dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,399
- 15,977
Toka kufukuzwa kwa waziri huyu mtata Wizara hiyo ya Nishati haijawai kutuliaa tokea hapo kila kitu kilifurugika na kuaribika vibaya sana.
Ikumbukwe kuwa Dkt. Medard Kalemani ndie waziri pekee aliweza kudumu muda mrefu katka wizara hyo ya Nishati na kuiweza vizuri sana akishirikiana na Hayati Magufuli na Dkt. Tito Mwinuka
Dkt. Medard Kalemani anayo password ya wizara hiyo anaijuwa vizuri, kila njia ya wahuni waliopo hapo tanesco na wizarani anajuwa, wahuni wanaofanya kazi kuhujumu upatikanaji wa umeme na kusumbua watanzania na kumgombanisha na mama Samia na watanzania Dr kalemani anawajuwwa
Naomba Dkt. Medard Kalemani arudishwe wizrani hapo aweze kupambana na majizi na washenzi wanao hujumua shirika Hilo kubwa hapa nchini, mama naomba weka chuki pembeni fanya kazi na watu wenye akili timamu na wazoefu achana na kina biteko hao hawajui lolote kazi kupiga biti tu na kujiona Bora San ,kwa mfano leo amemfukuza mkurugenzi mkuu wa tanesco ndugu maharage chande kwenye mkutano wa jukwaa la Nishati Sasa Ni nn hyo amefanya mimi kwa Kweli mh biteko is a big NO NO hafai hafai anafaha kuwa waziri wa mifugo
Mimi Niko Hapa Dodoma najuwa Dkt. Medard Kalemani anaishi chamwino karibu na ikulu Kuna wakat nilikutana nae Hapa Nyerere square ktk sheli ya puma akibadili taeri za gari yake ya IST Ni mbuge msomi, pia amewahi kuwa mwanasheria wa wizara hyo hyo ya Nishati Kisha badaae akawa waziri wa Nishati Sina mashaka nae kbsa ,kalemani ndio anaweza kutusaidia kwa Sasa ktka swala la umeme hapa nnchi kwa kifupi Ana password ya wizara hyo
Katk ziara za mama Samia mbuge wa CCM aliweza kueleza jjnsi kero ya umeme ilivyo alisema umeme unakatika Mara 22 kwa siku mbili . jmn hi Ni nchi au kichekesho alfu ajabu mama hajajibu kero ya mbuge huyo badala yake amebaki kujishaua shau Kisha kafunga mkutano akakimbilia mkurunga
Juzi nilikuwa arusha, mji mkubwa kwa utalii Ila nilishangaa sana kuona umeme kukatika kwa takriban masaa 12 had 13 kwa siku.
Of course kwa dodoma umeme upo muda wote haukatiki katiki Kama uko mikoani ila solution ya hyo wizra anayo Dr ,kalemani Ni mchapa kazi ndie aliyepeleka umeme vijiji vyote hapa nchini na kubakisha vijiji 2077 tu Ila ajabu Hadi leo hvyo vijiji hafijafikiwa na umeme na hawata kaha wafikiwe kamwe
Naomba kaleamni arudishwe kweny wizara aweze kutusadia kupambana na miyeyusho iliyoko pale ktk wizara
Mwisho
Dkt. Medard Kalemani ni jembe ana elementary za jiwe kabsa anafaha mno katika wizara yenye miyeyusho Kama hyo ya Nishati
Nasemaje bila Dkt. Medard Kalemani hiyo wizara haitaka itulie hata baada ya bwawa la Nyerere kuisha Bado tutaletewa ngonjeraa tu
Ikumbukwe kuwa Dkt. Medard Kalemani ndie waziri pekee aliweza kudumu muda mrefu katka wizara hyo ya Nishati na kuiweza vizuri sana akishirikiana na Hayati Magufuli na Dkt. Tito Mwinuka
Dkt. Medard Kalemani anayo password ya wizara hiyo anaijuwa vizuri, kila njia ya wahuni waliopo hapo tanesco na wizarani anajuwa, wahuni wanaofanya kazi kuhujumu upatikanaji wa umeme na kusumbua watanzania na kumgombanisha na mama Samia na watanzania Dr kalemani anawajuwwa
Naomba Dkt. Medard Kalemani arudishwe wizrani hapo aweze kupambana na majizi na washenzi wanao hujumua shirika Hilo kubwa hapa nchini, mama naomba weka chuki pembeni fanya kazi na watu wenye akili timamu na wazoefu achana na kina biteko hao hawajui lolote kazi kupiga biti tu na kujiona Bora San ,kwa mfano leo amemfukuza mkurugenzi mkuu wa tanesco ndugu maharage chande kwenye mkutano wa jukwaa la Nishati Sasa Ni nn hyo amefanya mimi kwa Kweli mh biteko is a big NO NO hafai hafai anafaha kuwa waziri wa mifugo
Mimi Niko Hapa Dodoma najuwa Dkt. Medard Kalemani anaishi chamwino karibu na ikulu Kuna wakat nilikutana nae Hapa Nyerere square ktk sheli ya puma akibadili taeri za gari yake ya IST Ni mbuge msomi, pia amewahi kuwa mwanasheria wa wizara hyo hyo ya Nishati Kisha badaae akawa waziri wa Nishati Sina mashaka nae kbsa ,kalemani ndio anaweza kutusaidia kwa Sasa ktka swala la umeme hapa nnchi kwa kifupi Ana password ya wizara hyo
Katk ziara za mama Samia mbuge wa CCM aliweza kueleza jjnsi kero ya umeme ilivyo alisema umeme unakatika Mara 22 kwa siku mbili . jmn hi Ni nchi au kichekesho alfu ajabu mama hajajibu kero ya mbuge huyo badala yake amebaki kujishaua shau Kisha kafunga mkutano akakimbilia mkurunga
Juzi nilikuwa arusha, mji mkubwa kwa utalii Ila nilishangaa sana kuona umeme kukatika kwa takriban masaa 12 had 13 kwa siku.
Of course kwa dodoma umeme upo muda wote haukatiki katiki Kama uko mikoani ila solution ya hyo wizra anayo Dr ,kalemani Ni mchapa kazi ndie aliyepeleka umeme vijiji vyote hapa nchini na kubakisha vijiji 2077 tu Ila ajabu Hadi leo hvyo vijiji hafijafikiwa na umeme na hawata kaha wafikiwe kamwe
Naomba kaleamni arudishwe kweny wizara aweze kutusadia kupambana na miyeyusho iliyoko pale ktk wizara
Mwisho
Dkt. Medard Kalemani ni jembe ana elementary za jiwe kabsa anafaha mno katika wizara yenye miyeyusho Kama hyo ya Nishati
Nasemaje bila Dkt. Medard Kalemani hiyo wizara haitaka itulie hata baada ya bwawa la Nyerere kuisha Bado tutaletewa ngonjeraa tu