Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Wameishiwa sera hao,mbowe anamiliki disko kitambo kabla vyama vingi avijaanza,wao ndio wanamahusiano na CCM maana walifunga ndoa zanzibar tunasubiri kuona mtoto atakaye zaliwa uko.

Mkuu humna habari kama wanaye mtoto mama mtu CUF ndo ananyonyesha
 
Mtatiro anamwaga sera sasa anadai prof lipumba anadigrii 4 na ni mchumi wa africa
 
Wakuu
nimeshuka hapa kituo cha jangwani naelekea moja kwa moja mpaka kiwanyani,napishana na defendar ikiwa na askiri watatu...kwa mbali naona watu wamevaa vibagarashee kwa kuwa watu si wengi ngoja nisogee moja kwa moja mpaka kwenye jukwaa,,,nageuka njuma naona watu wanazidi kumiminika wakiwepo wanawake wamevaa maijabu
nitazidi kuwapa update

kwa vikofia na baibui unamaanisha nini?
 
TBC kama TV ya bure, kuna noise katika background kuna matanagzo mengine..
 
Mtatiro anasema eti kuna watu wanadai CuF ni chama cha waislam na propaganda hizo zimeenezwa na CCM na CDM
 
Mtatiro anatokwa povu na hamna la maana analoongea anabakia kusema, kama noma na iwe noma
 
Eti jk anapanda ndege kwenda marekani na kurudi na chandarua!
 
Kwambali naona watu wanavua gamba wanamkabidhi prof lipumba wakisindikizwa kwa nyimbo taratibu
 
Wanaimba wimbo wao unasema "CCM ikifa, mimi siwezi kulia; nitaitupa Kagera iwe chakula cha mamba"
 
Back
Top Bottom