Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Kweli hii chadema square!
Alisema CCM ikileta uhuni tutajigawa kama sudan ilivyo,ila mbowe kaikanusha pale pale
Mbowe is a Leader. Kitendo cha ku-refute kauli ya dogojanja hadharani and on-spot ameonesha mfano wa kuigwa si kwa CDM tu hata CCM. Kama mtu anatoka nje ya mstari anarudihwa hapohapo. Angechunia kauli ile ingeonekana ni agenda ya CDM. Hapa ndipo ninapomuona Mbowe ni kiongozi na hata CCM na JK watakubaliana na mimi. Siyo kumwacha mtu kama Lusinde anatukana halafua unamtetea kama alivyofanya Mukama.
Mbowe kamkosoa dogojanja very diplomatically bila ya kumfanya ajisikie amekwazika.
Wana Arumeru Mashariki, mlitahadharishwa sana wakati wa kampeni za ubunge kwamba msimchague huyu dogo mhuni, hana busara hata kidogo. Haya sasa, mmeona umwagaji damu aliousababisha muda mfupi baada ya kuchaguliwa kwa kuhimiza uporoji wa mashamba ya wawekezaji na uvamizi wa mashamba ya watu wengine kwa ujumla.
Leo pia mmeyaona huko viwanja vya NMC, amekuja na pepo la kuigawa nchi.....ASHINDWE ALEGEE KABISA.
View attachment 53517View attachment 53525
View attachment 53518
View attachment 53519
View attachment 53520
View attachment 53521
View attachment 53522View attachment 53524
Baada ya kuona makamanda wanaendelea vema kuripoti yanayoendelea NMC nimeona bpra nishughulie na picha zaidi
Mods itakuwa vema kama mtaziweka picha hizi kwenye thread
Asante sana
Alisema CCM ikileta uhuni tutajigawa kama sudan ilivyo,ila mbowe kaikanusha pale pale