Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Wakuu bado lipumba anaongelea maswala wa uchumi,,watu anaanza kuondoka mmoja mmoja....jamaa anapita anauza kalenda yenye picha ya prof lipumba,maji,karanga,sigara na kitabu cha KURUAN
 
We're tired of ur comparisons prof..gv us strategies,mara cjui tanzania ni yangapi mara cjui nin?,we need strategies.
 
We kweli utakuwa na matatizo ya ubongo, Prof, ameongelea hali halisi ya sasa ambayo mapato yanayeyuka mifukoni mwa wajanja na hakuna maendeleo yoyote wananchi wanayoyapata kutokana na rasilimali hizo............ kisha ndio aliposema kama hali ndio hiyo si bora wahgawane wote tu!! hii ni katika hali ya kusikitishwa sio kiutendaji. Wewe tuambie unafaidika nini na rasilimali za nchi hii.

Njaa haiondolewi kwa kupewa samaki ndugu yangu,ila kwa kufundishwa vua na kupewa nyenzo.
Huyo mchumi haju kuwa seriklai haiwezi kuwa na hela ya kugawa bure kama haijaweza jenga mindombinu kwa kiasi cha kuondoa shida kabisa, bila kusomesha watu kwa jinsi iwezekanavyo, kuwezeshs mahospitali iwezekanvyo, kutoa mitaji na si kutoa bure.....

Inalekea prof anatumia CV yake kuogelea na wajinga.hayupo realistic. nani kamwambia kuwa hela zinapatikana kirahisi kumaliza vitu vyote hivyo, halafu na ya kugawa kwa raia?

Kuhusu wizi ndio CDM wanapambana.
 
Vipi hawa jamaa walihamasishana misiktini nin,

kwenye Deci mlihamasishana wapi vile? Eti mpande fedha ziote mvune. Wajanja wakaziozesha mbegu sasa mnapanda fedha kwenye operation za Chadema.kweli kapu la mjanja mjinga hatii mkono!
 
Lipumba ni jembe xana ila
watu wake ni lundenge anatema point xana, TUWASAIDIE WANACUF MAANA
WANAONA AIBU KUJITOKEZA

Hamna bwana,..
Hotuba gani ile, watu wamepooa naona wameenda kwakuwa ni "waumini" wa cuf sio mashabiki!
 
Lipumba anataka kuchangisha fedha kwajili ya chama
 
Caf kwenda arusha taree 30 waarusha wanaitaji sera na wala si vita
 
Mkuu WA ROMBO,
Vipi watu wengi?
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwa nini Chadema na Waislam hawapatani.

miungu yao inatofautiana mmoja ana mama mwingine hajazaa wala kuzaliwa, mwingine hakomboi watu wake bila kupigwa mwingine ni kun fayakuun,
 
kinacho nishangaza hapa jf watu wengi huilaumu ccm kuwa wanatugawa kwa kukiita cuf ni chama cha waislamu na cdm ni cha wakristo lakini leo wenyewe ndio wanakuwa vinara wa hizo propaganda na kutoa kauli *mara mbona naona vibarakashia vitupu*, *mara hawajamaa wamehimizana msikitini*, *mara lipumba anaelekea kusema kuwa kipengele cha dini kilikuwepo kwenye vitambulisho vya taifa india*.
Hii inathiaitisha wadini ni sisi wenyewe wala tusimlaumu mtu, wanachofanya ccm ni kutumia udhaifu wetu maajabu hata wewe leo unakwepa udini wakati ww ni kinara
 
Anawashukuru tbccm na anamaliza kusema haki sawa kwa wote mkutano umekwisha na 2naanza kuondoka na 2nasindikizwa kwa njimbo taratitu
 
CUF hawana uwezo wa kuchafua CDM ila kujichafua katika mifereji ya sewage ya CDM.CUF haina intellectuals, na hawana integrity.
Nitapenda mod iwepo thread kuulizia vipi CUF wanakuja na Mchungaji feki
 
Back
Top Bottom