Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Mgombea urais kwa tiketi CCM, Dkt. Magufuli yuko mkoani Manyara akiendelea na mkutano wa kampeni
Alipokuwa Minjingu akielekea Babati amekataa kuingilia Uhuru wa mahakama baada ya mama mmoja aliyedai kudhurumiwa mali zake ambaye uamuzi ulitolewa mahakamani kuomba kusaidiwa, aidha amemshauri aende kukata rufaa ili kupta haki yake
Magufuli ameahidi kuifanya kata ya Magugu, Babati Vijijini kuwa Mamlaka ya Mji Mdogo
RAIS MAGUFULI AAMRISHA WANANCHI 4000 WALIOLIPIA UMEME WAUNGANISHIWE UMEME BABATI
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Manyara, Reheme Mashinji amesema wateja 4,000 wa Umeme Mkoa wa Manyara walishindwa kuunganishiwa Umeme kutokana na changamoto ya Fedha waliyonayo TANESCO mkoani hapo
Rais Magufuli akiwa kwenye mkutano wa kampeni kama Mgombea wa Urais kwa awamu ya pili amempigia simu Waziri wa Nishati na Madini kujua shida na amempa mwezi mmoja kwa wateja hao waliolipa kuunganishiwa umeme
Wateja hao waliolipia walishindwa kuunganishiwa umeme kwa kuwa pia wanaihitaji nguzo za kuweza kufikishiwa umeme katika maeneo yao wanayotaka nishati ya umeme
Alipokuwa Minjingu akielekea Babati amekataa kuingilia Uhuru wa mahakama baada ya mama mmoja aliyedai kudhurumiwa mali zake ambaye uamuzi ulitolewa mahakamani kuomba kusaidiwa, aidha amemshauri aende kukata rufaa ili kupta haki yake
Magufuli ameahidi kuifanya kata ya Magugu, Babati Vijijini kuwa Mamlaka ya Mji Mdogo
RAIS MAGUFULI AAMRISHA WANANCHI 4000 WALIOLIPIA UMEME WAUNGANISHIWE UMEME BABATI
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Manyara, Reheme Mashinji amesema wateja 4,000 wa Umeme Mkoa wa Manyara walishindwa kuunganishiwa Umeme kutokana na changamoto ya Fedha waliyonayo TANESCO mkoani hapo
Rais Magufuli akiwa kwenye mkutano wa kampeni kama Mgombea wa Urais kwa awamu ya pili amempigia simu Waziri wa Nishati na Madini kujua shida na amempa mwezi mmoja kwa wateja hao waliolipa kuunganishiwa umeme
Wateja hao waliolipia walishindwa kuunganishiwa umeme kwa kuwa pia wanaihitaji nguzo za kuweza kufikishiwa umeme katika maeneo yao wanayotaka nishati ya umeme