Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Hapo kwenye Red hiyo sio minazi ni miti aina ya Mipama (kama wenyeji wanavyohita) Sijui jinsi ya kuattach picha ningekutumia picha ya Kahama ikiwa na miti hiyo. (ni picha ambayo hausiani na Mkutano)

Swala la ghorofa kama liko Temeke haimaanishi kuwa aliwezi kuwa Kahama... Ukweli ni kuwa hapo ni Kahama...

mkuu hiyo miti tunaiita mihama na matunda yake yanaitwa mahama.
 
naogopa watanzania wakiwapa nchi kwani hayo ndo yatakuwa majibu yenu pale watanzania watakapokuwa wanahoji pesa zao za ruzuku kupewa mhe. mbowe na genge lake la kaskazini
 
Hapo kwenye Red hiyo sio minazi ni miti aina ya Mipama (kama wenyeji wanavyohita) Sijui jinsi ya kuattach picha ningekutumia picha ya Kahama ikiwa na miti hiyo. (ni picha ambayo hausiani na Mkutano)

Swala la ghorofa kama liko Temeke haimaanishi kuwa aliwezi kuwa Kahama... Ukweli ni kuwa hapo ni Kahama...

picha ya kahama 2011,anayebisha alete picha zake,hiyo miti ipo mingi tuu nenda maeneo ya TRA kahama,uwanja wa taifa Kahama utaiyona,hapo ni stendi ndogo ya mabasi ya kijijini
 
Umesema vema! Je wewe ulienda kama mkereketwa wa CDM au kama shushushu? Kama kweli wewe ulikuwepo kwanini usituwekee picha za hali ilivyokuwa? Acha kutumika vibaya kijana!

watu wamepotosha ukweli na kuweka picha za mikutano ya zamani. kikuu mimi nilikuwepo mkutanoni na hakukuwa na watu kama ilivyozoeleka. tuache uongo makene.
 
naogopa watanzania wakiwapa nchi kwani hayo ndo yatakuwa majibu yenu pale watanzania watakapokuwa wanahoji pesa zao za ruzuku kupewa mhe. mbowe na genge lake la kaskazini
Mwaka huu mtapata tabu sana MASALIA na MAGAMBA,Mmebaki lia lia.kwani slaa ni MKIMBIZI Kama KINANA POUCHER?
 
kiongozi ni mtu wa kwanza kuonyesha mfano wa kutii sheria hivyo Dr. alipaswa kuhairisha mkutano baada ya kuona muda umekwisha lakini yeye akakaidi na wananchi wakamfuata kiongozi wao
 
watu wamepotosha ukweli na kuweka picha za mikutano ya zamani. kikuu mimi nilikuwepo mkutanoni na hakukuwa na watu kama ilivyozoeleka. tuache uongo makene.


Mke wangu una maneno kama ya kwenye kanga! Haya twende zetu tukalale mamaa
 
buku 7 Lumumba project leo wameaibika
hawalipwi leo
 
Dr.slaa amefika hapa Kahama saa 11na nusu,na amepokelewa na bodaboda 5 ambazo walichangiwa sh.5000 kutoka kwa viongozi kadhaa walioambatana na Dr.slaa,hapo awali Vijana wa chadema walionekana wakizunguka maeneo ya kahama stendi kuomba madreva Bodaboda wahudhurie mapokezi ya Dr.slaa lakini hali haikuwa nzuri kwani asilimia 90 ya madreva waligoma kuifanya hivyo.Wakati akielekea eneo la Mkutano Dr.slaa alipokelewa na mabango yanayosema"CHADEMA BILA ZITTO HAIWEZEKANI,TUACHIENI CHAMA CHETU,ENDELEENI NA UBAGUZI WENU",Baada ya kupanda jukwaani Slaa alipokelewa na Mawe,na matusi ya kejeli sana kutoka kwa Wananchi wachache waliokuwepo eneo la Mkutano.
Dr.slaa aliomba Vijana wake wa usalama watulize ghasia za wananchi,kisha akazungumza maneno machache tu kwa kusema Naomba maswala ya Zitto mtuachie sisi tutayamaliza,Mkutano nauahirisha hadi Jumapili jioni hapahapa Kahama.Kwahiyo Mkutano Kahama hadi Jumapili.

We Marioooo umekariri mambo ya CCM unafikiri na CHADEMA yapo? We mwenyewe upo nje umegeuzwa punda kama masigange
 
unajua umbali wakutoka shy town mpaka kahama? Tumia kichwa wewe... Ni mbali sanaa. Ukweli ndio huo ngoja na mwandiga watajaa kama leo.

Wewe unatumia magoti? Kahama shinyanga no SAA 1
 
watu wamepotosha ukweli na kuweka picha za mikutano ya zamani. kikuu mimi nilikuwepo mkutanoni na hakukuwa na watu kama ilivyozoeleka. tuache uongo makene.

Mkuu naomba ni kuulize swali,kati ya STORI na PICHA za tukio fulani we unaamini zaidi kipi?Mkuu amka toka katika usingizi wa Magamba wenye ndoto za kukufanya uendelee kuwa masikini,mbinafsi,fisadi ama kuwadi wa mafisadi nawa uso toa na matongotongo ya chuki kwa wazalendo na wote wenye mapenzi mema na nchi hii ungana nao ktk kuijenga upya
 
asubuhi habari ya Tuntemeke itabeba heading kwenye mwananchi, habari leo Jambo leo,Majira naUhuru........ mfcx
ahsante sana mkuu Makene..... ni mpaka kieleweke.
 
Back
Top Bottom