Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,368
siri gani kasema?acha umbeaDogojanja atoboa siri nyingine ya Chadema.
siri gani kasema?acha umbeaDogojanja atoboa siri nyingine ya Chadema.
Aliteleza kidogo si unajua hasira,ila Mbowe amelipinga kwa ukali pale paleDuh! Naona alisema bila kufikiri, inafaa awe na busara next time na kama inawezekana atoe hata statement ya kuomba radhi. Mbowe kafanya vyema, hakuna kurudi nyuma.
Viva CHADEMA!
Chadema kwa nini mnajikita Kaskazini tu. kila mwezi lazima mfanye mkutano Arusha.
Jiografia ya Tanzani ni kubwa mno kila siku mpo Arusha tu hamuwezi kuchukuwa nchi kwa kuitegemea Arusha peke yake kuna maeneo mengi watu hawaijui Chadema kama haya.
Namtumbo.
Mbinga.
Tunduru.
Rufiji.
Mafia.
Mkuranga.
Bagamoyo.
Mvomero.
Gairo.
Ulanga.
Urambo.
Sikonge.
Uyui.
Kibondo.
Same.
Kasulu.
Mwanga.
Nachingwea.
Sio mnakaa sehemu mmoja tu Arusha kila siku huu ni ushauri wangu kwenu ni hiyari yenu kuukataa au kuukubali.
Ritz.
JF Daima.
cdm for life ccm for thief
Ama kweli.
.
"CHADEMA NI SAWA NA NG'OMBE ASIYE NA BEI SOKONI".
Wanafiki wanaumbuka kweupeeeee!
Wananchi amkeni, CDM sio chama.
Asante bwana Jackson
Vp unajisikiaje kumwita dume mweza bwana.
Mkuu imenisikitisha sana hii, kumbe jamaa wana agenda ya kugawa kanchi ketu? ndio maana wanang'ang'ania utawala wa
majimbo.
, siri imefichukaa .........:shetani:
Ama kweli UKISHABIKIA CHADEMA INAKUPASA UWE NA AKILI MBILI ZILIZOPUNGUA KUMKICHWA".
Jibu hoja, naona mmechanganyikiwa jamaa kutoboa siri zenu?
Mmmh sasa unamwamini huyo dogo au mwenyekiti? ha