mara uko ccm mara chama cha kava ah sory cuf tutakupata tu uko wap
jamani mbona leo mnanyemelea nyemelea kama vibaka wa ubungo afu mnawasiwasi kweli.
MChumi anangurumisha Facts,Huwezi sikia facts kama hizi wa wacheza Disco na wakware wa wake za watu. Msaidieni kucopy points Padri zitamsaidia akiwa kaskazin kwenye mkutano yake
labda ni mwendelezo wa maandamano ya ijumaa!!!
Acha utabiri wewe, chukua peni na karatasi kula darasa la bure mfundishane kabla ya kikao kijacho cha bunge au kwenye ile mikutano yenu, Huyo ni mhadhiri,Mchumi wa level ya wafadhili wenu!
jamani mbona leo mnanyemelea nyemelea kama vibaka wa ubungo afu mnawasiwasi kweli.
mimi sina chama! ila nachukia sana chadema "from flesh of my flesh " sababu wametangaza vita na imani yangu "islam" waziwazi
Sheikh ponda bado hajapanda jukwaan au yeye hajaudhuria
Acha utabiri wewe, chukua peni na karatasi kula darasa la bure mfundishane kabla ya kikao kijacho cha bunge au kwenye ile mikutano yenu, Huyo ni mhadhiri,Mchumi wa level ya wafadhili wenu!
Hamna bwana,..
Hotuba gani ile, watu wamepooa naona wameenda kwakuwa ni "waumini" wa cuf sio mashabiki!