Mkutano wa John Heche na Waandishi wa Habari ni Chadema kujichanganya kisheria. Usiri wao utawagharimu

Mkutano wa John Heche na Waandishi wa Habari ni Chadema kujichanganya kisheria. Usiri wao utawagharimu

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
319
Reaction score
755
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.

Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kimepigwa marufuku na mahakama kuu kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA itakaposikilizwa.


Haya sasa hii ndo inaitwa mwanakulitaka mwanakulipata. Tujiande kusikia milio.... ya kudai wameonewa.. na kelele za wanaharakati uchwara.
 
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.

Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kimepigwa marufuku na mahakama kuu kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA itakaposikilizwa.


Haya sasa hii ndo inaitwa mwanakulitaka mwanakulipata. Tujiande kusikia milio.... ya kudai wameonewa.. na kelele za wanaharakati uchwara.
Huna jema binadamu na hapo ulipo una maisha yasiyo ridhisha ila bado unaingilia mambo ambayo huyajui na hauna uwezo nayo.
 
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.

Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kimepigwa marufuku na mahakama kuu kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA itakaposikilizwa.


Haya sasa hii ndo inaitwa mwanakulitaka mwanakulipata. Tujiande kusikia milio.... ya kudai wameonewa.. na kelele za wanaharakati uchwara.
Mpumbavu wewe. Mkutano wa siri wewe umrujuaje???
 
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.

Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kimepigwa marufuku na mahakama kuu kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA itakaposikilizwa.


Haya sasa hii ndo inaitwa mwanakulitaka mwanakulipata. Tujiande kusikia milio.... ya kudai wameonewa.. na kelele za wanaharakati uchwara.
Umeandika upumbavu tu kwani umesikia amenyimwa na haki ya kukutana na watu.
 
You can’t silence voices kwa sababu ya political differences. Democracy inahitaji dialogue, si suppression.

Let’s wait and see, don’t prejudge.
 
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.

Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kimepigwa marufuku na mahakama kuu kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA itakaposikilizwa.


Haya sasa hii ndo inaitwa mwanakulitaka mwanakulipata. Tujiande kusikia milio.... ya kudai wameonewa.. na kelele za wanaharakati uchwara.
Uamuzi ule wa jaji haikuwa sawa hata kidogo....Vinginevyo mahakama itaanza kuminya haki za watu au mtu mmojammoja.Kwa mfano chama kikiamua kuzungumzia kukata rufaa itakuwa ni KOSA?
 
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.

Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kimepigwa marufuku na mahakama kuu kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA itakaposikilizwa.


Haya sasa hii ndo inaitwa mwanakulitaka mwanakulipata. Tujiande kusikia milio.... ya kudai wameonewa.. na kelele za wanaharakati uchwara.
Mkutano na waandishi wa habari.

NB; mkutano ni siri. Nimecheka na sijui kwanini nacheka
 
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.

Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kimepigwa marufuku na mahakama kuu kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA itakaposikilizwa.


Haya sasa hii ndo inaitwa mwanakulitaka mwanakulipata. Tujiande kusikia milio.... ya kudai wameonewa.. na kelele za wanaharakati uchwara.
CCM ni Wapumbavu mnooooo
 
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.

Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kimepigwa marufuku na mahakama kuu kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA itakaposikilizwa.


Haya sasa hii ndo inaitwa mwanakulitaka mwanakulipata. Tujiande kusikia milio.... ya kudai wameonewa.. na kelele za wanaharakati uchwara.
Chadema ni mabingwa wa kuwanyoshea wengine vidole kwa kuvunja sheria ila siyo kwa upande wao
 
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.

Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kimepigwa marufuku na mahakama kuu kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA itakaposikilizwa.


Haya sasa hii ndo inaitwa mwanakulitaka mwanakulipata. Tujiande kusikia milio.... ya kudai wameonewa.. na kelele za wanaharakati uchwara.
Mkutano wa siri wangeita wanahabari? Let's think logically.
 
Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam.

Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kimepigwa marufuku na mahakama kuu kufanya shughuli zozote zile kiutendaji na oparesheni mpaka pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA itakaposikilizwa.


Haya sasa hii ndo inaitwa mwanakulitaka mwanakulipata. Tujiande kusikia milio.... ya kudai wameonewa.. na kelele za wanaharakati uchwara.
hizo ni miongoni mwa athari za vyama vya siasa kuongozwa na vibaka au matapeli ya kisiasa 🐒
 
Hivi hii Nchi watu wajinga kiasi hiki mtaisha lini? Kwa hiyo Heche haruhusiwi kuongea na waandishi kisa Chadema wamezuiliwa kufanya shughuli za kisiasa Kwa Muda? SMH
 
Back
Top Bottom