Lema na wanachama wote isipokuwa MWITA MARANYA lakini hata Yericko kakuita msaliti mkubwa! Na adhabu yako kamwe haisameheki!

Lakini watetezi wako ni wana JF ambao wana mapenzi na nchi yako Kama kina Simiyu Yetu, Ritz, Chama, Shelui, Shelui11 na wengine wengi!

Kumbuka akufaae kwa dhiki ndiye rafiki CDM na Lema sio marafiki zako tena maana lile tofali walipanga Kukumaliza! Tena umshukuru sana Mungu wako!

Sasa umekoswa tofali jiandae na Tindikali maana kuna Mzee wa Sumu huyo hakukosi ndugu yangu!

Chukua hatua chukia chadema

Kama urafiki wako wauna mpika ujue hata siku ukijua mkewe anatembea na rafiki yako mtambumbatiana kwa kusameana acha uchizi
 
Huyu Mwigamba ningemuona MTU MAKINI kama angetutajia hicho kipengele kilikuwa katika Ibara gani ya katiba ya 2004.

Lakini anaposema tu kwamba kilikuwa kwenye KATIBA ya 2004 bila kutaja ibara gani, kwanza anakuwa hajitendei haki yeye mwenyewe, pia anakuwa hawatendei haki hao anaowapinga na mwisho anakuwa hatutendei haki sisi WATANZANIA MAKINI tunaotaka kujua UKWELI ni upi.
 
Mnikabidhi huyo Mwigamba niondoe haki yake ya kuishi.
 
CDM ni mwiba mkali sana kwa CCM! Kila mbinu zinatumika ili kuisambaratisha CDM kama Ukanda, ukabila, Udini, Ugaidi, Ufisadi, mabomu na B7 Lumumba Project! Tayari mbinu hizi zimeshagota na zimeshindikana vibaya sana, kwani CDM ndio kwanza inashamiri!! Sasa wanapiga mayowe ya kutaka Demokrasia ndani ya CDM. Mbinu hii nayo itashindikana pia!!

Usitake kuwaaminsha magamba kuwa CHADEMA haina demokrasia,,,tutafute njia nzuri za kujibu hoja za magamba na katu tusiseme kuwa "wanataka demokrasia" Elewa demokrasia katika chadema ipo na demokrasia si mwarobaini wa matatizo ya watanzania,,,mwarobaini wa matatizo ya watanzania ni uongozi bora wenye kutambua matatizo ya watz.

Kikubwa CHADEMA yatakiwa kufuata taratibi iliyojiwekea kwa mujibu wa katiba, pamoja na hayo,,,uongozi wa sasa mwisho wake ni mwaka ujao na kamati kuu inaweza kusogeza mbele uchaguzi kadiri itakavyoona kuna ulazima wa kufanya hivyo. Ombi langu kwa Dr Slaa na Mbowe na uongozi mzima, kama wanaona kuna haja ya uongozi wa sasa kuendelea basi watumie kipengere cha katiba kufanya hivyo,,,na wakifanya hivyo na kwakuwa watakuwa wametumia katiba basi hizi kelele wewe unazoziita za kutaka demokrasia hazitasisikika.
 
Mnikabidhi huyo Mwigamba niondoe haki yake ya kuishi.
Rama yule mtesi wa Ulimboka ameshakabidhiwa jukumu hilo ila kwa manufaa ya CCM kwani baada ya kazi kufanyika jumba bovu litaiangukia Chadema,msimamizi wa operesheni hii ni mzee wa Gombe
 
Mara moja moja uwe unatumia kichwa kufikiri badala ya makaalio unayotuma sasa.mtu mzima unaweza kutwambia hayo mawe yalifikaje ukumbini? tumia akili na usidhan kupotosha kwako unakisaidia chama chako cha magamba.pevuka akili

Umevurugwa wewe! mimi nina kadi ya CDM tangu 2004 unafikiri mimi ni kama wewe shabiki ambaye wala hajui hata ada ya Chama ikoje.Tatizo la nyie vilaza manfikiri kila anayelalamikia CDM ni kutoka CCM.hii dhana ndiyo inayokwenda kuimaliza chadema.

Hapa tunajadili mustakabali wa CDM bila Mbowe,Slaa,lema nk.
CCM ina matatizo makubwa lakini mfumo wake wa uongozi (achana na rushwa) ni mzuri sana kuliko CDM.na hakika siku CCM wakijirekebisha kwenye Rushwa na Ufisadi hapatakuwepo chma chochote cha upinzani.

Maelezo ya mwigamba ni kuwa wakati anapigwa kuna mtu alimtupia jiwe akakwepa! sisi WANACHAMA siyo Nyie MAVUVUZELA.mnaona hii ni ya kufumbia machozo.!

Naomba Uni PM na no ya kadi yako na mimi nikupe ya kwangu kama wewe ni CDM kweli au ni mwanachma wa CDM kupitia JF tu
 
Safi sana Mhesh. Mbowe, jibu la "Mimi sio gali" lilinatosha. Jibu hilo limfanya Mwandisha wa Habari Leo apauke usoni kama maiti ilipigwa na jua kwa sino.

lema ni mhuni
 
Umevurugwa wewe! mimi nina kadi ya CDM tangu 2004 unafikiri mimi ni kama wewe shabiki ambaye wala hajui hata ada ya Chama ikoje.Tatizo la nyie vilaza manfikiri kila anayelalamikia CDM ni kutoka CCM.hii dhana ndiyo inayokwenda kuimaliza chadema.

Hapa tunajadili mustakabali wa CDM bila Mbowe,Slaa,lema nk.
CCM ina matatizo makubwa lakini mfumo wake wa uongozi (achana na rushwa) ni mzuri sana kuliko CDM.na hakika siku CCM wakijirekebisha kwenye Rushwa na Ufisadi hapatakuwepo chma chochote cha upinzani.

Maelezo ya mwigamba ni kuwa wakati anapigwa kuna mtu alimtupia jiwe akakwepa! sisi WANACHAMA siyo Nyie MAVUVUZELA.mnaona hii ni ya kufumbia machozo.!

Naomba Uni PM na no ya kadi yako na mimi nikupe ya kwangu kama wewe ni CDM kweli au ni mwanachma wa CDM kupitia JF tu

Mkuu, hili ndilo tatizo kubwa sana la mashabiki mahaba wa Chadema utadhani wanaume waliolishwa limbwata na wake zao. Yeyote anayejaribu kutla maoni tofauti na wao anakuwa ccm.

Cdm inatakiwa ijitofautishe na ccm kwa maneno na vitendo, vinginevyo kuing’oa ccm ni ndoto za mchana kweupe.
 
Muongoo mnyika hakutoa tafsiri unayosema,ila sio mbaya umeipata tafsri unavyotaka iwe
mkuu umelala au rudi kwenye thread ya Mohamedi Mtoi ya majibu ya Mnyika kwa msaada zaidi ikishindikana kamuone daktari a'scan ubongo wako
 
Umevurugwa wewe! mimi nina kadi ya CDM tangu 2004 unafikiri mimi ni kama wewe shabiki ambaye wala hajui hata ada ya Chama ikoje.Tatizo la nyie vilaza manfikiri kila anayelalamikia CDM ni kutoka CCM.hii dhana ndiyo inayokwenda kuimaliza chadema.

Hapa tunajadili mustakabali wa CDM bila Mbowe,Slaa,lema nk.
CCM ina matatizo makubwa lakini mfumo wake wa uongozi (achana na rushwa) ni mzuri sana kuliko CDM.na hakika siku CCM wakijirekebisha kwenye Rushwa na Ufisadi hapatakuwepo chma chochote cha upinzani.

Maelezo ya mwigamba ni kuwa wakati anapigwa kuna mtu alimtupia jiwe akakwepa! sisi WANACHAMA siyo Nyie MAVUVUZELA.mnaona hii ni ya kufumbia machozo.!

Naomba Uni PM na no ya kadi yako na mimi nikupe ya kwangu kama wewe ni CDM kweli au ni mwanachma wa CDM kupitia JF tu

Mkuu hao watu wana matatizo sasa sijui ndio matokeo ya kudesa au vipi?yaani wamekariri mpaka political affiliation ya watu yaani ukiwakosoa Viongozi tu...Utawasikia wanakuita wewe Gamba au Lumumba Buku 7.
 
Back
Top Bottom