Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Lipumba anaongelea vitambulihso india ,nadhani atakwenda kuongezea kuwa india nao walikuwa na kipengele cha dini katika sensa zao.

Acha utabiri wewe, chukua peni na karatasi kula darasa la bure mfundishane kabla ya kikao kijacho cha bunge au kwenye ile mikutano yenu, Huyo ni mhadhiri,Mchumi wa level ya wafadhili wenu!
 
Lipumba ni jembe xana ila watu wake ni lundenge anatema point xana, TUWASAIDIE WANACUF MAANA WANAONA AIBU KUJITOKEZA
 
Prof ni kimeo ...Hakuna ushahidi kuwa ukiwapa watu hela ya bure watajikomboa.Otherwise wale watu wa vijijini wanaoishi kwa kupewa hela na ndugu zao wa mjini wengi wameishia kuwa masikini zaidi.Yule mwanafilosofia mkubwa alisema usimpe mtu samaki ila mfundishe kuvua...prof hajui kuwa serikali kazi yake ni kujenga mazingira mazuri ya raia kujenga maisha, na kuwawezesha si kuwalisha kama kuku.

We kweli utakuwa na matatizo ya ubongo, Prof, ameongelea hali halisi ya sasa ambayo mapato yanayeyuka mifukoni mwa wajanja na hakuna maendeleo yoyote wananchi wanayoyapata kutokana na rasilimali hizo............ kisha ndio aliposema kama hali ndio hiyo si bora wahgawane wote tu!! hii ni katika hali ya kusikitishwa sio kiutendaji. Wewe tuambie unafaidika nini na rasilimali za nchi hii.
 
mchumi anangurumisha facts,huwezi sikia facts kama hizi wa wacheza disco na wakware wa wake za watu. Msaidieni kucopy points padri zitamsaidia akiwa kaskazin kwenye mkutano yake

mmeanza kuja mmewenu ccm kawapa tbccm kaofa maana kazi ni ngumu.
 
Mtatiro kaamua kutoichafua CHADEMA. Saafi saana

Huyo jamaa ni jembe alitakiwa awepo ktk M4C akabugi kwenda CUF,nadhani anajutia ilo,anajikaza kiume tu,na anatamani angekuwa CDM kwenye mabadiliko ya kweli,pole yako J.Mtatiro,huko ulipo sipo.
 
kinacho nishangaza hapa jf watu wengi huilaumu ccm kuwa wanatugawa kwa kukiita cuf ni chama cha waislamu na cdm ni cha wakristo lakini leo wenyewe ndio wanakuwa vinara wa hizo propaganda na kutoa kauli *mara mbona naona vibarakashia vitupu*, *mara hawajamaa wamehimizana msikitini*, *mara lipumba anaelekea kusema kuwa kipengele cha dini kilikuwepo kwenye vitambulisho vya taifa india*.
Hii inathiaitisha wadini ni sisi wenyewe wala tusimlaumu mtu, wanachofanya ccm ni kutumia udhaifu wetu wa kupenda udini.
Bila kubadilika sisi wenyewe tusitegemee hili tatizo kuondoka, litazidi kuongezeka na mwisho wake ni maafa.
 
Lipumba ni jembe xana ila watu wake ni lundenge anatema point xana, TUWASAIDIE WANACUF MAANA WANAONA AIBU KUJITOKEZA

Mmmmh! Wanaona aibu tena........!!! Kwa nini...? Hawakitaki ila wanalazimishwa au....??
 
CUF? CCM? TBC? M4C?
Naona kama wametumwa na mume wao kujaribu na wao kupunguza nguvu ya M4C. Ni hayo tu
 
Mkutano wa CUF umeanza:Mbwembwe kibao na kukana "jino kwa jino"
-Mchungaji mhh..anaweza kuwa feki..Kaanza kama wachungaji wengine ila kmalizia kama Padri kafanya ishara ya msalaba kama mkatoliki, wakati anashuka jukwaani kagongeana na watu waliokua jukwaani,kwa style y akupongezwa kuwa kaweza igizo.Napata wasiwasi kam si mwigizaji.
-TBC wanakatakata, sijui wanarusha bure?

hujuama tu. Au leo ni tbccmb
 
Lipumba ni Jembe anadadavua uchumi kwa ulinganifu wa nchi zilizoendelea! Shida Yuko Chama kibovu CUF hes lost and rotten with CUF
 
Wakuu bado lipumbaanaongelea maswala wa uchumi,,watu anaanza kuondoka mmoja mmoja....jamaa anapita anauza kalenda yenye picha ya prof lipumba,maji,karanga,sigara na KURUAN
 
Back
Top Bottom