Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Mkutano wa Mwigamba na vyombo vya habari

Aheri iongozwe kidikteta kuliko iongozwe na wasaliti,

Usaliti ni moja ya dhambi isiyosameheka hata mbele za Jah

Hizi akili za misuba! chama kinajiita cha demokrasia na maendeleo wewe unahubiri udikteta; tangu lini kusema ukweli kukawa usaliti? Mkuu Ritz msome mgombea udiwani mtarajiwa! kama akili zenyewe ndio kweli hayo maendeleo yanayohubiriwa yatakuwepo kweli? Yaani kauli yako ni ya kinafiki inaonekana jah unayemtumikia siye yule aliyeamuamini Bob Marley!
 
Last edited by a moderator:
ina maana identity zetu zote chadema wanazipata humu!

Kwani hujuwi? CDM wana information zetu zote ndani ya JF na kwa kweli Kama mwenendo ndio huu basi JF hakuna tena uwazi!

Ndio maana ukianza kuandika negative juu ya CDM unakula BAN Mara Moja tena kwa mashinikizo ya wana CDM! Hakuna demokrasia ndani ya JF!

Pia utasikia mods upo wapi? Umelala sana unawaachia hawa watatukanana ndani humu fumba na kufumbua BAN! Lakini wao wanatukana kila ck lakini hakuna BAN hata ck Moja!

Manyanyaso yote haya bado tunapambana na waliowengi! Hatutarudi nyuma na ukweli daima tutawaambia!

Chukua hatua chukia Chamdomo!
 
Anayetoboa Jahazi ambalo wote tunasafiria Ni lazima atoswe Baharini...

Hii Zero Tolerance ya CDM kwa wasaliti inaiumiza Sana MaCCM, huenda yataifunga Buku Saba Lumumba project Yao.
 
Aheri iongozwe kidikteta kuliko iongozwe na wasaliti,

Usaliti ni moja ya dhambi isiyosameheka hata mbele za Jah

Safi sana Yericko ndugu yangu kusema ukweli! Kwani usaliti ni dhambi isiyosameheka Kama Babu alivyosaliti kanisa takatifu la Bwana na kamwe hatasamehewa!

Na Yule dada yangu wa Kanyigo alivyosaliti ndoa yake na mumewe kisa maskini hawa wote hawatasamehewa Mbele ya Bwana!

Nakushukuru kwa ufafanuzi huu haya sio maneno yangu ni ya Yericko! Kwa hiyo Babu na dada yangu finar jahanam? Lol wanapata hasara iliyokubwa sana! Kamwe usaliti Kwangu ni mwiko!
Cc. Simiyu Yetu, Ritz, Zitto, Shelui, Shelui11
 
Mkuu Chama,

Heshima yako! Kila ck mi nasema ukweli Hiki chama kinachojiita chama cha kidemokrasia kwa kweli hakuna demokrasia ndani ya chama cha demokrasia!

Ni full umangimeza ndugu yangu! Chama kinachofuatitia ID za watu mbali mbali ukisema ndivyo sivyo basi ishakula kwako!

Yaani kunatofauti kubwa sana Kati ya CDM na CCM ! Mosi CCM wanachama wapo huru kukosoa na kukosolewa ndani ya chama na sio dhambi lakini CDM ni uhaini mkubwa! Hata ukiwa mwanachama shupavu Kama Mwigamba lakini si umeona cha moto? Kapigwa tofali kichwani Mbele ya Muasisi!

Hivi hata huyu Mzee Mtei Hana busara kumbe? Ataachaje mtu anapigwa Mbele yake bila hata kuingilia? Ndio maana Nyerere alimwona mapema!

Basi ndani ya CDM hakuna mwenye busara hata Mzee Mtei? Sitokaa penda CDM hata kizazi changu watakichukia CDM Kama UKIMWI.

Chukua hatua chukia Chamdomo




Mkuu Ritz
Hii habari imeacha hoi yaani hiki chama hakifanani na jina lake yaani jina lako kama sio Masawe; Tarimo; Lema au Lyimo uanachama wapo mashakani; hivi kama jina langu ni Mwita Maranya au Mohamedi Mtoi kweli nakubalika kwenye chama hiki? Mkuu hiki chama kingetafuta jingine maana demokrasia hakuna ni ubabe mtupu; maendeleo hakuna hata kimeshindwa kujenga pamoja na kupokea ruzuku ya mabilioni hiki chama afadhali kijiite MEKU Brotherhood tujue moja!
 
Mwigamba ana hoja, asikilizwe! Ila tatizo la CHADEMA muda huu si uongozi
 
Nimesikitika sana Kamanda wenu shupavu, jemedari amepigwa tofali Mbele ya Muasisi? Hajasema chochote? Hakutumia busara zake kumsaidia Mwigamba?

Hivi mathalani Mwigamba lile tofali lingemuua angejisikiaje? Hivi kuna mtu mwenye busara ndani ya CDM? Napata shida sana Mimi!

Wanachama na madhabiki wa CDM mmeyaona ya Mwigamba Leo kwake kesho kwako! Kazi yote aliyoifanya na kumtetea Lema malipo yake TOFALI KICHWANI tena amshukuru Mungu kichwa chake kigumu kingekuwa chako lol ungekiona cha moto!

Sasa Mwigamba ndugu yangu umejifunza mengi ukienda kwenye kikao tena nenda na HELMET kabisa maana lolote litatokea. Wanachama wengine jifunze toka kwa Mwigamba!

Chukua hatua chukia Chamdomo
 
Mwigamba ana hoja, asikilizwe! Ila tatizo la CHADEMA muda huu si uongozi

mkuu, ukiona mipango yao na kikwete, nape, wassira, Mwigamba..huta muonea huruma utasrma afadhali wangemuua kabisa..
 
Mwigamba ana hoja, asikilizwe! Ila tatizo la CHADEMA muda huu si uongozi

Mwigamba ni miongoni mwa wanachama shupavu na wazalendo ndani ya CDM na kazi yake hakuna mtu asiyeijua! Juzi ulikuwa unapambana na CCM majukwaani unawatukana hadharani na ukasifiwa sana na CDM kwa kukuita JEMBE!

Leo hii umetukanwa na hata Yule uliyemsaidia Lema na wanachama wote isipokuwa MWITA MARANYA lakini hata Yericko kakuita msaliti mkubwa! Na adhabu yako kamwe haisameheki!

Lakini watetezi wako ni wana JF ambao wana mapenzi na nchi yako Kama kina Simiyu Yetu, Ritz, Chama, Shelui, Shelui11 na wengine wengi!

Kumbuka akufaae kwa dhiki ndiye rafiki CDM na Lema sio marafiki zako tena maana lile tofali walipanga Kukumaliza! Tena umshukuru sana Mungu wako!

Sasa umekoswa tofali jiandae na Tindikali maana kuna Mzee wa Sumu huyo hakukosi ndugu yangu!

Chukua hatua chukia chadema
 
mkuu, ukiona mipango yao na kikwete, nape, wassira, Mwigamba..huta muonea huruma utasrma afadhali wangemuua kabisa..

Kwa hakina tusingekubali kutoa roho ya mwanadamu mwenzetu! Tutapambana kukuletea Mwigamba! Hatukujuwi lakini tuna mapenzi Kama mtanzania mwenzetu!

Walipanga Kukumaliza angalia maandishi hayo juu! Wakitaka kukuua ndugu yangu! Leo unashangilia kwa Mwigamba kesho kwako!

Mwigamba chonde usiache HELMET ndugu yangu maana lolote linaweza kutokea! Pia mwigope sana Mzee wa Tindikali maana huyo ni hatari kuliko aliyekupiga TOFALI kichwani!

Pole baba! Lakini ndio maisha uliyochagua kuishi hayo! Kupanga ni kuchagua!
 
CCM naona awamu hii wameingia CHADEMA kwa njia mpya, huu ni upepo utapita tu, na wote wanaonunuliwa na ccm wapigwe tu, nasema wapigeni tu, tuienzi kauli ya waziri mkuu wetu Mh Pinda
 
Mwigamba sasa kazi ya kufundisha ishaota mabawa sasa sijuwi tukusaidiaje? Maana walipanga kukuua hao!

Na hayo maisha ndio uliyoyachagua! Nitakuibox ndugu yangu upate fedha za kununua HELMET maana soon you 'l go! Pole lakini hatuna cha kukusaidia maana watakuua tu hao!
 
CCM naona awamu hii wameingia CHADEMA kwa njia mpya, huu ni upepo utapita tu, na wote wanaonunuliwa na ccm wapigwe tu, nasema wapigeni tu, tuienzi kauli ya waziri mkuu wetu Mh Pinda

Sie ni wazalendo hatupendi mtu auwawe kisa kasema ukweli hapo hatukubali na hatutakubali!

Hana maslahi kwetu lakini ni mtanzania mwenzetu! Hatuwezi kuona mtanzania mwenzetu anakufa Mbele yetu kamwe hatukubali! Hiyo sio siasa ni ushetani mkubwa!

Sisi sio Kama Mzee Mtei anaona mtu anapigwa tofali Mbele yake anakaa kimya? Is that a wisdom? Hapana na hatutakubali hata siku Moja! Hivi vyama vinapita huwezi toa roho ya mwanadamu kisa siasa? Ndio falsafa ya kuanza na Mungu kumaliza na Mungu kwa kuua wenzetu?

Hatutakubali Hilo na sio uungwana!
 
Ktk hali inayoonyesha kuwa Waandishi wa habari wa Tanzania hawana Weledi,leo gazeti la Jambo leo limenisikitisha sana kwa kuandika kurasa za mbele habari ya uwongo na ya uzushi kuwa aliekuwa Mwenyekiti wa CDM Mkoa wa Arusha Samson Mwigamba alizungumza jana na waandishi wa habari na kudai au kukiri kuwa alisimamishwa kwa kosa la kumpiga Mbowe ngumi!!

Habari hii ni ya uwongo na ya kizushi kwani inajulikana wazi kuwa kilichopelekea Mwigamba kusimamishwa uwongozi kwa muda sio swala la kupigana na wala MWIGAMBA hakupigana na Mwenyekiti MBOWE!!
Ninapata sana mashaka juu ya uwezo wa Waandishi wa Tanzania kwani habari hii waliiripoti wao tangia Jumapili na awali Magazeti haya haya yaliripoti tofauti na sasa!

Mwigamba aliitisha mkutano na waandishi wa habari jana,lakini hakuna mahali kwenye hotuba au maelezo yake alipokiri au kutamka kuwa alisimamishwa kwa kosa la kumpiga ngumi Mwenyekiti wa CDM taifa.

Ninaamini Magazeti km haya waandishi wake ni Wachumia tumbo na wanaotumika kuhakikisha kuwa wanaichafua CDM. Binafsi nilikuwepo Ukumbini siku ya tukio na wala Mwigamba hakurushiana hata maneno sembuse ngumi na mh,Mbowe..!
 
Acha waitumikie ccm, ipo siku wataitumikia jamii nzima kupitia serikali itakayo ongozwa na cdm......
 
wewe kama msaliti cdm utapigwa tu..na utaondoka tu kama wale masalia wengine hakuna mda wa kubembelezana..
 
Nimesikitika sana Kamanda wenu shupavu, jemedari amepigwa tofali Mbele ya Muasisi? Hajasema chochote? Hakutumia busara zake kumsaidia Mwigamba?

Hivi mathalani Mwigamba lile tofali lingemuua angejisikiaje? Hivi kuna mtu mwenye busara ndani ya CDM? Napata shida sana Mimi!

Wanachama na madhabiki wa CDM mmeyaona ya Mwigamba Leo kwake kesho kwako! Kazi yote aliyoifanya na kumtetea Lema malipo yake TOFALI KICHWANI tena amshukuru Mungu kichwa chake kigumu kingekuwa chako lol ungekiona cha moto!

Sasa Mwigamba ndugu yangu umejifunza mengi ukienda kwenye kikao tena nenda na HELMET kabisa maana lolote litatokea. Wanachama wengine jifunze toka kwa Mwigamba!

Chukua hatua chukia Chamdomo

tanzania most terrorist part is chadema.
 
Mwigamba ni kiongozi mnafiki sana na muoga?kwanini aongee pembeni? kwa nini hakuongea hoja zake kwenye kikao alaf zikataliwe pengine ange hitisha press conferess kama leo kuliko kuongea pembeni tena kwa kujificha.

Huu ni unafiki mkubwa tena sana.

Kiongozi anayependa kuongea pembeni ni wakuogopa kama ukoma.

unachopaswa kujiuliza hapa ni kwanini Lema moja kwa moja aamini ile post imeandikwa na mwigamba licha ya kuwa na ID tofauti, jibu rahisi tu ni kwamba wanajua kilichoandikwa mule ndio msimamo wa mwigamba siku zote, na huenda wanalijua hilo kutokana na mwigamba kulisema mara kwa mara, mi nafikiri ifike wakati sasa tujikite katika kilichosemwa na mwigamba ni kweli kinathibiti?? Maana kwa ishu ya kuchakachuliwa katiba Jana majibu ya slaa na mnyika yalikinzana huku mmoja akisema kipengele cha ukomo hakikuwahi kuwepo wala kajadiliwa na mwingine akisema kilikuwepo, haijulikani mkweli nani, na kibaya zaidi licha ya kuwa na wanachama na wapenzi wengi wa chadema humu JF hakuna mmoja aliyepata ujasiri wa kuweka soft copy ya katiba ya chadema toleo la mwaka 2004
 
Back
Top Bottom