Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani



Wametangaza lini na wapi ndugu?
kwa kupitia kiongozi gani?
Nami niwakimbie kwani mimi ni muislamu safi na pia cdm

1 ) Pro CDM JF wengi ni anti muslims

2)Mzee Mtei kauli yake kuhusu tume ya katiba na kudai waislam wamependelea "huyu muasisi wa CDM"

3)mchungaji msingwa kusimama bungeni bila aibu eti anauliza kwa nini zanzibar watu wanfunga ...

etcl...

matendo yao na viongozi wao na mashabiki yanatosha kuthibitisha they are anti muslims

 
Hivi kwa nini Chadema na Waislam hawapatani.

@Ritz, ni kweli ulikuwa umesimama nyuma ya mtatiro ndio maana ukawa hujibu kitu hadi sasa mkutano umeisha ndio umeibuka? pole kwa mkutano mkuu
 
Wakuu imebatika kupanda basi la mwenge habiria anasema ukiona tbc wanarusha moja kwa moja live bila chenga ujuwe hakuna mabomu ila usipo waona tbc ujue kitanuka 2
 
sounds prof..reference zake na ni za wasanii wa bongoflavour sana...kapiga wanaumeee, kifo cha mende...na ni bora nchi iuzwe kila mtu achukue chake.Aulize umasikini wa watoto wa kiswahili wanaouza nyumba za urithi Kariakoo na kupewa mamilioni ya fedha halafu muda si mrefu wanakuwa choka mbaya, huku wageni wakishamiri.Huyu jamaa sitaki hata aongee na wanangu
 
Kunafolini kubwa sana hapa magomeni vijana wa caf wameamua kaziba barabara kwa kuandamana kwa kukimbia mchaka mchaka wakiimba caf ngagali
 




1 ) Pro CDM JF wengi ni anti muslims

2)Mzee Mtei kauli yake kuhusu tume ya katiba na kudai waislam wamependelea "huyu muasisi wa CDM"

3)mchungaji msingwa kusimama bungeni bila aibu eti anauliza kwa nini zanzibar watu wanfunga ...

etcl...

matendo yao na viongozi wao na mashabiki yanatosha kuthibitisha they are anti muslims


mimi ni muislamu lakini Pro Chadema, fanya utafiti wako vizuri usitusingizie dini zisizokuwa zetu
 
Nicholas aisee you should be a comedian hehehe yaani unabishana na Prof.LIPUMBA KATIKA ISSUE ZA UCHUMI! hehehehe! ... we bana weee!!!
Nani kakuambia prof wa uchumi akiwa kichaa unahitaji degree za uchumi ndio ujue kadata?
 
Hivi kwa nini Chadema na Waislam hawapatani.

hah ha we leo unatumia nafsi ya tatu na kuondoa personality yako au unakataa taswira yako kwenye kioo kweli tunatakiwa kubalika na kumshambulia alotugawa kwa udini MUHESHIWA ZOMBA NIMEKUONA MEZA KUU HESHIMA YAKO.
 
Nicholas aisee you should be a comedian hehehe yaani unabishana na Prof.LIPUMBA KATIKA ISSUE ZA UCHUMI! hehehehe! ... we bana weee!!!
Nani kakuambia prof wa uchumi akiwa kichaa unahitaji degree za uchumi ndio ujue kadata?kichaa hapimwi kwa vyeti vyake vya shule.
 
kwenye Deci mlihamasishana wapi vile? Eti mpande fedha ziote mvune. Wajanja wakaziozesha mbegu sasa mnapanda fedha kwenye operation za Chadema.kweli kapu la mjanja mjinga hatii mkono!

eeh,deci tena?dnt compare 'e incomparables.wajinga ndio waliwao.
 
naombeni tujitahidi kuwa wastaarabu, si jambo jema kuendekeza mitazamo dhaifu na yenye chembechembe za udini udini ebu watanzania TUACHE HUU UTOTO, HAUNA FAIDA YOYOTE. Hata tukikataa kuacha hii tabia si kwa mwisilam au mkristo tujue tu kwamba wote tunakubali kuwa wajinga na kuufuata ujinga kama vile mwenyezi mungu hakutupa hekima. Hii nchi sio ya waislam na wakristo pekee bwana ni ya watanzania, kwanza hata huyo mungu mnayedai kumfuata na kumhubiri kila siku anawashangaa, mungu gani asiyekuwa na utaratibu na staha kwa watu. Kama mnazitaka dini zenu si mwende miskitini au makanisani. Mnatuchosha bwana na mambo ya dini dini hata mahala ambapo hayana uhusiano, kila mtu ana dini yake na kila dini mtu ya bora kwake, si lazima ninachokiamini mimi na wewe ukiamini ila ustaarabu ni kutambua na kuheshimu kile anachoamini mwingine kama ambavyo ungependa cha kwako kiheshimiwe pia.

umenena vyema sana mkuu, halafu utashangaa tunailaumu ccm wakati sisi wenyewe ndi tunao ukumbatia udini.
Mwisho wake ni maafa kwa taifa letu.
Mabadiliko yaanzie kwenye nafsi zetu wenyewe, hata kikishushwa chama kutoka mbinguni hakita ibadilisha nchi hii kama sisi wenyewe tusipoamua kubadilika kuanzia ndani ya nafsi zetu.
 




mimi sina chama! Ila nachukia sana chadema "from flesh of my flesh " sababu wametangaza vita na imani yangu "islam" waziwazi

uko sahihi kwani wewe ni lazima uwaunge boko haram al shababu wa zanzibar wanaoungwa mkono na cuf wanapochoma makanisa.
 
naombeni tujitahidi kuwa wastaarabu, si jambo jema kuendekeza mitazamo dhaifu na yenye chembechembe za udini udini ebu watanzania TUACHE HUU UTOTO, HAUNA FAIDA YOYOTE. Hata tukikataa kuacha hii tabia si kwa mwisilam au mkristo tujue tu kwamba wote tunakubali kuwa wajinga na kuufuata ujinga kama vile mwenyezi mungu hakutupa hekima. Hii nchi sio ya waislam na wakristo pekee bwana ni ya watanzania, kwanza hata huyo mungu mnayedai kumfuata na kumhubiri kila siku anawashangaa, mungu gani asiyekuwa na utaratibu na staha kwa watu. Kama mnazitaka dini zenu si mwende miskitini au makanisani. Mnatuchosha bwana na mambo ya dini dini hata mahala ambapo hayana uhusiano, kila mtu ana dini yake na kila dini mtu ya bora kwake, si lazima ninachokiamini mimi na wewe ukiamini ila ustaarabu ni kutambua na kuheshimu kile anachoamini mwingine kama ambavyo ungependa cha kwako kiheshimiwe pia.

Duuh!Kama watu wote wa imani yako wangelikuwa kama wewe,ingekuwa saafi sana,ongera kwa hekima ulizojaaliwa
 
hah ha we leo unatumia nafsi ya tatu na kuondoa personality yako au unakataa taswira yako kwenye kioo kweli tunatakiwa kubalika na kumshambulia alotugawa kwa udini MUHESHIWA ZOMBA NIMEKUONA MEZA KUU HESHIMA YAKO.

Mkuu unamwa kifafa nini naona unajichanganya...mie Ritz, wa JF.
 
Last edited by a moderator:
Hah hah hah kwih kwih kwih,ila CUF mfumo ISLAMIA,tubadilikeni jamani.

.
Shule tu ndo inabadilisha mtu. Sasa hapo kwenye vikofia utakesha, labda vizazi vyao vijavyo kama wakiendelea na tabia wanayoanza kuipenda sasa ya kusoma.
.
 
Labda ni mwendelezo wa maandamano ya Ijumaa!!!





1 ) Pro CDM JF wengi ni anti muslims

2)Mzee Mtei kauli yake kuhusu tume ya katiba na kudai waislam wamependelea "huyu muasisi wa CDM"

3)mchungaji msingwa kusimama bungeni bila aibu eti anauliza kwa nini zanzibar watu wanfunga ...

etcl...

matendo yao na viongozi wao na mashabiki yanatosha kuthibitisha they are anti muslims


Ooooh dear!! use your common sense to judge things, avoid generalizing based on others comments whom you have not even asked to know what they exactly meant. Kikwete, naamini ni mwislam, lakini amewaahi kusema hoja ya kuingiza kipengele cha dini kwenye sensa kamwe hakitaingia ambayo ilikuwa hoja ya waislam, je ni anti muslim?

Amewahi kusema kwenye hotuba zake kuwa kuhusu mahakama ya kadhi ni swala la waislam wenyewe na washughurikie wenyewe, je ni kwa sababu ni anti muslim, mheshimiwa Ally Hassan Mwinyi amewahi kuhubri na kupigia campaign matumizi ya condom mbele ya hadhara ya waislam na kinyume na msimamo wa waislam, je huyu ni anti muslim pia?

La msingi hapa ninalotaka kukuelimisha ni kwamba jitahidi kuwa unasoma na kufuatilia mambo kuliko kusikia propaganda za mitaan, misikitini, makanisani na kadhalika. unapotoka au unapotoshwa, soma, fuatilia, uliza ikibidi ili uweze kujua itikadi, misimamo na mitazamo mbalibali ya watu, taasisi, jamii n.k. ikoje, usiwe boya ndg yangu.
 
Aseee ndio nifika kwa shemeji kwanza napata mbege nikate kiu,,,kwa mbali nasikia sauti ya joti
 
Back
Top Bottom